Polisi wa Tanzania, mnachekesha! Elimu ndogo, akili ndogo, roho za ukoloni! Badala ya kulinda raia kwa mujibu wa Ibara ya 13 (6)(d) na Sheria ya Polisi Sura 322, mnapiga wanaodai haki zao.
Nyie ni tools of oppression. Mnaua, mnapora, mnatisha, halafu mnarudi kulala kwenye nyumba za tope na...