paul makonda

Paul Makonda
Paul Christian Makonda born 15 February 1982 is the Regional Commissioner of Arusha, Tanzania.

Makonda gained popularity during a constitutional amendment referendum, where he was among a few members of a special parliamentary session that was tasked with drafting a new Constitution.

He would later become more prominent in politics, first acting as the District Commissioner(DC) for Kinondoni before being appointed Regional Commissioner(RC)of Dar es Salaam by the late President, John Pombe Magufuli, in 2016.
  1. DuaZaMama

    GE2025 Makonda aingia mtaa kwa mtaa Shinyanga kusaka kura za Samia

    Mgombea ubunge jimbo la Arusha mjini Paul Makonda yupo mkoani Shinyanga kusaka kura za mgombea mgombea urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan je, unadhani jimbo la Arusha Mjini halina kero? Mdau ameandika.... "Arusha kero zenu tumeni kwenye mitandao mgombea ubunge akizipata ata like huko huko"
  2. R

    GE2025 Makonda apita vijiweni Simiyu kutoa elimu umuhimu wa amani

    Wakuu, Sasa wameona iwe ni mwendo wa kuzunguka kwenye Vijiwe kutoa elimu ya umuhimu wa kulinda amani ya nchi,, kumbe inawaumiza kichwa tuendelee kukaza waku hadi kieleweke wamezoea sana hawa CCM Tusirudi nyuma mpaka haki ipatikane kwenye nchi hii
  3. DuaZaMama

    GE2025 Makonda: Wameweka mpira kwapani sisi tunaendelea

    Mgombea wa Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Poul Makonda ametuma salamu Kwa vyama vya upinzani ambavyo vimegomea uchaguzi ambapo amesema wametia mpira kwapani lakini wao Chama Cha Mapinduzi(CCM)wanaendelea na michakato ya uchaguzi Mkuu 2025 Makonda ameyasema hayo Musoma Mjini Mkoani Mara kwenye...
  4. DuaZaMama

    GE2025 Makonda: Nikiingia bungeni moto utawaka, nitapiga spana watu mpaka kitaeleweka

    Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema endapo atashinda uchaguzi na kuingia bungeni, ataweka nguvu kubwa katika kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kutekeleza Ilani ya CCM ya mwaka 2025–2030. Makonda amesema anatarajia kutumia nafasi hiyo...
  5. Waufukweni

    GE2025 Paul Makonda: Nimekuja kuwauliza, Kosa la Samia ni lipi mpaka usinyanyuke kwenda kupiga Kura siku ya tarehe 29?!

    Paul Makonda akihutubia mkutano wa kampeni tarehe 08 Oktoba, 2025, Mkoa wa Mwanza amesema, "Nimekuja kuwauliza, Kosa la Dkt Samia ni lipi mpaka usinyanyuke kwenda kupiga kura siku ya tarehe 29?!"
  6. DuaZaMama

    GE2025 Makonda: Kikundi kilichomtukana Magufuli ndio hicho kinamtukana Samia, 'mimi ni size yenu' njooni tupambane

    Mgombea wa Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Poul Makonda amesema kuwa kikundi kilichokuwa kinamtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wa awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Maguli wakati anapambania uhai wake ndio hao hao wanaomtukana Mgombea wa Urais Kwa Tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu...
  7. L

    GE2025 PICHA: Msafara mzito wa Paul Makonda wenye magari ya Rangi ya kijeshi wageuka kivutio wakati Ukipita kwenye Daraja la Magufuli Mkoani Mwanza

    Ndugu zangu Watanzania, Kiukweli ukweli usemwe tu . Paul Makonda ni Bingwa wa kuteka hadhira na hisia za watu, ni Bingwa wa kutengeneza mijadala na kubakia midomoni Mwa watu, ni bingwa wa kutengeneza habari na akabakia akizungumzwa yeye tu ,ni bingwa na fundi hodari wa Kukonga nyoyo za watu...
  8. Carlos The Jackal

    Nakukumbusha PAUL MAKONDA (BASHITE ), Ulipotupwa nje na JPM, ulikesha kwa MAKADINALI , TEC kulinda Uhai wako, Leo unawadharau TEC, siku inakuja !!

    Wadharau sana Watanzania uwezavyo!. Nakumbuka ulikua unalia mpaka unatoa Makamasi !!. Wadharau TEC uwezavyo , Mapdre wananusurika Kuuwawa, wanafatiliwa kuuwawa, wanafanyiwa Dharau na kejeli za Kila aina !!. Paul Makonda Sasa unafurahia Maisha, Bwana Bashiteee , Kijana wa mtandao ,Kijana wa wa...
  9. Waufukweni

    GE2025 Makonda: Nchi haiendeshwi kwa matamko, inaendeshwa na Katiba; wanaofanya uchochezi wana ‘passport’, hawako nchini

    Mgombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini Paul Christian Makonda amesema kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) hakitakubali katiba ivunjwe kwa kutofanya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Ameongeza kwa kuwataka wananchi kudumisha amani kwakuwa hakuna Tanzania nyingine na kwamba wote wanaohamasisha uvunjifu wa...
  10. R

    GE2025 Makonda akizisaka kura za Rais Samia kwenye Daladala Mwanza

    Kwani ile Mikutano ya CCM huwa haitoshi Mgombea wao kujieleza Kuomba Kura kwa Wananchi, au ndo wanajishtukia kuwa sera zao hazina mvuto na ni za uongo Arusha ndo hata hawaelewi Mgommbea wao yupo Mwanza anazurura badala ya kubaki kwa wananchi wake kunadi sera zake
  11. tonicimmobility

    GE2025 Makonda: Sisi tunasaka dola, sio jukumu letu kujua tunashindana na nani?

