petrol

Gasoline () or petrol () (see the etymology for naming differences and the use of the term gas) is a transparent, petroleum-derived flammable liquid that is used primarily as a fuel in most spark-ignited internal combustion engines. It consists mostly of organic compounds obtained by the fractional distillation of petroleum, enhanced with a variety of additives. On average, a 160-liter (42-U.S.-gallon) barrel of crude oil can yield up to about 72 liters (19 U.S. gallons) of gasoline after processing in an oil refinery, depending on the crude oil assay and on what other refined products are also extracted.
The characteristic of a particular gasoline blend to resist igniting too early (which causes knocking and reduces efficiency in reciprocating engines) is measured by its octane rating, which is produced in several grades. Tetraethyl lead and other lead compounds, once widely used to increase octane rating, are no longer used in most areas (they are still used in aviation
and off-road and auto-racing applications). Other chemicals are frequently added to gasoline to improve chemical stability and performance characteristics, control corrosiveness, and provide fuel system cleaning. Gasoline may contain oxygenating (oxygen-enhancing) chemicals such as ethanol, MTBE, or ETBE to improve combustion.
Gasoline can enter the environment uncombusted, both as liquid and as vapor, from leakage and handling during production, transport, and delivery (e.g., from storage tanks, from spills, etc.). As an example of efforts to control such leakage, many underground storage tanks are required to have extensive measures in place to detect and prevent such leaks. Gasoline contains known carcinogens. Gasoline emissions are estimated to cause over 100,000 premature deaths every year. Burning a liter of gasoline emits about 2.3 kg of CO2 contributing to human-caused climate change.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Huwa unajiuliza ujaze mafuta ya petrol ya aina gani na kituo gani ? Soma uzi huu uyajue mafuta sahihi kwa gari yako

    Tunapofanya maamuzi ya kujaza mafuta kwa magari yetu ya petrol, mara nyingi tunakuwa confused; tunajiuliza “nipi mafuta bora kwa gari langu?” kna vituo vina petrol 91%, wengine 93% engine 95% Nitatoa mifano ya makampuni mawili makubwa: TOTAL – Hawa wana mafuta ya petrol yenye 95% octane...
  2. American nigga

    Toyota Rush 2018 Foreign Used, Petrol, Black, Automatic

    sold
  3. Masalu Jacob

    Vijana chukua fursa: Portable Petrol Station Machine

    Habari Tanzania ! Haya vijana changamkia fursa hii. Anza pole pole kwa yule mwenye ndoto za biashara ya uuzaji mafuta ya vyombo vya moto mchongo huo hapo. Hata kama hujapata wazo la biashara; unaweza kuta unasukuma hii biz maana soko lake ni uhakika kila siku saa 24 siku 7 za wiki. Kazi ni...
  4. Morning Joy Motors

    Fahamu kwanini gari zinazotumia Diesel zinadumu kwa muda mrefu zaidi tofauti na za Petrol

    Na Morning Joy Motors +255797113153 Kaloleni, Arusha Tanzania Kama umewahi kusikia sehemu katika pita pita zako watu wakisema kwamba gari zenye engine ya diesel ni bora zaidi kuliko zenye petrol , lakini pengine ikakuwia vigumu kuwaelewa kwa namna moja ama nyingine Basi Leo sisi Morning Joy...
  5. darautobroker

    Car4Sale MAZDA CX-5 CHASSIS YA PETROL IKO SOKONI

    Bei/Price🏷️👉🏽TSH 34.8M Call📞+255 747 999 927 MAZDA CX-5 Year: 2012 Engine: 1,998Cc Mileage: 111,000+ Fuel Used: PETROL Transmission: AUTO ✨Fog Lights ✨Rear Spoiler ✨Alloy Wheels ✅100% Duty Paid ✅Free Registration ✅Swap Deals Allowed
  6. darautobroker

    Car4Sale 2015 MAZDA CX-5 INAYOTUMIA PETROL IKO SOKONI(VERY RARE)

    Bei/Price🏷️👉🏽TSH 35M Call📞+255 747 999 927 MAZDA CX-5 Year: 2015 Engine: 2,160Cc Mileage: 59,000+ Fuel Used: PETROL Transmission: AUTO ✨Sunroof ✨Sport Rims ✨Leather Seats ✅Clean Interior ✅Well-Maintained ✅Swap Deals Allowed
  7. Sifi Leo

    CCM ina vijana wanashindwa tamka petition wanasema petrol station na ndio wanufaika wa mikopo 10%

    Nimecheka sana uvccm wanavijana hawawezi tamka petition wanataka petrol station? Sasa mkitaka Kuona vioja na mcheke mfe yule bint ni mdaiwa sugu wa mikopo ya asilimia kumi wilaya ya dovya;😂🤣😂🤣😂🤣
  8. Think2

    Unakubaliana na Polepole kwamba Lita ya Petrol Cuba ni Tsh 300 au ndio ile unabisha ulikuepo?

    Kwanini bei ya petrol tz iwe juu ukilinganisha na Cuba au hata Malawi petrol yao ipo chini 1300 na ushee bongo lita moja buku tatu. Malawi anapata petrol kupitia kwetu kwanini bei iwe tofauti kwamba sisi iwe juu kwao kidogo?
  9. Mfalme_wa_Nyika

    Mekanika kaniwekea Diesel Engine Oil kwenye gari langu la Engine ya Petrol. Je kuna madhara!?

