rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Sifi Leo

    GE2025 Kila mkoa uliopoteza mtu tusimpokee Rais Samia, TUNAANZA WACHAGA Bila SOKA mama USIJE Kilimanjaro kuomba kura

    PASIPO Mh Rais kuja na majibu ya wapi alipo SOKA tafadhali USIJE kuomba kura tafadhali sanaaa
  2. U

    USHAURI sherehe kumpongeza Rais Samia at akaposhinda Uchaguzi Mkuu Oktoba zifanyike Butiama, Zanzibar, Lupaso na Chato lengo kuwaenzi Marais Wastafu

    Hakuna shaka yeye ndiye mshindi hivyo kwa lengo la kuwaenzi waasisi waliop hai na wale walioenda mbele za haki.
  3. U

    Mnaompinga Rais Samia mfafanue kwa ushahidi mambo gani hajayatekeleza hadi sasa tangu alipochukua madaraka, vinginevyo mumpe sifa anazostahili

    takwimu haziongopi kwani yale aliyoahidi kwenye Ilani ya Uchagizi kayafanya kikamilifu. Ni vema mkaja na ushahidi vinginevyo mkae kimya au mumpe sifa anazopaswa kuwa nazo Rais wetu DK Samia Suluhu Hassan
  4. Tajiri wa kinyankole

    Hadaa ziinazofanyika na ulaghai wa mama anaupiga. Mwingi ni kwasababu watu wanakula kulingana na urefu wa kamba yao

    Ukiona raisi anasifuwa na kutangazwa kila kona ya nchi na machawa , wafanyabiashara ku print nguo zake na kupa zawadi mbalimbali za upngozi bora ujue nchi hiyo inaelekea kuangamia Wote mnaona yale wanayoyasema mama kaupiga mwingi ni yapi Vituo vya afya ameacha amejenga JPM kila mkoa Sgr...
  5. L

    Rais Samia Aumizwa Moyo Na kusikitishwa sana na vifo 25 Vya Watu waliofukiwa na Kifusi Mgodini Mkoani Shinyanga

    Ndugu zangu Watanzania, Nawapendeni sana. Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge...
  6. Waufukweni

    GE2025 Mpina: Sijashiriki kumpitisha Rais Samia kwenye mkutano mkuu wa CCM

    Mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amejibu kuhusu kumpitisha Rais Samia kwenye mkutano mkuu wa CCM
  7. Sifi Leo

    Hayati Magufuli alipokataa bahasha yenye Milioni 10 kutoka kwa Mengi, Rais Samia alikuwa pembeni, kimoyomoyo alisemaje?

    Wakati Mh Hayati Magufuli anagombea Hayati Mengi alimpelekea Bahasha ilivyokuwa imewekwa Milioni Kumi kama mchango wake kwa kampeni za uraisi. Kwa mujibu wake Mh Hayati pombe Magufuli alizikataa zile fedha mbele ya Mh Makamu wa Rais Swali Mh Rais wa Sasa kimoyooyo alikuwa anasemaje? Msomaji...
  8. Roving Journalist

    Rais Samia Suluhu Hassan atunukiwa Nishani ya Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM)

    https://www.youtube.com/watch?v=3lNNwCmNJQ0
  9. R

    GE2025 Maelfu ya wanachama wa CCM Simiyu wajitokeza kumdhamini Rais Samia

    Maelfu ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Simiyu wamejitokeza kumdhamini mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 Chanzo: Jambo TV
  10. mkokamoto

    Rais Samia na Urithi wa Migawanyiko: Nchi inavyozidi kutengana

    "Mama Samia na Urithi wa Migawanyiko: Nchi Inavyozidi Kutengana" Tangu Mama Samia Suluhu Hassan aapishwe kuwa Rais wa Tanzania, taifa limeingia kwenye sura mpya yenye mchanganyiko wa matumaini na mshangao. Lakini sasa, tunapoangalia uhalisia wa mambo, tunagundua kwamba nyuma ya tabasamu la...
  11. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Viongozi wa Kimasai Wamuunga Mkono Rais Samia kuendelea kuongoza miaka mitano ijayo

