post election events

After the 2020 United States presidential election, the campaign for incumbent President Donald Trump and others filed 62 lawsuits contesting election processes, vote counting, and the vote certification process in 9 states (including Arizona, Georgia, Michigan, Nevada, Pennsylvania, and Wisconsin) and the District of Columbia.
Nearly all the suits were dismissed or dropped for lack of evidence or lack of standing, including 30 lawsuits that were dismissed by the judge after a hearing on the merits. Among the judges who dismissed the lawsuits were some appointed by Trump himself. Judges, lawyers, and other observers described the suits as "frivolous" and "without merit". In one instance, the Trump campaign and other groups seeking his reelection collectively lost multiple cases in six states on a single day. Only one ruling was initially in Trump's favor: the timing within which first-time Pennsylvania voters must provide proper identification if they wanted to "cure" their ballots. This ruling affected very few votes, and it was later overturned by the Pennsylvania Supreme Court.
Trump, his attorneys, and his supporters falsely asserted widespread election fraud in public statements, but few such assertions were made in court. Every state except Wisconsin met the December 8 statutory "safe harbor" deadline to resolve disputes and certify voting results. The Trump legal team had said it would not consider this election certification deadline as the expiration date for its litigation of the election results. Three days after it was filed by Texas attorney general Ken Paxton, the U.S. Supreme Court on December 11 declined to hear a case supported by Trump and his Republican allies asking for electoral votes in four states to be rejected.
One suit, Michigan Welfare Rights Org. et al. v. Donald J. Trump et al., was brought by black voter groups in Michigan against Trump and his 2020 presidential campaign. Dominion Voting Systems brought defamation lawsuits against former Trump campaign lawyers Sidney Powell and Rudy Giuliani, each for $1.3 billion. Smartmatic brought a defamation lawsuit against Fox Corporation and its anchors Lou Dobbs, Maria Bartiromo, and Jeanine Pirro as well as Giuliani and Powell for $2.7 billion. In the aftermath of the January 6, 2021, attack on the Capitol, several civil suits were filed against Trump, sometimes in combination with other defendants. The plaintiffs include members of Congress, United States Capitol Police officers, and District of Columbia Metropolitan Police officers.
Two criminal cases have also been filed, The State of Georgia v. Donald J. Trump, et al., a racketeering case against Trump and 18 other defendants, and United States v. Donald J. Trump, an election obstruction case in the District of Columbia.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Sasa hivi kuna uoga mkubwa sana wa kusema ukweli

    Jaji Joseph Warioba amezungumza kupitia Jamhuri TV ambapo amesema sasa hivi kuna uoga mkubwa sana wa kusema ukweli.
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Vyombo vya Usalama vilijiandaa kwa bunduki na risasi? Kwasababu ndiyo wametumia zaidi!

    Akizungumza kuhusu suala hilo, Warioba amesema tathmini ya matumizi ya nguvu inapaswa kuangaliwa kwa uhalisia, hususan kwa kuzingatia idadi ya vifo vilivyotokea. Ameeleza kuwa maandamano yamesababisha vifo vingi, jambo linalozua maswali kuhusu aina ya maandalizi yaliyofanywa na vyombo vya ulinzi...
  3. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Polisi kuendelea na ukamataji usiozingatia taratibu: Hawajasikia maagizo ya Simbachawene? Wanafuata maagizo ya nani?

    Majuzi Waziri Simbachawene alitoa maagizo akiwataka Jeshi la Polisi kukamata raia kwa kufuata taratibu na sheria, kwa kutokamata raia kihuni. Wawe wanavaa sare, na waache kuvaa kininja. Itakuwa Simbachawene si lolote si chochote, maana toka atoe maagizo hayo bado watu wanakamatwa kihuni, mara...
  4. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwabukusi: Kuiba ngoma ya kijiji inaweza isiwe tatizo bali pa kuipiga kwa amani bila wanakijiji kukusikia!

