polisi tanzania

Polisi Tanzania (Polisi Morogoro) is a football club in Morogoro, Tanzania.The 2015/16 season they are playing in the Tanzanian First Division League. They previously played in the top level of Tanzanian professional football, the Tanzanian Premier League.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Swali kwa Polisi Tanzania: Kwanini waathirika wa Utekaji, mauaji, kupotezwa wengi by 99% ni wanachama wa CHADEMA?

    Jana mmetoa tarifa ya sababu ya watu kupotea , kutekwa, kufa na mengineyo kama hayo. Swali kuu: Kwanini wanaopatwa a sanabu mlizozitoa wengi wao, naweza kusema 99% ni wafuasi/wanachama/wapenzi wa chadema ambay pia serikali IMEIKLIA KOONI? Angalia kupotea kwa watu hawa 1. Ben Saanane 2. Mdud 3...
  2. figganigga

    Polisi wazingira Kanisa la Gwajima la ‘Ufufuo na Uzima’ usiku. Wananchi wajazana eneo la tukio, wagoma kuondoka!

    Dar: Polisi wazingira kanisa la Gwajima la Ufufuo na uzima. Ni taharuki kwa Wakristo Nchini. Je, Nchi inaenda wapi? Kanisa lina kosa gani? Kama kakosea Gwajima angekamatwa Gwajima. Kanisa la Ufufuo na Uzima lipo Duniani kote Msajili kakengeuka. Risasi za moto Kanisani za nini? Chezea Siasa...
  3. figganigga

    Polisi Tanzania nata na biti. Wapigeni CHADEMA ili mpandishwe vyeo

    Baada ya Polisi kujua kwamba wakionesha ukali kwa CHADEMA ndo wanapandishwa vyeo, hivi ndivyo wanafanya. Mwanaume mwenzangu anipige hivi, nitakubali ila lazima ntamfuatilia yeye na kizazi chake hadi waniambie kosa ni nini. Je, ni kweli njja za Polisi Hasira wanapelekewa CHADEMA? Wanasiasa...
  4. Carlos The Jackal

    Polisi Tanzania msizime Moto Kwa Petroli , Uhuni kwenye Shambulio la LISSU, msiuhamishie Kwa KITIMA acheni kua na Viburi na Mizaha

    Muacheni kua na Viburi na Mizaha !! Huyo anayewatuma atawaponza, TEC sio Familia ya Masikini ya Mnyonge wa WATU TUNDU LISSU !! TEC inapoongea mara mbili mbili juu ya HAKI Kwa KITIMA dhidi ya Waliofanya Jaribio la kuondoa Maisha yao , Wanamaanisha HAKI KWELIKWELI Sasa basi, endeleeni kuleta...
  5. S.M.P2503

    Polisi Tanzania: Ni Wakati wa Kujenga Urafiki na Wananchi na Vyama vya Upinzani, ikiwemo CCM- Mpinzani Mtarajiwa wa siku za baadae

    Polisi Tanzania: Ni Wakati wa Kujenga Urafiki na Wananchi na Vyama vya Upinzani, ikiwemo CCM- Mpinzani Mtarajiwa wa siku za baadae. Katika jamii yoyote yenye misingi ya kidemokrasia, jeshi la polisi muna nafasi ya kipekee kama muhimili wa kulinda haki za watu, usalama, amani na haki za kila...
  6. figganigga

    Polisi Tanzania wabadili gia angani. Sasa wanaficha sura zao ili Wasitambulike

    Baada ya Polisi kukaliwa kooni kuhusu Vitendo vyao viovu vya kuvunja watu miguu na kuwqpiga maringu ya Uti wa Mgongo, Sasa wamebadili Mbinu. Hii ni baada ya John Mnyika kuonesha Videos kutoka CCTV CCTV kamera zikionesha Sura za Polisi wakielekeza Mbwa kung'ata waduasi wa CHADEMA. Mbali na...
  7. kiwatengu

    Pendekezo la Kuundwa kwa Tume Huru ya Kuchunguza Mwenendo wa Polisi Tanzania

    Wakuu, Nawasalimu, Kwa heshima na taadhima, napenda kutoa wito kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuunda Tume Huru ya Kuchunguza Mwenendo wa Jeshi la Polisi, yenye dhamira ya kuhakikisha kuwa utendaji wa jeshi hilo unazingatia haki za binadamu, uwajibikaji, na matumizi ya madaraka...
  8. Prof_Adventure_guide

    Polisi Tanzania: Your Nonsense Crimes, Hatutunyamazishwa Forever!"

    Sikilizeni polisi wa Tanzania, na viongozi wote wa kipumbavu wanaochochea hii motherfucking uhalifu mnavyofanya mchana kweupe! I swear to God, I ain't stopping this shit — usiku na mchana, mtasikia sauti yangu mpaka mishipa ya masikio yenu i-burst! Mnatuua, mnatutesa, mnabaka haki za raia huku...
  9. technically

    Polisi Tanzania tubuni mnaangamia kwa kokosa maarifa

    Police wanaotumika kuiba kula uwa ni wale duni, waliochoka wenye njaa Kwa walimu pia Lakini wanaonufaika ni watu wakubwa wanasiasa mafisadi Imagine unatumwa unaua unazika alafu aliyekutuma anakupa pesho ya laki moja Unanuka damu yeye aliyekutuma Wala hajawai kuua Polisi jitambueni sisi...
  10. Elisante Yona

