samia suluhu

Jamhuri ya muungano, kazi iendelee
Samia Hassan Suluhu (born 27 January 1960) is a Tanzanian CCM politician and the designated President of Tanzania, due to be sworn into office following the death of president John Magufuli on 17 March 2021. She became Tanzania's first female vice-President following the 2015 General election, after being elected on the CCM ticket along with president John Magufuli. Suluhu and Magufuli were reelected to a second term in 2020. Before her tenure as vice-president she served as the Member of Parliament for Makunduchi constituency from 2010 to 2015, and was also the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015.
Prior to this, she served as a minister in the semi-autonomous region of Zanzibar in the administration of President Amani Karume. In 2014, she was elected as the Vice Chairperson of the Constituent Assembly tasked with drafting the country's new constitution.

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania GE2025 Rais FEMATA: Samia ametengeneza mabilionea wengi

    Shirikisho la vyama vya wachimbaji wa madini nchini Tanzamia (FEMATA), lenye wanachama takribani Milioni sita, limeahidi kura zote kwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakishukuru kwa maboresho na uwezeshaji mkubwa wa sekta ya madini pamoja na...
  2. JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Uendeshaji wa nchi, hakuna majaribio, CCM ndio yenye uzoefu

    Naona kama Samia anawatisha wapinzani wake! Hata hao wapinzani wanauwezo wa kuongeza nchi na kupata uzoefu na kuleta maendeleo makubwa kwenye nchi Mbona wale CHADEMA mnawaletea figisu kila kukicha? Kama nyinyi mnajiona mnauzoefu, wekeni mpira kati kila mtu ashinde mechi zake sasa...
  3. JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Msiwape Kura wapinzani watawapoteza, Ukimpa Jimbo asiye CCM anaenda kuongea na nani? anaenda kumwomba barabara nani?

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Wilaya ya Bunda kutafakari kwa makini kabla ya kufanya maamuzi ya kisiasa, akisisitiza kwamba uongozi wa nchi unahitaji uzoefu na uwezo wa kusimamia masilahi ya...
  4. JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Serikali imeanza ujenzi wa uzio ndani ya Ziwa Victoria kudhibiti mamba

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake imeanza ujenzi wa uzio ndani ya Ziwa Victoria kwa lengo la kudhibiti mamba ili kuwalinda wananchi wanaotumia ziwa hilo kwa shughuli mbalimbali. Akizungumza leo, Jumanne...
  5. JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Kuna watu kazi yao kushusha heshima ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, naomba tuachane nao

    Mgombea urais Kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Samia Suluhu Hassan amesema jambo muhimu ni kuheshimisha jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania ndani na nje ya nchi tunaheshimisha nchi yetu kwa kuleta amani, kufanya chaguzi bila matatizo bila mavurugu, kufuata sheria zetu wenyewe, na kufuata...
  6. JamiiForums Tanzania Natabiri kuwa mwendazake Ali Hassan Mwinyi na Samia Suluhu Hassan watakuwa wazanzibari wa kwanza na mwisho kutawala Tanzania

    Kwa wanaojua kilichotokea baada ya Mzee Benjamin Mkapa kumaliza ngwe yake, watakubaliana nami, kuwa, kwa mazoea, mrithi wake alipaswa kutoka Visiwani. Hata hivyo, haikuwa. Why? Jibu ni rahisi kuwa wanamtandao hawakutaka nafasi yao ichukuliwe na mwingine. Baada ya Kikwete, wanamtandao...
  7. H

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia Suluhu Hassan, achia nafasi ya Urais, sisi watanzania HATUKUTAKI

    Kumbuka uliwekwa hapo kwa bahati mbaya tuu baada ya kifo cha afande wetu mpendwa Amiri jeshi mkuu JPM (A.M.P) hatukuwa na mpango wa kuwa na Rais mwanamke kamwe ! Umemaliza awamu ya tano B, TOKA SASA, UNANG'ANG'ANIA NINI ? Mwanamke kazi zake ni kufanya tendo la ndoa na mwanaume, kupata ujauzito...
  8. JamiiForums Tanzania Samia na CCM yako tafuteni suluhu ya kitaifa. Ahirisheni Uchaguzi na reconciliation process ianze mara moja

    Neno la Mungu (Biblia) linaonya kusema; Mithali 29:1 SUV "...Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafula, wala hapati dawa..." Rais Samia na wenzako serikalini na ndani ya chama chako - CCM msione aibu, kubalini kuwa mmekosea, hamtapungukiwa wala kupoteza chochote... Mungu...
  9. I

    JamiiForums Tanzania Rai kwa Abdul, mtoto wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu

    Ndugu wajumbe. Nimekaa nikifikiria namna mambo yanavyoenda, nikafikia hitimisho kwamba Mtu pekee kwa sasa anayeweza kuikoa hii nchi na kumuokoa Mh. Rais Mama yetu Samia Suluhu Hassan ni Mtoto wake aitwaye Abdul. Hivyo nimemwandikia Rai Mh Abdul, aliye karibu naye tafadhali naomba amfikishie rai...
  10. JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Serikali Kurejesha Mashamba ya Kiliflora na Arusha Blooms Serikalini

