rasmi

Ni Gusti Ayu Raka Rasmi (March 10, 1939 – March 17, 2018), also known as Raka Rasmi, was a Balinese dancer who introduced the stylized art of Balinese dance to the world. She was the youngest member of the Balinese dance troupe, the Bali Dancers, that was the first to perform in the United States in 1952.Rasmi began her career in 1951 as part of the Sekaha Gong Peliatan. She was then discovered by John Coast, former English Diplomat, who formed the Balinese dance group.Rasmi became the first to dance the Oleg Tamulilingan, or the Bumblebee, a then controversial dance in which male and female dancers circle each other.In 2005 she was part of an award-winning festival performance that brought together veteran local dancers with emerging artists.

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania Magaidi wa Houth waingia vitani rasmi na Israel

    Msemaji wa Houthi wa Yemen, Yahya Saree: Tunatangaza marufuku kamili na kamili ya urambazaji wa baharini wa Israeli katika Bahari Nyekundu, na tunaona harakati zote za adui kuwa malengo halali ya kijeshi kwa Vikosi vyetu vya Jeshi kuanzia wakati taarifa hii tutaanza kuishambulia israel.
  2. O

    JamiiForums Tanzania Ulifanikiwaje kuiendesha Ile biashara ya pembeni bila duka Kwa online na ukapata pesa kuingia rasmi mtaani Kwa vibali

    Ndio wengi hujaribu kabla ya kuingia rasmi je ulitumia mbinu gani Kwa wateja wa mbali na karibu usiseme tu mtandao SEMA SIRI YAKO YA MAFANIKIO. Itasaidia wengine kuepuka kukurupuka na mitaji yao ya kubahatisha
  3. JamiiForums Tanzania Safari za Shirika la Ndege la Brussels Airlines kutoka Brussels - KIA zazinduliwa Rasmi

    Tanzania imeandika historia mpya katika sekta ya usafiri wa anga na utalii baada ya Shirika la Ndege la Brussels Airlines kuzindua rasmi safari zake za moja kwa moja kati ya Brussels, Ubelgiji na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) katika hafla iliyofanyika Juni 3, 2026. Kuanza...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Katiba kitaa yazinduliwa rasmi

    29 May 2026 Jaji Mstaafu Profesa Ruhangisa - Kwa Nini Katiba Mpya kwa Viongozi ... https://m.youtube.com/watch?v=yeWcy3FJ6S0 Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu Prof. John Ruhangisa wakati wa mahojiano maalum ya kipindi cha Katiba Kitaa jijini Arusha. John Eudes Ruhangisa ni msomi mashuhuri wa...
  5. JamiiForums Tanzania Gaidi Ayatollah Ali Khamenei kuzikwa rasmi mwezi huu huko Qom iran!!

    Utawala tawala wa Iran umetangaza kipindi cha siku tatu cha maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha Kiongozi Mkuu Ayatollah Ali Khamenei. Maafisa pia wamefichua mipango ya mazishi makubwa ya kitaifa, ambayo kwa sasa yanatarajiwa kufanyika katikati ya Juni 2026. Sherehe zimepangwa kufanyika...
  6. JamiiForums Tanzania Kambarage, Fatma Na Chumi Waapa Rasmi Kuwa Wabunge Wa Bunge La Jumuiya Ya Afrika Mashariki

    Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki waliopigiwa kura hivi karibuni na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambao ni Ndugu Kambarage Wasira, Fatma Kange na Cosato Chumi, wameapa leo 01 Juni 2026 wakati wa kikao cha Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuanza shughuli...
  7. JamiiForums Tanzania Car4Sale 2021 Land Rover Defender 110, Chuma ya kazi rasmi Sokoni

    Bei/Price🏷️👉🏾TSH 290M Call📞+255 747 999 927 LAND ROVER DEFENDER 110 D240 Year: 2021 Engine: 2.0L Mileage: 24,000+ Fuel Used: DIESEL Transmission: AUTO ✅100% Duty Paid ✅Swap Deals Available ✅Zero Registration Cost ✨Parking Assist ✨360 Degree Camera ✨Adaptive Air Suspension
  8. D

    JamiiForums Tanzania DAWASA sasa rasmi Msumi, wakazi 300 kuunganishiwa huduma

    Wakazi wa eneo la Msumi, Kata ya Mbezi wilayani Ubungo, wameanza kupata huduma ya majisafi kufuatia kukamilika kwa Mradi wa Maji wa Msumi uliotekelezwa na DAWASA kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 1.2. ‎ ‎Kupitia mradi huo, wakazi wameanza kukabidhiwa vifaa vya maunganisho mapya sambamba...
  9. JamiiForums Tanzania Rasmi Unatiririka JF bila VPN

    Tangu JF ifungiwe kupatikana bila VPN ilipoteza members wengi huku watu wakiogopa kuingia via VPN. Sasa ni kutiririka bila vpn
  10. JamiiForums Tanzania Waziri mkuu mgeni rasmi kongamano la wadau wa mazingira, miaka 40 YA NEMC