    Wataalam, natanguliza shukrani. Leo ilikua muda wa kufanya service gari yangu ( SUV) ambalo ni gari la engine ya Petrol, sasa nikafika garage na hapo hapo wanauza oil, mekanika nikamwambia na kwa uzoefu wake anajua magari madogo kama hilo langu ni gari la petrol hivyo nikamwacha afanye yake na...
  10. N

    Moto ushakolezewa petrol, je utafaa kuota ama utababua ngozi?

    Ni huko kanda ya kati Dodoma. Je watabakia? Baada ya kuambiwa wazi wasipitishwe wasije wakamotonaizi na kupetrolilaiz chama...watasepaaa ama watamyuti.
  11. Stuxnet

    Kutoka Mianzini - Mapinga km ni 10, kuna vituo 13 vya petrol station

    Yawezekana hapa ndipo penye utitiri mkubwa wa vituo vya kuuzia mafuta ya magari katika barabara ya Bagamoyo. Kutoka Bunju pale njia panda ya Moga unaanza na Lake Oil mkono wa kushoto hadi Mapinga kabla hujapanda kilima cha Marian Boys unamaliza na TOTAL mkononwa kulia. Ni mwendo wa dakika 10...
  12. wa stendi

    Pump ya mafuta petrol station

    Hivi ukienda kujaza mafuta sheli iwe diesel au petrol au mafuta ya taa,hivi kwenye ile mashine[pump yenye mpira na gang anayowekwa kwenye chombo ili akipress mafuta yatoke,hapa Swali ni je! Yale mafuta yako kwenye mpira pale au yako kwenye gang pale kichwani kabisa au ukipress yanatoka kwenye...
  13. Orketeemi

    Pendekeza bei ya petrol n diesel Kwa mwezi January

    Nchi hii ni yetu sote. Lakin vile vile serikali itambue Dunia sasa ni Kijiji sababu ya utandawazi. Hapo kabla tuliambiwa Sana kuhusu kushika thamani Kwa sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani kunavyopandisha bei za Mafuta. Hayawi hayawi sasa yamekuwa ,, Shilingi yetu inapanda thamani...
  14. M

    Wapi wanauza vyuma plate zakutengeneza matank ya mafuta petrol na diesel na vyuma vya canopy

    Msaada waku naulizia wapi au makampuni Gani wanauza vyuma plate zakutengeneza matank ya mafuta petrol na diesel navyuma vya nguzo za conopy na vifaa vyake oringina msaada wenu Dee pond ,agroprodct na wadaut wangine
  15. W

    Matokeo ya Serikali kukataza kutumia vifaa vya plastiki kununulia mafuta kutoka Petrol Station

    Ni takribani miezi miwili sasa tangu serikali ipige marufuku matumizi ya vifaa vya plastiki (vidumu vya lita tano au madumu ya lita 20) kuchukulia mafuta kutoka vituo vya mafuta. Leo katika pita pita zangu nikakutana na hili jambo ambalo sasa watu wengi ambao wana uhitaji wa mafuta wanatumia...
  16. Roving Journalist

    Wakili Haji Nanduli: Kila Lita ya Petrol na Dizeli kuna Tsh. 50 inayoenda Mfuko wa Taifa wa Maji

    Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Maji, Wakili Haji Nanduli ameeleza kuwa kwenye kila lita moja ya mafuta ya Petrol na Dizel ukatwa Tsh. 50 kama tozo kwa ajili kupelekwa kwenye Mfuko wa Taifa wa Maji ili kuwezesha utekelezaji wa mradi ya maji nchini. Ameongeza kuwa ili kuwezesha upatikanaji wa...
  17. uran

    Uhaba wa Mafuta ya Petrol na Diesel Dar es Salaam Mchana huu Oktoba 16

    Wakuu mjini hakuna mafuta kabisa. Inakuwaje? Uhaba wa gafla bin vuu.
  18. Titicomb

    Dkt. BITEKO na EWURA, Zuio la kuwauzia mafuta wateja wenye dumu (gallon) linaleta maafa vijijini kwa wakulima wanaotumia mashine za diesel na petrol

    Kuna hali mbaya inaendelea huku vijijini baada ya sheria, kanuni au amri ya kukataza wananchi wanaoenda vituo vya kuuzia mafuta na dumu au galoni wasiuziwe mafuta. Hii sheria au amri haikuzingatia maisha halisi ya nchi masikini kama Tanzania. Kuna mashine za kusaga nafaka, kukamua mafuta...
  19. PureView zeiss

    EWURA yaonya uuzaaji petrol kwenye madumu

    Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa tahadhari kwa umma kutokana na kuongezeka kwa matukio ya milipuko ya moto yanayotokana na uhifadhi wa mafuta ya petroli kwenye vifaa visivyo salama kama madumu na chupa za plastiki. Katika taarifa hiyo, EWURA imewaonya wamiliki wa...
  20. Y

    Usimamizi wa Diesel na Petrol kwenye miradi ya Serikari

    Kutokana na kupanda kwa bei na nauli za mabasi. Matumizi na usimamizi mubovu wa government project. Mafuta yanauzwa kwa kulanguliwa (lejaleja) na viongozi wanajuwa na wanaona from shina mpaka serikari kuu. Kama ni miladi inaazishwa kwa lengo wa wenye hakili wajiongeze tuabiane tu👋👋👋
Back
Top Bottom