    Majukumu na Kazi za Jeshi la Polisi Tanzania

    1. Polisi Tanzania (PT) ni chombo cha Muungano wa Tanzania kilichoundwa ili kuhakikisha usalama wa rai na mali zao, kudumisha Amani na utulivu katika jamii. 2. Kuzuia, kubaini, na kupambana na uhalifu, Ni chombo cha Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, kilichopewa mamlaka na wajibu wa...
  11. Prof_Adventure_guide

    Polisi Tanzania jitafakarini sana

    Polisi wa Tanzania, mnachekesha! Elimu ndogo, akili ndogo, roho za ukoloni! Badala ya kulinda raia kwa mujibu wa Ibara ya 13 (6)(d) na Sheria ya Polisi Sura 322, mnapiga wanaodai haki zao. Nyie ni tools of oppression. Mnaua, mnapora, mnatisha, halafu mnarudi kulala kwenye nyumba za tope na...
  12. kipara kipya

    Mfumo wa Jeshi la Polisi Tanzania wa kuzuia matukio hatarishi ni wa kipekee Afrika wa kupongezwa sana

    Jeshi la polisi Tanzania lipo imara katika kuzuia viashiria vyovyote vya uvunjifu amani maarufu (intelejensia)..mfumo wao ni wa kipekee barani Africa nchi nyingi zimekumbwa na machafuko sababu ya polisi kuwasubiri wahuni wawe wengi wawaondoe mwisho wa siku hushindwa nguvu... Lakini jeshi letu...
  13. E

    Kwanini wananchi tuzuiliwe kwa saa mbili wakati msafara wa viongozi tunaowapisha haupo karibu?

    Nipo natokea Arusha kuelekea mikoani. Tumesimama Minjingu kama Lisaa tukipisha Msafara na huo msafara mpaka sasa haujapita. Busara zitumike kuona namna bora ya kusimamisha wananchi wanaosafori kiwahi majukumu mengine ya kitaifa. Tunawheshimu viongozi wetu ila ni vyema taarifa ya msafara...
  14. Megalodon

    Jeshi la Polisi Tanzania kwenye Ukarimu wa Uovu (The Banality of Evil )

    MOSSAD ( Israel Foreign Intelligence Agency ) inapata taarifa juu ya Adolf Eichmann- kiongozi wa Utawala wa Nazist ambae alijificha Agerntina kwa miaka mingi .Adolf alikuwa ni Supervisor kwenye Mauaji ya Mayahudi ( Holocaust) . Chap MOSSAD chini Peter Malkin inafanya international Espionage...
  15. Carlos The Jackal

    Hivi Weledi wa Jeshi Polisi Tanzania uko wapi? Umoja wa Waalimu wasokua na Ajira, sio Kikundi Cha Uhalifu Wala wavunja Amani

    Yaan Kwa vile mlizoea chama cha walimu ambao kimsingi viongozi wake ni mapandikizi, Vijana wamewashtua, mnaanza kuhaha, kutafuta suluhisho Kwa Vijana ,nyie mnawapa majina mabaya ,wahalifu, wavunja Amani ,Magaidi . Khaaa?? This is a shame !!. Mambo mengine ni kujidhalilisha kupita kiasi. Yaan...
  16. robbyr

    Barua ya Wazi kwa Jeshi la Polisi Tanzania

    Kwa heshima, Kiongozi wa Jeshi la Polisi Tanzania, Makao Makuu, Dar es Salaam. Mpendwa Kiongozi, Natumai barua hii inakukuta salama. Ningependa kuchukua fursa hii kuungana na wenzangu katika kujadili suala la ulinzi na usalama nchini Tanzania. Kwanza kabisa, napenda kuwapongeza kwa...
  17. S

    DOKEZO Kwanini Polisi Tanzania kila gari binafsi likipata ajali wanakimbilia kusema uzembe wa dereva ila za serikali hatusikii hilo hata siku moja!

    Kwangu binafsi naona ni mwendelezo wa unafiki wa Polisi Tanzania. Umesikia hata siku moja pale inapotokea ajali ya gari za serikali, hasa hizi Landcruiser ST.. wakisema ajali imesababishwa na uzembe wa dereva? Na kila mtu anajua madereva wa hizi ST.. wanaendesha gari kwa fujo bila kufuata sheria...
  18. Luis 505

    Polisi Tanzania hawajui "Modern Policing??" Hawakuomba radhi ujio wa Kamala Harris. Hawajaomba radhi ujio wa Marais wa Afrika...

    Eti wakuu, alipokuja makamu wa Rais wa Marekani si mnakumbuka jinsi barabara zilivyofungwa na watanzania kupata bughudha ya usafiri pamoja na adha nyingine. Nilitegemea Jeshi la Polisi wangetoa statement ya kuwaomba radhi watanzania kwa usumbufu wowote uliojitokeza, ila ikawa kimyaaaaa. Juzi...
  19. Mad Max

    BearCat G3: Vyuma vipya vya kibabe wanavyotumia Polisi Tanzania!

    Lenco BearCat wanatengeneza armored vehicles kwaajili ya majeshi mbalimbali Duniani, ikiwemo SWAT. Kwa sasa Jeshi la Polisi wameleta vyuma ivyo kwaajili ya kurahisisha kazi zao. Model ilioletwa ni G3 ambayo imeonekana ikisimamia swala la ulinzi siku hizi mbili. Hii chuma ina engine ya V8...
  20. eden kimario

    hivi jeshi la polisi Tanzania linalinda usalama wa raia wa uingereza na mali zao au linalinda usalama wa raia na mali za mtanzania!!?kwa nini 1919

Back
Top Bottom