rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. PreGE2025 Kumbukizi: CUF walivyopigwa kama mbwa kipindi cha Mkapa. Je, Samia naye atakuja kujutia haya anayotenda sasa kama Mkapa?

    GT Police wa Tanzania ni wendawazimu kabisa na hawana adabu kwa raia, Check hiki kipigo wanampiga mtanzania mwenzao kisa ulafi wa madaraka wa politicians.
  2. Kama ukifanikiwa kupata fursa ya kukutana na rais Samia kuhusiana na kadhia ya Tundu Lissu, unaweza kumshauri nini?

    Japo kadhia ya kukamatwa na kuwekwa ndani na kufunguliwa mashitaka ya uchochezi na uhaini linachukuliwa kuwa ni la kisiasa, ni la kijamii hata kiuchumi pia. Hivyo, kama wadau, tuna haki na wajibu kushiriki kulitafutia suluhu mujarabu. Je kama mdau Mtanzania, kama ingetokea ukakutana au kupata...
  3. Kama ningekuwa Rais Samia

    Uzi huu utumike kuonesha upande wa pili ambao Rais Samia pengine hauoni. Naamini huwa anapita humu jamvini na akiuona huu Uzi hawez acha kufungua. Kwa upande wangu kama ningekuwa Rais Samia.. 1. Ningemuachilia huru Tundu Lissu.. maana kumuweka ndani ni kumuongezea umaarufu na siku mtu huyu...
  4. Mtazamo wangu: Awamu ya Samia Vyombo vya Dola vina Nguvu Jeuri, na Uhakika wa kufanya wanavyotaka kuliko awamu ya Magufuli

    Ni mtazamo wangu, na sababu kuu ni kwamba wanawaweza kufanya lolote bila uoga wa kufokewa, kutumbuliwa, wala karipio. Awamu hii unaweza kuambiwa utaona , tutaona na ikatimia kweli, nawapa tahadhari kama huna faida na jambo lenye ukakasi omba yaishe endelea na maisha yako. Kupeana tahadhari ni...
  5. PreGE2025 Kada wa CCM: Rais Samia mwachie Tundu Lissu (Msingida) inatia doa uongozi wako bora

    Mtazameni na msikilizeni huyu kada wa CCM kisha tia neno unapata ujumbe gani kupitia kwake kuhusu kesi ya Tundu Lissu.... Anamtaka Mwenyekiti wake taifa - CCM, Bi Samia Suluhu Hassan kumwachia Tundu Lissu kwa sbb eti "..inatia doa uongozi wake bora..!!" Kwa wajuvi wa mambo ya propaganda za...
  6. Rais Samia kuongoza Taifa Kumuaga Cleopa Msuya

    Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ataowangoza Watanzania katika tukio la kumuaga marehemu Waziri Mkuu na Makamu wa Rais mstaafu, Cleopa Msuya. Hafla hiyo itakayoambatana na ibada maalumu, inatarajiwa kufanyika Mei 11, 2025 katika viwanja wa Karimjee kuanzia saa...
  7. Bunge la EU lazitaka nchi wanachama wa EU kusitisha misaada kwa Tanzania. CCM wabuni propaganda ya USHOGA kujipooza na kujifariji

    https://youtu.be/y9z3-27Xmto?si=M-gCdeXeZoxzZogf Ni kwa Tanzania kukiuka mikataba na matamko ya kimataifa kuhusu haki za binadamu, Uhuru na demokrasia.. Wazitaka nchi wanachama wao kuiwekea vikwazo Tanzania ikiwemo kusitisha misaada ya kimaendeleo ktk sekta mbalimbali kama nishati, afya, ulinzi...
  8. PreGE2025 Mtia nia Urais aondoka CHADEMA, amtuhumu Lissu kwa kumshambulia Rais Samia

    Aliyekuwa mtia nia wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na mwanzilishi wa kundi la G-55 Romanus Mapunda ametangaza rasmi kuondoka katika chama hicho. Pia, Soma: Kada wa CHADEMA, Romanus Mapunda atangaza nia ya kugombea Urais 2025 Mapunda amefikia uamuzi huo...
  9. Pongezi Rais Samia kwa Tanzania kuwa Kinara Uhuru wa Habari, EAC, Vipi Kale ka 'Simba ka Kizimkazi' Mnaonaje Kaachiwe?, Kanatuvurugia Sana Amani?

    Wanabodi Makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi https://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/tumpongeze-rais-samia-sambamba-na-wanahabari-ila-tukaze-uzi-5030938 Tarehe 3 Mei kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, kwa wiki nzima, iliyopita, nimekuwa jijini Arusha kwenye hoteli...
  10. Rais Samia ampokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Daniel Chapo

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amempokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Daniel Francisco Chapo
  11. S

    Ushauri kwa Rais Samia: Punguza ukaribu na wasanii, watakuharibia!

