rais wa namibia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Rais wa Namibia Atembelea Majirani zake wa Zamani Magomeni

    Rais wa Namibia Atembelea Majirani zake wa Zamani Magomeni Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametemebelea eneo la magomeni katika nyumba aliyowahi kuishi wakati wa harakati za ukombozi wa Namibia kupitia chama cha SWAPO. Katika ziara hiyo ya kipekee iliyochanganya...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo Rais wa Namibia alikuja kubariki mauaji, hakupashwa kuja

    Ujio kama huo ni kuhalalisha yaliyotokea 29.10.2025. Mwenye nia njema hakupashwa kuja hapa.
  3. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais wa Namibia Dkt. Netumbo Nandi- Ndaitwah apokelewa ikulu jijini Dar es Salaam

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amempokea Rais wa Namibia Dkt. NETUMBO Nandi- Ndaitwah, leo tarehe 20/6/2026 ikulu Jijini Dar es salaam alipowasili kwaajili ya ziara yake ya kikazi ya siku tatu yenye lengo la kuimarisha na kujadili masuala mbalimbali ya Uhusiano...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aendelea Kuwa Almasi Ya Dunia. Rais Wa Namibia Kutua Nchini Hapo Kesho.Wazungu nao waendelea Kupigana Vikumbo Kuomba nafasi ya Kuja

    Ndugu zangu Watanzania, Nashindwa Niandike nini hapa ,Nashindwa nimuelezee Vipi Rais Samia , Nashindwa Nizungumze Nini Nanyi Maana Rais Samia Anaendelea kuonyesha kuwa ni chaguo la Mungu , anaendelea kuonyesha Kainuliwa na kupewa kibali na Mungu Mwenyewe. Rais Samia anaendelea kuonyesha kuwa...
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais wa Namibia kufanya ziara ya kitaifa nchini 19 - 22 Juni, 2026

    Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mheshimiwa Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 19 Juni, 2026 kwa ziara ya kitaifa. Ziara hiyo, ambayo ni ya pili kuifanya nchini Tanzania tangu aingie madarakani, inaendelea kudhihirisha uhusiano wa kindugu na wa kihistoria kati ya...
  6. Gabeji

    JamiiForums Tanzania Rais wa Namibia ni bora Afrika mzima

    Jamani raisi wa Namibia ndio bora ,ktk kusimia lasimali za nchi yake, cha ajabu na kushangaza ni mwanamke nimekumia sana ,nimemunea uwivu mkubwa. Nimetamani sana kama ingekuwa unaweza kuuzima rais basi Tanzania tungemchukua huyu mama ,yaani ni mzalendo. Tanzania ingekuwa kama marekani ndani ya...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Rais wa Namibia amfuta kazi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Viwanda, Madini na Nishati

    Rais wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah Rais wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, amemfuta kazi Natangwe Ithete kutoka nyadhifa zake za Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Viwanda, Madini na Nishati, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ikulu siku ya Jumapili Oktoba 26, 2025 Kupitia taarifa hiyo...
Back
Top Bottom