samia suluhu hassan

Samia Suluhu Hassan (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and current president of Tanzania. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party. Suluhu is the third female head of government of an East African Community (EAC) country, after Sylvie Kinigi in Burundi and Agathe Uwilingiyimana in Rwanda, and is also the first female president of Tanzania. She took office on 19 March 2021 after the death of President John Magufuli on 17 March 2021.
A native of Zanzibar, Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the Vice-Chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.
Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. PostGE2025 Profesa Kabudi: Rais Samia ni kiongozi madhubuti anayewapenda wananchi wake

    Msikilize Mbunge wa Kilosa Morogoro, Profesa Palamagamba Kabudi amesema hotuba aliyotoa Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa uzinduzi wa Bunge la 13 imewapa Watanzania mwanga mpya na kuongeza imani juu ya safari ya maendeleo kwa miaka mitano ijayo. Nini maoni yako.
  2. PostGE2025 Heche: Nimesikitika hajatamka Watu wangapi wamekufa, idadi ya majeruhi. Waliohusika kufanya mauaji wachukuliwe

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amezungumza kupitia BBC baada ya hotuba ya Rais Samia akifungua Bunge la 13.
  3. PostGE2025 Rais Samia: Tutaendelea kuongozwa kwa misingi ya waasisi, nguvu inayokusudia kutuchafua hatutakubali

    Kwenye hotuba yake amesema kama taifa tunapenda tuheshimiwe kama sis tunavyoheshimu mataifa mengine, na katika kulinda maslai ya nchi hakuna mbadala ni lazima tuhakikishe tunalinda heshima, utu na uhuru wetu" "Tutaendelea kuongozwa na misingi ile ile ya sera ya nje iliyoasisiwa na waasisi wetu...
  4. W

    PostGE2025 Samia Suluhu Hassan: msiwe wabomoaji wa nchi yenu

  5. PostGE2025 Rais Samia: Tutakuwa na Wizara ya Vijana na Washauri wa Mambo ya Vijana ndani ya Ofisi ya Rais

    Rais Samia amesema tumeamua kuwa na wizara kamili badala ya kuwa na idara ndani ya wizara yenye mambo mengi, vile vile ninafikiria kuwa na washauri wa masuala ya vijana ndani ya ofisi ya rais.
  6. PostGE2025 Rais Samia: Nitaunda Tume ya Maridhiano na Upatanishi ‘baada ya kujua kiini cha vurugu’

    Rais Samia amesema ataunda tume ya maridhiano na upatanishi na kuanza mchakato wa mabadiliko ya Katiba baada ya kujua kiini cha vurugu kwenye uchaguzi mkuu.
  7. PostGE2025 Rais Samia: Marufuku Hospitali kuzuia MAITI, nimeshatoa maelekezo kwa watendaji

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake amesema tayari ameshaielekeza Wizara ya Afya kusimamia maelekezo ya kutozuia maiti kwenye vituo vya kutolea huduma za afya, wakati familia zikiendelea na taratibu za kulipa deni la gharama za matibabu zinazolinda utu wao. Hata hivyo, amesema...
  8. PostGE2025 Ni uapisho wa Waziri Mkuu, lakini sura nyingi zinaonekana zenye huzuni, nini kinawasuta kwenye nafsi zenu?

    Nimefuatilia uapisho huu wa Waziri Mkuu na jambo moja limejionyesha wazi kuliko yote, ni sura za wageni waalikwa, na hata za viongozi waliokuwa karibu naye, hazikuakisi ile furaha ambayo kawaida huambatana na tukio la kihistoria kama hili. Wageni wengi walionekana wakiwa na nyuso zilizokosa...
  9. PostGE2025 BAKWATA na taasisi za kiislamu zampongeza Rais Samia kwa kushinda Uchaguzi, walaani vurugu

    Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za Kiislamu nchini, limelaani vikali vitendo vya uhalifu vilivyotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025, na kuisihi serikali kufanya uchunguzi wa kina kubaini chanzo na vinara wa machafuko...
  10. Why African and world leaders should not attend inauguration of Samia Suluhu Hassan in Tanzania