    Anaandika Wakili Boniphace Mwabukusi kupitia ukurasa wake wa X: Kuiba Ngoma ya Kijiji ina weza isiwe tatizo, changamoto kubwa ni kutafuta mahali pa kuipigia kwa Amani bila wanakijiji kukusikia (Msemo wa wahenga). HAKI, UKWELI NA UWAJIBIKAJI ndiyo pekee vitatutoa hapa tulipo katuka mkwamo huu...
  5. Malisa Godlisten

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Malisa: Wazazi wangu na majirani wamewekwa chini ya ulinzi na Polisi

    Ndugu zangu, Muda huu (mchana wa leo Disemba 20, 2025) askari wenye silaha wapo nyumbani kwa wazee wangu, kijiji cha Old Moshi Kidia. Leo wameenda na magari mawili, yenye namba za usajili. Wamemuweka mama yangu mzazi(70) chini ya ulinzi na wamemnyang'anya simu. Majirani walioenda kushuhudia...
  6. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Amnesty International: Nguvu kupita kiasi ilitumika Oktoba 29

    Shirika la kimataifa linaloshughulikia haki za binadamu la Amnesty International, limetoa ripoti yake inayothibitisha kwamba, vyombo vya usalama vya Tanzania vilitumia nguvu zisizohitajika au kupita kiasi katika kudhibiti maandamano ya uchaguzi kati ya tarehe 29 Oktoba na 3 Novemba 2025. ‎...
  7. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jeshi la Polisi limekubali video nyingi zilizosambaa leo ni za Oktoba 29, sasa itakuwaje wakati mlisema ni AI?

    Wakuu, Yaani kila mtakachofanya bado wananchi wananchi wanashinda. Ushahidi unazidi kukaa vizuri kule ICC, bwana Girisho Gerson Msigwa unazidi kuvuliwa nguo, guys ndio kabisa anaandaa skripti ya kuja kutoa kesho lakini anashindwa. Video ni AI, Watanzania hawajaandamana, wanampenda sana Samuya...
  8. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, Polisi wabubujikwa machozi ya uoga Siku ya Uhuru! Hawaamini kama hawa ni Watanganyika!

    Wakuu, Hivi machozi ya uoga yakiwa yanatoka ndio yanakuwa yanatetema eeeeh? Eti mtaalam wa machozi Lucas Mwashambwa, Dr. Mwigulu Nchemba?🌚🌚 Rais Samia haamini kile anachokiona, yaani wananchi hawa hawa masikini, malofa, wanyonge leo ndio wanamtetemesha hivi? WHO ARE THEY? Yaani WHO ARE THEM...
  9. Q

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Umoja wa Mataifa (UN) watoa wito kwa Serikali ya Tanzania kulinda waandamanaji wa 9 Desemba, 2025

    GENEVA - Disemba 05, 2025 Serikali ya Tanzania imehimizwa kudumisha uhuru wa kimsingi kabla ya maandamano yaliyopangwa ya Siku ya Uhuru tarehe 9 Disemba. Msemaji wa Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu amezikumbusha mamlaka juu ya wajibu wao wa kulinda haki za uhuru wa...
  10. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya! Nani kawaambia zitakuwa Vurugu na sio Maandamano?

    Wakuu, Yaani kila kiongozi na chawa wao wakitoka utasikia "Wanataka kufanya vurugu", "Sio maandamano ni vurugu", "Wanahamasisha vurugu"..... yaani neno vurugu ndio linapigiwa promo! Unaenda kukamata mtu eti anahamasisha vurugu Disemba 9, hapo mtu kasema nitashiriki maandamano au kuwaambia...
  11. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Larry: CNN ilituma maswali kwa Msigwa, Wizara ya Afya na Polisi lakini hatukupata majibu

    Larry, kupitia mitandao ya kijamii amekuja kujibu madai ya Msigwa kuwa CNN hawakuishirikisha serikali ya Tyanzania katika ripoti waliyoiandaa ikielezea matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi. Amesema wameongeza maneno kwenye ripoti yao kuthibitisha kuwa CNN iliwatafuta serikali ya Tanzania...
  12. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Alichoandika Steven Mmbogo kuhusu Ukweli, Amani, Maridhiano na Mustakabali wa Taifa

    BARUA YA WAZI KWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN “Kwa ajili ya Ukweli, Amani, Maridhiano na Mustakabali wa Taifa” Na: Steven Mmbogo - 24 Novemba 2025 Mheshimiwa Rais, Ninakuandikia barua hii kwa unyenyekevu, kwa uwazi, na kwa heshima ya hadhi yako kama Mkuu wa Nchi, lakini pia kwa ujasiri...
  13. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waandishi wa Habari wakisikiliza kwa umakini mkubwa jinsi Msigwa anavyoibagaza CNN!

