Watu wengi tumedanganywa na maneno kama, “Ulikuwa unaishi kabla hujamjua,” au “Umejuana naye ukubwani.” Maneno haya wakati mwingine yanatufanya tuwachukulie poa watu ambao tumekutana nao katika maisha yetu, kwa sababu tunaamini kwamba wakiondoka, tutakuja kupata wengine.
Lakini usidanganyike...