    Today, we heard from AFP , which is the one of the respected and reputable news agency in the world that, according to its reliable sources in Tanzania, there are mass graves in Mabwepande and Kondo forests in Kinondoni district in which thousands of human remains are buried there by state...
  11. R

    PostGE2025 Rais Samia kumuapisha Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu kesho Novemba 14, 2025

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Mpogole Kusiluka, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan atamuapisha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb.) kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa...
  12. PostGE2025 Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Rais Samia ni chaguo la walio wengi

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, amesema mchakato wa kidemokrasia umeonyesha kwa dhahiri kuwa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ni chaguo la walio wengi katika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amesema hayo leo tarehe 13 Novemba, 2025 Bungeni Jijini Dodoma wakati...
  13. PostGE2025 Dkt. Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Rais Samia, amelipendekeza jina la Dr. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Uteuzi huo unafanyika kufuatia taratibu za kikatiba ambapo jina la mgombea huwasilishwa kwa Bunge la Tanzania ili kupigiwa kura na wabunge. Baada ya pendekezo hilo, wabunge watapiga kura...
  14. Ian Khama: Simtambui Samia kama Rais wa Tanzania sababu uongozi kaupata kwa mauaji na ukandamizaji wa wananchi

    Katika kongamano la African Renaissance lililofanyika Lukenya University nchini Kenya, Rais wa zamani wa Botswana, Ian Khama, alitoa kauli yenye mguso akisema “hamtambui Rais Samia Suluhu Hassan kama kiongozi halali wa Tanzania.” Alieleza kuwa uchaguzi wa mwaka 2025 ulitawaliwa na vitisho, vifo...
  15. Je, Tanzania Inaweza Kupata Amani Chini ya Samia? Uchambuzi Mpana Baada ya Oktoba 29

    Tarehe 29 Oktoba 2025 imebaki katika kumbukumbu za Watanzania kama siku iliyogeuza mwelekeo wa taifa na kufichua wazi ukubwa wa mgogoro wa kisiasa uliokuwa ukijengeka kimya kimya kwa miaka kadhaa. Siku hiyo, badala ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu kama ilivyotangazwa, taifa lilishuhudia machafuko...
  16. Tazama muhtasari wa matukio muhimu aliyoyafanya Rais Samia Suluhu Hassan kuanzia 03 - 09 Novemba 2025

    #IkuluWIkiHii Tazama muhtasari wa matukio yote muhimu aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika wiki hii. 📆
  17. Rais Samia aongoza Kikao Maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao Maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa iliyoketi jijini Dodoma, Jumatano, Novemba 5, 2025.
  18. PostGE2025 Video: Sheikh Sharif 'Majini' akimshauri rais Samia kuzima mitandao siku tano kabla ya uchaguzi

    Video ni Sheikh Sharif Majini siku chache kabla ya Uchaguzi, Majini anamtaka Amiri Jeshi Mkuu azime mtandao siku tano kabla ya uchaguzi. Badala ya kuhubiri HAKI, alihubiri AMANI. Ajabu Sheikh Majini alifariki dunia alifariki tarehe 29 October kwa kupigwa risasi, siku ya uchaguzi Mkuu. Je...
  19. Nimeshawasilisha barua ya mashtaka dhidi ya Rais Samia kwenye mahakama ya The Hague ICC

    ICC wamenithibitishia kuwa tiyari wana barua kadhaa kutoka kwa watanzania akiwemo mzee Malisa ambae ndiye alielianzisha ambazo zalingana na barua yangu na kwamba wapo wakisubiri barua zaidi na ushahidi wa kutosha. Hizi ni barua za tuhuma na hadi hapo ICC watapofungua jalada la kesi bado...
  20. GE2025 Viongozi wa 5 pekee Duniani waliowahi kushinda Kiti cha Urais kwa 98% tangu mwaka 1990-2025

    1. Turkmenistan – Saparmurat Niyazov (1990) Asilimia: 98.29% Hali ya nchi wakati huo: Turkmenistan ilikuwa bado sehemu ya Umoja wa Kisovyeti (USSR), lakini ikaanza kuandaa mfumo wa uchaguzi wa “kidemokrasia.” Niyazov alikuwa katibu mkuu wa chama pekee cha kisiasa — Communist Party of...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…