Mheshimiwa Rais,
Nitangulize salamu za heshima na pole kwa majukumu yako mazito ya kulitumikia na kuliongoza taifa letu. Nikiwa kijana mzalendo, mkweli na asiye na mashaka juu ya uzalendo wangu kwa nchi hii, nimeona ni vyema kukuletea salamu na ujumbe maalumu tunapoanza mwezi huu wa...