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Mei 28, 2026 amewasili kuwa Mgeni Rasmi katika Kongamano la Kitaifa la Wadau wa Mazingira pamoja na maadhimisho ya miaka 40 ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) yanayofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC)...
  11. JamiiForums Tanzania Elimu rasmi sio kigezo pekee au cha mtu kuwa tajiri kihalali, lakini ni nyenzo thabiti sana inayoweza kurahisisha kukuza utajiri

    Unaweza kumfundisha mtoto wako kutafuta na kutumia pesa kwa kuanza kumjengea tabia ya kuweka akiba, kuelewa thamani ya kazi kupitia shughuli ndogo za nyumbani, na kumshirikisha katika maamuzi ya kifamilia ili kueleza tofauti kati ya matakwa na mahitaji ya msingi Kujenga akili ya kifedha...
  12. X

    JamiiForums Tanzania China yaingia rasmi soko la memory chip (DDR5) na gaming GPU. Samsung, SKhynix, Nvidia, Micron na AMD tumbo joto

    Hivi karibuni China imeandika historia mpya ya teknolojia duniani. Kwa miaka mingi Marekani, South Korea na Taiwan zilikuwa The Big 3 Cartel walitawala GPU na memory chips. Wakiamua supply, wakipandisha bei, na dunia nzima ikalazimika kufuata. Sasa China imevunja ukuta huo. Enzi ya kutegemea...
  13. JamiiForums Tanzania Tamko rasmi kuhusu bodaboda wa Jumbe...

    Ombi kwa Chadema ingefaa na ingeleta maana kitaifa kuwajali wale bodaboda . Kama itakuwa vema zile pesa mlizokusanya kule shinyanga muwagawie kama kifuta jasho hata kama ni 500 muwape itawajenga bodaboda wengine kujitolea pindi mtu anapoomba msaada . Hawa bodaboda wana umoja sana kama wangekuwa...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mama 2021 Maua mazuri sasa 2026 yamekauka

    Kwa wanaopenda Tanzania tuko katika wakati mgumu sana kama nchi . Washauri wabaya na uvivu na kujiachia kizanzibari sasa Mama ambaye alikuwa maua yenye harufu nzuri 2021-2022 sasa maua yamekufa kabisa ni lazima yaote upya au tuoteshe mengine. Haya maua ni too late sasa
  15. JamiiForums Tanzania Ndoto za Manchester City kuchukua EPL zinayeyuka rasmi leo!

    Leo mapigo makuu mawili, moja Pep hampo nae tena season ijayo na pili, Bournemouth hawafungiki kwao. Ni hayo tu.
  16. JamiiForums Tanzania Sasa Rasmi Mkuu wa Hamas, Izz al-Din al-Haddad kaangamizwa!!

    IMETHIBITISHWA: Mkuu wa Hamas, Izz al-Din al-Haddad, ameangamizwa bila huruma huko Gaza. Hii inadhibitisha wazi kuwa Israel ina mkono mrefu!! Habari za kifo hiki ziwafikie Mzee wa Uharo Ritz Adiosamigo mdogo gallow bird gTurn na Wafuga Midevu na Majini Popote walipo duniani mipango ya mazishi...
  17. JamiiForums Tanzania Car4Sale 2023 Toyota fortuner iko rasmi sokoni

    Bei/Price🏷️👉🏾 TSH 178M Call📞+255 747 999 927 TOYOTA FORTUNER Year: 2023 Engine: 2GD Low Mileage Fuel⛽: DIESEL Transmission: AUTO ✨Fog Lights ✨Rear Spoiler ✨Push To Start ✅100% Duty Paid ✅Swap Deals Available ✅Zero Registration Cost
  18. JamiiForums Tanzania Rais Samia kuwa mgeni rasmi maadhimisho ya siku ya Mazingira duniani

    Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Mazimgira Duniani yatakayofanyika jijini Dodoma Juni 5 mwaka huu. Katika hafla hiyo, kutafanyia pia uzinduzi wa Programu ya mageuzi ya kimkakati ya Mazingira endelevu Tanzania (2026 - 2030). Akizungumza leo na...
  19. JamiiForums Tanzania Mji wa Bint-Jibeil huko Lebanon-kusini watekwa rasmi na Majeshi ya Israel!!

    "Lango la Ushindi" la Bint Jbeil laangukia mikononi mwa majeshi hodari ya Israel!! Kikosi kazi cha 'Argentina' cha IDF imekamilisha shughuli zake kwa kuuteka mji wa Bint Jbeil kufuatia kutekwa kwa mji wa kusini mwa Lebanon, ambao hapo awali ulielezewa na Marehemu Gaidi Hassan Nasrallah kama...
  20. JamiiForums Tanzania Idadi rasmi ya vifo ni 800?

    Kuna mkanganyiko mkubwa wa idadi ya vifo vilivyotangazwa na tume ya jaji Chande Lakini pia imezua maswali.. Je idadi hiyo iko documented police ama hospital? Je death certificate zake zipo? Je postmortem report zake zipo Je vibali vya mazishi vipo? Je makaburi yao yapo? Nknl
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…