post election events

After the 2020 United States presidential election, the campaign for incumbent President Donald Trump and others filed 62 lawsuits contesting election processes, vote counting, and the vote certification process in 9 states (including Arizona, Georgia, Michigan, Nevada, Pennsylvania, and Wisconsin) and the District of Columbia.
Nearly all the suits were dismissed or dropped for lack of evidence or lack of standing, including 30 lawsuits that were dismissed by the judge after a hearing on the merits. Among the judges who dismissed the lawsuits were some appointed by Trump himself. Judges, lawyers, and other observers described the suits as "frivolous" and "without merit". In one instance, the Trump campaign and other groups seeking his reelection collectively lost multiple cases in six states on a single day. Only one ruling was initially in Trump's favor: the timing within which first-time Pennsylvania voters must provide proper identification if they wanted to "cure" their ballots. This ruling affected very few votes, and it was later overturned by the Pennsylvania Supreme Court.
Trump, his attorneys, and his supporters falsely asserted widespread election fraud in public statements, but few such assertions were made in court. Every state except Wisconsin met the December 8 statutory "safe harbor" deadline to resolve disputes and certify voting results. The Trump legal team had said it would not consider this election certification deadline as the expiration date for its litigation of the election results. Three days after it was filed by Texas attorney general Ken Paxton, the U.S. Supreme Court on December 11 declined to hear a case supported by Trump and his Republican allies asking for electoral votes in four states to be rejected.
One suit, Michigan Welfare Rights Org. et al. v. Donald J. Trump et al., was brought by black voter groups in Michigan against Trump and his 2020 presidential campaign. Dominion Voting Systems brought defamation lawsuits against former Trump campaign lawyers Sidney Powell and Rudy Giuliani, each for $1.3 billion. Smartmatic brought a defamation lawsuit against Fox Corporation and its anchors Lou Dobbs, Maria Bartiromo, and Jeanine Pirro as well as Giuliani and Powell for $2.7 billion. In the aftermath of the January 6, 2021, attack on the Capitol, several civil suits were filed against Trump, sometimes in combination with other defendants. The plaintiffs include members of Congress, United States Capitol Police officers, and District of Columbia Metropolitan Police officers.
Two criminal cases have also been filed, The State of Georgia v. Donald J. Trump, et al., a racketeering case against Trump and 18 other defendants, and United States v. Donald J. Trump, an election obstruction case in the District of Columbia.

View More On Wikipedia.org
  1. Cute Wife

    Rais Samia, Polisi wabubujikwa machozi ya uoga Siku ya Uhuru! Hawaamini kama hawa ni Watanganyika!

    Wakuu, Hivi machozi ya uoga yakiwa yanatoka ndio yanakuwa yanatetema eeeeh? Eti mtaalam wa machozi Lucas Mwashambwa, Dr. Mwigulu Nchemba?🌚🌚 Rais Samia haamini kile anachokiona, yaani wananchi hawa hawa masikini, malofa, wanyonge leo ndio wanamtetemesha hivi? WHO ARE THEY? Yaani WHO ARE THEM...
  2. Q

    PostGE2025 Umoja wa Mataifa (UN) watoa wito kwa Serikali ya Tanzania kulinda waandamanaji wa 9 Desemba, 2025

    GENEVA - Disemba 05, 2025 Serikali ya Tanzania imehimizwa kudumisha uhuru wa kimsingi kabla ya maandamano yaliyopangwa ya Siku ya Uhuru tarehe 9 Disemba. Msemaji wa Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu amezikumbusha mamlaka juu ya wajibu wao wa kulinda haki za uhuru wa...
  3. Cute Wife

    PostGE2025 Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya! Nani kawaambia zitakuwa Vurugu na sio Maandamano?

    Wakuu, Yaani kila kiongozi na chawa wao wakitoka utasikia "Wanataka kufanya vurugu", "Sio maandamano ni vurugu", "Wanahamasisha vurugu"..... yaani neno vurugu ndio linapigiwa promo! Unaenda kukamata mtu eti anahamasisha vurugu Disemba 9, hapo mtu kasema nitashiriki maandamano au kuwaambia...
  4. Cute Wife

    PostGE2025 Larry: CNN ilituma maswali kwa Msigwa, Wizara ya Afya na Polisi lakini hatukupata majibu

    Larry, kupitia mitandao ya kijamii amekuja kujibu madai ya Msigwa kuwa CNN hawakuishirikisha serikali ya Tyanzania katika ripoti waliyoiandaa ikielezea matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi. Amesema wameongeza maneno kwenye ripoti yao kuthibitisha kuwa CNN iliwatafuta serikali ya Tanzania...
  5. Cute Wife

