Ukiangalia hii video, huyo dada aliyevaa nguo za CHADEMA ameonyesha ujasiri sana, amekwenda mbele kumuokoa huyo jamaa kutoka kwenye kipigo cha polisi, wenzake ndipo wakafuata....
Akarudi tena kama anataka kwenda kumuokoa na yule mwingine lakini akaona hawezi peke yake...
Nimemkubali sana, hivi...