ripoti lhrc

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    JamiiForums Tanzania LHRC: Watoto na Wanaume ndio waathirika wakuu wa uvunjifu wa haki za binadamu Tanzania kwa mwaka 2025

    Akizungumza wakati wa kuwasilisha matokeo ya utafiti huo, Afisa Utafiti wa Legal and Human Rights Centre (LHRC), Fundikira Wazambi, amesema wanaume wameongoza kwa kuathirika na ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Tanzania mwaka 2025, kutokana na matukio ya machafuko ya Oktoba, ukiwemo ukiukwaji...
  2. N

    JamiiForums Tanzania LHRC na ZAFAYCO wanazindua ripoti ya Haki za Binadamu 2025 inayomulika kuhusu matukio ya Oktoba 2025, utekaji na mengineyo

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na Shirika la Zanzibar Fighting Against Youth Challenge Organization (ZAFAYCO), leo April 20, 2026 wanazindua rasmi ripoti ya Haki za Binadamu nchini Tanzania kwa Upande wa Tanzania Bara na Zanzibar. Ripoti hiyo Imebebwa na dhima...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Haki za Binadamu: Uhuru wa kujieleza uliathiriwa na sheria kandamizi, unyanyasaji, na ukandamizaji wa waandishi

    Uhuru wa Kujieleza: Mwaka 2024, uhuru wa kujieleza uliathiriwa na sheria kandamizi, kusimamishwa kwa leseni za vyombo vya habari, na matukio ya kukamatwa, kushambuliwa, kunyanyaswa, na kufungwa kwa waandishi wa habari. Pia kulikuwa na Vikwazo dhidi ya uhuru wa kisanii na ubunifu. Ingawa...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Haki za Binadamu: Haki za kiraia na kisiasa 2024 zilikumbwa na changamoto kama vurugu za wananchi, mauaji yasiyo ya kisheria nk

    Haki za kiraia na kisiasa nchini Tanzania mwaka 2024 zilikumbwa na changamoto mbalimbali zikiwemo vurugu za wananchi, mauaji yasiyo ya kisheria, mauaji yanayochochewa na imani za kishirikina, mauaji ya wenza wa karibu, kutoweka kwa watu, na adhabu ya kifo. Pia kulikuwepo ukatili dhidi ya...
Back
Top Bottom