Hivi karibuni, Askofu Josephat Gwajima, Mbunge wa CCM, alisema kile ambacho wengi wamekuwa wakiongea chini kwa chini:
“Vipi kama mtoto wa Rais ndiye angetekwa? Tungesema nini?”
Alizungumzia utekaji, mauaji, na hali ya sintofahamu nchini kwa lugha ya hoja, si matusi. Alitoa mapendekezo na...