    PostGE2025 Alichoandika Steven Mmbogo kuhusu Ukweli, Amani, Maridhiano na Mustakabali wa Taifa

    BARUA YA WAZI KWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN “Kwa ajili ya Ukweli, Amani, Maridhiano na Mustakabali wa Taifa” Na: Steven Mmbogo - 24 Novemba 2025 Mheshimiwa Rais, Ninakuandikia barua hii kwa unyenyekevu, kwa uwazi, na kwa heshima ya hadhi yako kama Mkuu wa Nchi, lakini pia kwa ujasiri...
  6. Cute Wife

    PostGE2025 Waandishi wa Habari wakisikiliza kwa umakini mkubwa jinsi Msigwa anavyoibagaza CNN!

    Wakuu, Yaani mpaka waandishibwa habari wenyewe aliowasifia kuwa na "Weledi" na "Maadili" walikuwa wakimuona fala😂🤣🤣, yaani vile waandiahi wanavyopigwa spana na wananchi unatoka kusema wamefanya kazi kwa weledi! Wanasema picha zinaongea, na kweli ukiziangalia hizi picha unapata yote waliyokuwa...
  7. Cute Wife

    Tetesi: Inasemekana Msimamizi wa Mochwari ya Mwananyamala hajulikani alipo

    Dada anayesimamia mochwari ya Mwananyamala hajulikani alipo, kutokana na video za maiti za waandamanaji kuvuja. Mdugu zake wananmtafuta mpaka sasa. Mpaka mtu unashindwa kuelewa ni akili gani zinatumika huko serikalini! Kumkamata huyo dada, yule daktari aliyekuwa wa Mwanza inasaidia nini wakati...
  8. Cute Wife

    PostGE2025 Malisa: Hakuna Mtu au Taasisi inayoweza kuhonga mamilioni ya vijana nchi nzima. Kama ilifanyika Vyombo vya Ulinzi ni DHAIFU

    Anandika Godlisten Malisa... "Mimi binafsi siamini kama vijana walihongwa. Hakuna mtu wala taasisi inayoweza kuhonga mamilioni ya vijana nchi nzima. "Na kama ilifanyika hivyo basi vyombo vya ulinzi ni dhaifu. Kama yupo mtu anaweza kuhonga vijana nchi nzima na vyombo vya ulinzi visijue mpaka...
  9. Fascinating

    PostGE2025 Tunaitumia vibaya hii Kauli: “TUTALINDA AMANI KWA GHARAMA YOYOTE”

    Kuna kauli moja imeibuka baada ya kilichotokea kipindi cha uchaguzi: “Tutalinda amani kwa gharama yoyote.” Imeanza kutumika kama wito wa wajibu wa kitaifa wa kuhakikisha nchi haianguki kwenye machafuko. Lakini ukiichunguza kwa makini, unagundua jambo la kusikitisha, gharama ambayo wengi wako...
  10. Roving Journalist

    Rais Samia akizindua Tume Huru ya Uchunguzi ya Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi

    Rais Samia akizindua Tume Huru ya Uchunguzi ya Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi https://www.youtube.com/live/pPI4FheVabM?si=j0ZyGRkWY0MtLpRm Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka akizungumza Ikulu Chamwino mkoani Dodoma wakati wa uzinduzi wa Tume Huru ya...
  11. Nyani Ngabu

    PostGE2025 Wewe ndiye umetutia doa baya kabisa!

    1. Kwa kuwafunga wapinzani wako wasishiriki uchaguzi. 2. Watu wanaokukosoa kutekwa. Hupendi kukosolewa. Job Ndugai aliposema mambo ambayo yalionekana yanakukosoa wewe, ukamfukuza uspika. Dokta Slaa aliposema mambo ambayo yalionekana kama yanaukosoa utawala wako, ukamvua ubalozi. Humphrey...
  12. Mto wa mbu

    Habili ni nani? Je, anaishi Kawe kweli? Kuingilia mifumo ya ulinzi ya nchi mbona ni hatari kwa Taifa

    Daa Tanzania will never be the same again. Uko TikTok Kuna jamaa anajiita Habi, huyu mtu ana kiswahili Fulani hivi Cha kimagaribi. Jamaa ana confidence hatari saana lakini pia anaonekana ana buck up si ya kitoto. Mtu huyu anasema anaishi kawe-Dar es salaam, ametamba kuingilia mifumo ya ulinzi...
  13. JF Summary

    Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania - Novemba 16, 2025

    Serikali yakanusha video ya miili kuonekana Hospitali ya Mwananyamala, yadai imetengenezwa kuleta taharuki Serikali kupitia Wizara ya Afya imekanusha madai yaliyosambaa mtandaoni kuanzia Novemba 15 usiku kupitia video ambayo ilikuwa inaonyesha miili ya watu waliofariki ikiwa imelezwa sakafuni na...
  14. S

    Dr. Malisa yuko peke yake? Ataepuka kesi ya uhaini?