    Wakuu, Yaani mpaka waandishibwa habari wenyewe aliowasifia kuwa na "Weledi" na "Maadili" walikuwa wakimuona fala😂🤣🤣, yaani vile waandiahi wanavyopigwa spana na wananchi unatoka kusema wamefanya kazi kwa weledi! Wanasema picha zinaongea, na kweli ukiziangalia hizi picha unapata yote waliyokuwa...
  14. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inasemekana Msimamizi wa Mochwari ya Mwananyamala hajulikani alipo

    Dada anayesimamia mochwari ya Mwananyamala hajulikani alipo, kutokana na video za maiti za waandamanaji kuvuja. Mdugu zake wananmtafuta mpaka sasa. Mpaka mtu unashindwa kuelewa ni akili gani zinatumika huko serikalini! Kumkamata huyo dada, yule daktari aliyekuwa wa Mwanza inasaidia nini wakati...
  15. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Malisa: Hakuna Mtu au Taasisi inayoweza kuhonga mamilioni ya vijana nchi nzima. Kama ilifanyika Vyombo vya Ulinzi ni DHAIFU

    Anandika Godlisten Malisa... "Mimi binafsi siamini kama vijana walihongwa. Hakuna mtu wala taasisi inayoweza kuhonga mamilioni ya vijana nchi nzima. "Na kama ilifanyika hivyo basi vyombo vya ulinzi ni dhaifu. Kama yupo mtu anaweza kuhonga vijana nchi nzima na vyombo vya ulinzi visijue mpaka...
  16. Fascinating

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tunaitumia vibaya hii Kauli: “TUTALINDA AMANI KWA GHARAMA YOYOTE”

    Kuna kauli moja imeibuka baada ya kilichotokea kipindi cha uchaguzi: “Tutalinda amani kwa gharama yoyote.” Imeanza kutumika kama wito wa wajibu wa kitaifa wa kuhakikisha nchi haianguki kwenye machafuko. Lakini ukiichunguza kwa makini, unagundua jambo la kusikitisha, gharama ambayo wengi wako...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akizindua Tume Huru ya Uchunguzi ya Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi

    Rais Samia akizindua Tume Huru ya Uchunguzi ya Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi https://www.youtube.com/live/pPI4FheVabM?si=j0ZyGRkWY0MtLpRm Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka akizungumza Ikulu Chamwino mkoani Dodoma wakati wa uzinduzi wa Tume Huru ya...
  18. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wewe ndiye umetutia doa baya kabisa!

    1. Kwa kuwafunga wapinzani wako wasishiriki uchaguzi. 2. Watu wanaokukosoa kutekwa. Hupendi kukosolewa. Job Ndugai aliposema mambo ambayo yalionekana yanakukosoa wewe, ukamfukuza uspika. Dokta Slaa aliposema mambo ambayo yalionekana kama yanaukosoa utawala wako, ukamvua ubalozi. Humphrey...
  19. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Habili ni nani? Je, anaishi Kawe kweli? Kuingilia mifumo ya ulinzi ya nchi mbona ni hatari kwa Taifa

    Daa Tanzania will never be the same again. Uko TikTok Kuna jamaa anajiita Habi, huyu mtu ana kiswahili Fulani hivi Cha kimagaribi. Jamaa ana confidence hatari saana lakini pia anaonekana ana buck up si ya kitoto. Mtu huyu anasema anaishi kawe-Dar es salaam, ametamba kuingilia mifumo ya ulinzi...
  20. JF Summary

    JamiiForums Tanzania Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania - Novemba 16, 2025

    Serikali yakanusha video ya miili kuonekana Hospitali ya Mwananyamala, yadai imetengenezwa kuleta taharuki Serikali kupitia Wizara ya Afya imekanusha madai yaliyosambaa mtandaoni kuanzia Novemba 15 usiku kupitia video ambayo ilikuwa inaonyesha miili ya watu waliofariki ikiwa imelezwa sakafuni na...
Back
Top Bottom