    Viongozi wa jamii ya kimasai nchini (Malaigwanani) wametoa msimamo wao wa kumchagua tena rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kuendelea kuongoza nchi kwa miaka mitano ijayo kutokana na utendaji kazi wake. Akizungumza baada ya kikao kilichowakutanisha viongozi hao kutoka Siha na Longido, mwenyekiti wa...
  12. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Zaidi ya wanachama 3000 wa CCM Kilimanjaro wajitokeza kumdhamini Rais Samia

    Zaidi ya Wanachama 3000 wa chama cha Mapinduzi CCM mkoani Kilimanjaro wamejitokeza leo agosti 13 2025 kumdhamini mgombea Urais wa chama Dkt.Samia Suluhu Hasan ambae pia ni Rais wa awamu ya sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tukio hilo limefanyika katika ofisi za mkoa CCM Kilimanjaro...
  13. Roving Journalist

    Rais Samia atunukiwa Tuzo Maalam ya Maji (Presidential Water Changemakers Award 2025)

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Tuzo ya Juu ya Heshima ya Maji (Presidential Global Water Changemakers Awards 2025) iliyotolewa na Global Water Partnerships kwa kushirikiana na Umoja wa Afrika. Tuzo hiyo imetolewa na Mheshimiwa Rais Duma Boko...
  14. J

    GE2025 RC Anamringi: Mkoa wa Simiyu umetoa TZS2bn kwa vijana, TZS2bn kwa wanawake na TZS1bn kwa walemavu kwaajili ya 10% chini ya Rais Samia

    Akiongea na wanahabari, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Annamringi Macha amesema pato la Mkoa limeongezeka kutoka shilingi trilioni 2.5 mwaka 2020 hadi trilioni 3.5 mwaka 2024, huku mapato ya ndani ya Halmashauri yakipanda kutoka shilingi bilioni 14.23 mwaka 2021|2022 hadi bilioni 18.32 mwaka...
  15. R

    Rais Samia apeleka Bilioni 300 Tume ya umwagiliaji

    Chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika mwaka wa fedha 2025|2026, Tume ya Umwagiliaji iliidhinishiwa jumla ya Shilingi 382,138,408,000. Fedha hizi zimetengwa kama ifuatavyo: Shilingi 308,721,961,000 ni fedha za Maendeleo, huku Shilingi 73,416,447,000 zikielekezwa kwa matumizi ya...
  16. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Rais Samia: Fedha hizi za harambee zitatumika vema katika kampeni kama ilivyokusudiwa

    Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepongeza uandaaji wa hafla nzima ya uzinduzi wa harambee ya kuchangia kampeni ya CCM. Pia, ametoa pongezi kwa wasanii, watu mashughuli na watu wote kwa ujumla kwa makundi tofauti tofauti walioshiriki...
  17. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Azim Dewji: Rais Samia wasikusumbue wakina mbiombio hawa jambo isipokuwa ni wivu tu

    Mfanyabiashara maarufu nchini Mzee Azim Dewji katika harambe ya kuchangia kampeni za CCM ambayo inakwenda kwajina la CCM gala diner amesema Rais Samia asisumbuliwe na kinambimbio ambapo hawana jambo bali wivu tu. Rais Samia usisumbuliwe na wakina mbiombio hawana jambo bali ni witu tu...
  18. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Rais Samia achangia milioni 100 CCM gala dinner 2025

    Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania amechangia kiasi cha shilingi milioni 100 za Kitanzania usiku wa CCM gala dinner 2025 katika harambee ya kuchangia bilion 100 kuchangia Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wawakilishi, Wabunge na Urais.
  19. L

    GE2025 Rais Samia akiwasili kwa Bashasha na Tabasamu Mlimani City katika Harambee ya Kuichangia CCM Billion 100. Watu Waandaa Maburungutu ya Pesa kuimiminia

    Ndugu zangu Watanzania, Hivi Ndivyo Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge...
Back
Top Bottom