    Wote tunafahamu maandamano ni haki ya kikatiba, ila kwa utawala huu, maandamano yamegeuka kuwa ni kosa la uhaini. Kwa msingi huo na nikirejea kesi ya Lissu kuhusu uhaini, Dr. Malisa ataepuka kesi ya uhaini kwa hoja ya kumtisha Rais kama tulivyoona kwenye kesi ya Lissu? Na je, Dr. Malisa yuko...
  15. A

    PostGE2025 Wizara ya Afya imefuta post ya kukanusha video ya Mwananyamala

    Habari wakuu Jana usiku baada ya Mange Kimambi kutuma video ikionesha maiti za waandamanaji zikiwa zimerundikwa kama mikungu ya ndizi hapo Mortuary ya Mwananyamala hospital, Wizara ya Afya kupitia page zao WALIKANUSHA eti ni FEKI. Kitu ambacho kiliibua hasira kali na watu kuanza kushambulia...
  16. Agent-47

    PostGE2025 Video yaibuliwa ikionyesha miili ya watu waliouawa wakati wa maandano ikiwa imetapakaa mochwari ya Hospitali ya Mwananyamala

    Kwa mujibu wa chanzo hiko hapo ni mortuary ya mwananyamala. Ni maelezo ya namna gani yanaweza kukubalika juu ya tukio kama hili? HAKUNA. ============== Ni Mortuary ya Mwananyamala. Alieachia video hii anahofia mnooo maisha yake ndo maana imemchukua muda sana kunipa video hii. Anasema kuwa...
  17. Cute Wife

    PostGE2025 Rais Samia: Sisi wazazi wenu tungefanya mliyofanya nchi hii isingekuwa na neema kama sasa

    Ila Samia anazidi kuongezea watu hasira tu, kwahiyo wazazi wao walitoa polisi nje kuua watoto wao? Ndio anahalalisha yaliyotokea kwa kusema mkubwa hakosei? Rais Samia kasema kama wao wazazi wangefanya waliyofanya vijana (maandamano) basi nchi hii isingekuwa na neema. Amewaambia vijana...
  18. Cute Wife

    PostGE2025 Rais Samia: Wananchi wamethibitisha kushiriki uchaguzi ndio njia ya kubadilisha viongozi wasioridhika nao

    Rais samia amewashukuru wananchi kushiriki vilivvyo kwenye uchaguzi kuanzia kujiandisha pamoja na kujityokeza kwa wingi kupiga kura na kuchagua vviongozi wanaowataka. Rais Samia ameongeza kwa kusema wananchi wamethibitisha kushiriki uchaguzi ndio njia ya kubadilisha viongozi wasioridhika nao...
  19. Cute Wife

    PostGE2025 Rais Samia aliongoza Bunge kusimama kwa dakika 1 kuwaombea waliofariki kwenye vurugu siku ya uchaguzi

    Rais Samia awaambia wabungge na waliohudhuria bunggeni kusimama kwa dk 1 kuwaombea wote waliopeta maisha, waliojeruhiwa wapone haraka, na pole kwa wale wote waliopoteza mali zao kipindi hiko. Akisema yeye binafsi ameumia sana. Amessma serikali imeunda tume kuchunguza kilichofanyika, akisema...
  20. Black Opal

    PostGE2025 Huko BAKWATA kama ilivyokuwa CCM nako hakuna mwenye akili akashauri vizuri? Waandamanaji ndio wamesababisha mauaji na sio Polisi?

    Yaani sasa hivi kila ukiingia mtandaoni unapigana na hisia zako usije kupata presha kwa hasira! Aaaaaa! Wazee kabisa ambao vijana wanategemea muwe na busara kushauri mambo vizuri mnajitokeza kuongea upuuzi bila soni hata kidogo usoni! Pia soma PostGE2025 - BAKWATA na taasisi za kiislamu...
Back
Top Bottom