    Samia Suluhu Hassan, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi amesema serikali ya awamu ya sita imeunda timu ya Makatibu Wakuu wa Wizara ili kufanya tathmini na kuanza mchakato aa kuyarejesha serikalini mashamba matatu ya Kiliflora Usa River, Kiliflora Nduruma...
  11. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Hakuna mgonjwa Kilimanjaro atakayeteseka kwa kukosa huduma

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ijayo itaendeleza jitihada za kuboresha huduma za afya mkoani Kilimanjaro, ikiwemo kuimarisha hospitali, kuongeza watumishi na kuhakikisha dawa muhimu zinapatikana kwa wakati...
  12. JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Wanaoshawishi fujo wana pa kwenda, familia zao haziko Tanzania

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu ametoa wito kwa Watanzania kutokubali kushawishika na watu wenye nia ovu kuharibu amani ya nchi, kwani wanaofanya hivyo wanapo pakukimbilia
  13. JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Hakuna mwanamke anayepaswa kufariki wakati wa kujifungua

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema dhamira ya serikali ya awamu ya sita ni kuhakikisha akina mama wanajifungua salama bila kupoteza maisha, akisisitiza kuwa kuleta maisha mapya isiwe sababu ya kifo cha mama...
  14. JamiiForums Tanzania GE2025 Wananchi: Tukimpigia simu Samia anapokea, anatusikiliza

    Wakuu, Wananchi wa toka sehemu mbalimbali wameonyesha kufurahishwa na mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Samia jinsi anavyojitoa kuwasikiliza na kuwatatulia matatizo yao pindi wanapokubwa na kero mbalimbali katika sehemu zao za kazi. Au wanasema uongo Wakuu, yaani wanasema Samia ndio...
  15. JamiiForums Tanzania GE2025 Kampeni za Samia Suluhu zimevunja rekodi, hazijawahi kutokea

    Kwa umri wangu sijawahi kushuhudia kampeni za namna hii. Hivi mnajua kama kampeni za uchaguzi huu zimeanza tangu 2021? Hiyo mibango ipo tangu 2021. Yaani umepiga kampeni kwa miaka minne lakini bado unaogopa kushindana, hii sio kawaida kabisa katika historia yetu.
  16. JamiiForums Tanzania Nimefurahi sana heshima anayoendelea kupewa Alphonse Simbu na Serikali

    Alphonce Simbu amefungua ukurasa mpya wa celebrities katika Taifa letu. Kwa muda mrefu nilihuzunika kuona jamii ikishereheshwa na wanamuziki, wasanii wa filamu na komedi kiasi kwamba watoto wetu wakaanza kujifunza kuwa ukitaka ufanikiwe basi inabidi uwe kama Mwijaku au Baba levo au Kingwrndu...
  17. JamiiForums Tanzania GE2025 Samia Suluhu afanya mazungumzo na viongozi wa Kanisa Katoliki mkoa wa Tabora

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora Kardinali Protase Rugambwa pamoja na Baba Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo hilo Mhashamu Baba Askofu Paul Ruzoka, Ikulu Ndogo ya Tabora tarehe 12 Septemba, 2025...
  18. JamiiForums Tanzania GE2025 Mbona Samia Suluhu hasemi lolote kuhusu ufisadi, hata angalau kwa bahati mbaya ?

    Kama kuna mahala popote Samia kaonesha nia ya dhati ya kupambana na ufisadi ninaomba kuona hiyo video. Au ufisadi umeshaisha kabisa hapa nchini?
  19. JamiiForums Tanzania GE2025 Kijo Bisimba: Ahoji Mgombea wa CCM alipewa vipi fomu, kesi ya Lissu niya kisiasa anasema kwa sasa hakuna upinzani

    Mwanaharakati mkongwe wa haki za binadamu nchini Tanzania Bi. Kijo Bisimba amehoji namna mgombea wa CCM alivyopewa fomu ya kugombea urais kupitia chama hicho huku akibainisha kwa sasa nchini hakuna vyama vya upinzani kwani pamoja na ukongwe wake kuna vyama vya siasa anavisikia kwa mara ya kwanza...
  20. JamiiForums Tanzania Miaka minne na nusu ya Utawala wa Rais, Samia Suluhu Hassan: Wilaya ya Mbogwe imepiga hatua gani?

    Leseni 41 za utafiti wa madini zimetolewa Leseni 548 za wachimbaji zimetolewa Leseni 147 za maeneo tengefu Vituo vya afya vimeongezeka mara mbili zaidi kutoka 14 wakati anaingia madarakani na kufikia 28 vilivyopo sasa. Ongezeko la wataalamu wa afya kutoka 181 kufikia 283 Ongezeko la Shule za...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…