Dar es Salaam. Makada watatu akiwamo aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Tanzania Bara, Othman Omar Dunga, wamepitishwa kuwania nafasi ya uenyekiti wa chama hicho Taifa, iliyoshikiliwa kwa muda mrefu na Profesa Ibrahim Lipumba.
Wengine waliopitishwa kuwania nafasi hiyo ni...