    Soma pia: Prof. Kitila: Tanzania ni Nchi ya Vyama vingi, tunashindana na Vyama 17
  12. Waufukweni

    GE2025 Makonda aeleza Schwarzenegger atakavyoinufaisha Arusha

    Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda amefafanua namna ahadi yake ya kumleta Arnold Schwarzenegger jijini Arusha itakavyotimia na Arusha kunufaika. Soma: Makonda: Nikishinda Ubunge ntamleta Schwarzenegger mwaka mpya Arusha Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa...
  13. R

    GE2025 Makonda: Samia Umekaa kwenye kiti kwa Mapenzi ya Mungu, atakupa tena Oktoba 29 urudi Ikulu, Usiogope

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda amesema mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan aliingia madarakani kwa mapenzi ya Mungu na mapenzi ya Mungu yatatimia tena kwani Dk Samia atashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 Makonda...
  14. R

    GE2025 Makonda: Naenda kuwa Mbunge wa International, Arusha ndiyo Jimbo la Wajanja

    Mgombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Paul Christian Makonda, ameeleza jinsi atakavyokuwa mbunge wa watu kutoka ndani na nje ya nchi, akisisitiza kuwa atawakilisha jimbo ambalo ni makao makuu ya Afrika Mashariki na lenye shughuli nyingi za utalii Kauli hiyo imetolewa Septemba 30, 2025, Jijini...
  15. DuaZaMama

    GE2025 Paul Makonda: Ni aibu Arusha kutokuwa na Stendi, haina faida uwe kiongozi halafu hakuna alama uliyoacha

    Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM, Paul Makonda amesema kuwa ni aibu kubwa kwa jiji kubwa kama Arusha kutokuwa na stendi ya kisasa. Amesisitiza kuwa jambo hilo linapaswa kushughulikiwa haraka ili kuboresha usafiri na hadhi ya jiji. “Arusha ni lango la utalii wa Tanzania, haiwezekani...
  16. Waufukweni

    GE2025 Paul Makonda: Rais Samia tumepewa na Mungu, tumuombee afya njema

    "Rais Samia tumepewa na Mungu hakuwa na timu ya kampeni, hajawahi kuwa na mtandao wala hajawahi kukanyaga watu akijiandaa kutafuta cheo. Tumuombee afya njema Mungu aendelee kumlinda na kumpa moyo wa ustahimilivu".- Paul Makonda
  17. Waufukweni

    GE2025 Makonda: Nililishwa Sumu nikiwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ilikuwa nife mwaka 2024

    Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Paul Makonda, amekiri kuwahi kulishwa sumu hali iliyomsababishia kulazwa hospitalini na kutoonekana hadharani. Makonda amefichua siri hiyo leo Jumapili, Septemba 21, 2025, wakati wa ibada katika Kanisa la Mbingu Duniani lililopo...
  18. W

    GE2025 Makonda: Tusipojitokeza kupiga kura halafu Mungu akituma malaika wakaongeza kura katika sanduku. mtaani watasema tumeiba

    Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amewasihi wananchi kujitokeza kupiga kura ili kuwachagua viongozi wanaotaka katika uchaguzi mkuu. Makonda ametoa rai hiyo leo Jumamosi Septemba 20, 2026 alipokuwa akizungumza baada ya kushiriki ibada ya maombi...
  19. DuaZaMama

    GE2025 Tazama Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Paul Makonda akitoa watu mapepo

    Leo Safina, tumeshuhudia nguvu ya Mungu ikidhihirika kupitia mtumishi wake Paul Makonda Kwa jina la Yesu Kristo, pepo wameondoka na watu wengi wamepata uhuru wa kweli. Kama maandiko yanavyosema, ‘nanyi mtajua kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru’ (Yohana 8:32). Hakika Mungu yupo pamoja nasi.”
  20. W

    GE2025 Paul Makonda amwaga machozi akielezea sababu iliyompelekea kugombea ubunge, asema taifa linahitaji viongozi watakaotimiza kusudi la Mungu

    Wakuu Muendelezo wa hekaheka na vibweka hadi uchaguzi utakapopita tutakuwa tumeshuhudia mengi === Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, ameeleza nia yake ya kuwania nafasi hiyo ya ubunge ni kuwatumikia wananchi wa jiji hilo. Makonda ameeleza...
Back
Top Bottom