    Nieleweke, simchukii Rais wangu, nampenda sana. Ila Rais huyu kiujumla, anawaogopa wasanii. Wasanii wengi hawana hata maadili—watamsaidia nini? Mbele ya Rais wa nchi, mhuni mmoja anasema Harmonize amerudiana na Kajala, Rais anacheka. Nchi tunaipeleka wapi? Kimsingi, baada ya Samia kuwa Rais...
  12. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua, Shaaban Kisu kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu

    Rais Samia Suluhu Hassan amemteua, Shaaban Kisu kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu. Taarifa imetolewa leo Mei 7,2025 na Katibu Mkuu Kiongozi,Moses Kusiluka katika hafla ya waandishi wa habari wateule kwenye Tuzo za Samia Kalamu Awards,zilizokabidhiwa Mei 5,2025. Chanzo: Nipashe
  13. J

    PreGE2025 Shangwe la Wafugaji: Chanjo Milioni 77 na Hereni Milioni 37 kutolewa bure na Serikali, Wafugaji wadai hawana deni tena na Mama Samia

    == Bila kujali mfugaji unamifugo mingapi Mama Samia atakupa chanjo na hereni kwa mifugo yako yote bure kabisa. Serikali inatarajia kuzindua Kampeni ya Chanjo ya Mifugo Kitaifa kati ya mwezi Mei hadi Juni, 2025 ambapo jumla ya dozi 19,099,100 za chanjo ya Homa ya Mapafu ya Ngombe (CBPP)...
  14. Mpaka sasa unayajua Makundi mangapi ya 'Kujipendekeza' kwa Rais Samia?

    Ninayoyajua Mimi mpaka sasa japo nasikia yapo kama 25 hivi ni haya yafuatayo..... 1.Mama Ongea na Mwanao 2. Samia Squad 3. Mama tutakutetea hadi Umauti 4. Mama Samia Tunakupenda Haya nanyi endeleeni na mengineyo ila mnisaidie tu kuniambia ni wapi Fedha za Kuwalipa hawa Chawa zinatolewa?
  15. W

    PreGE2025 CHAKAMWATA yasema Rais Samia ameyagusa maslahi yao

    Katibu Mkuu wa Chama Kutetea Haki na Maslahi ya Walimu Tanzania (CHAKAMWATA),Mwalimu Meshack Kapange, amempongeza Rais Samia kwa kuongeza mshahara, jambo ambalo litaleta nafuu ya maisha kwa wafanyakazi nchini.
  16. L

    Rais Samia atunukiwa Tuzo ya 'Mother of the Nation' na Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu, Sheikh Mohamed Bin Zayed

    Ndugu zangu Watanzania, Rais Samia anaendelea kuchanja Mbuga katika Mioyo ya Walimwengu. Anaendelea kuteka na kugusa mioyo ya watu, anaendelea kuifanya Dunia kuendelea kumjadili na kujifunza kutoka kwake uongozi bora , uchapakazi, uzalendo na uhodari katika kuinua na kuboresha Maisha ya watu...
  17. PreGE2025 Rais Samia: Kalamu zetu zinalinda nchi yetu sawa na jeshi linavyolinda mipaka ya nchi yetu. Namuona Murilo anasikiliza kwa makini

    Rais Samia Suluhu amesema Mwaka huu ni mwaka wa jambo kubwa, nchi yetu inakwenda kwenye uchagazi mkuu niwaombe mtumie kalamu zenu kuhamasisha umoja, amani na mshikamano nchini. Ameyasema hayo leo kwenye usiku wa tuzo za Samia Kalamu Awards mwaka 2025. Soma Pia: Rais Samia akishiriki Hafla ya...
  18. PreGE2025 Tuzo za Samia Kalamu Awards Superdome Mawaziri washindana kutoa zawadi kwa washindi, mmoja apewa boti ya milioni 50

    Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo May 05,2025 ameongoza Wadau mbalimbali kwenye ugawaji wa Tuzo za umahiri kwa Waandishi wa Habari na Vyombo vya Habari Tanzania, zilizoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania...
  19. PreGE2025 Rais Samia apimwe kwa kazi zake

    Siamini katika kuvunja katiba, vyovyote iwavyo ningependa uchaguzi ufanyike mwaka huu, kukiwa na ushiriki wa vyama vyote na CHADEMA kikiwepo. Kama sauti yangu ingekuwa inasikika ningemshauri Rais, serikali iachane na kuisakama CHADEMA, binafsi naona matumizi ya mkono wa dola dhidi ya CHADEMA na...
  20. PreGE2025 Spika Dr.Tulia: Rais Samia anafanya vizuri kuliko wanaume

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kufanya vizuri zaidi ya baadhi ya Viongozi wa kiume akieleza kuwa mafanikio yake ni ushahidi wa uwezo mkubwa wa Wanawake katika uongozi. Dkt. Tulia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…