papa francis

Francis: Pray for me (Spanish: Francisco – El Padre Jorge, lit. 'Francis – Father Jorge') is a 2015 Argentine film, starring Darío Grandinetti as Pope Francis. The film is based on the 2013 book, Pope Francis: Life and Revolution, which was written by Francis' close friend Elisabetta Piqué who is also a correspondent for the Argentine newspaper, La Nación in Italy and the Vatican since 1999. The film was released as Papa Francisco: The Pope Francis Story in the Philippines.

View More On Wikipedia.org
  1. DeepPond

    Papa mpya Robert Prevost kachaguliwa kimkakati

    Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani. Ndiye ndiye aliekuwa mshauri mkuu WA papa Francis aliyefariki, na wakatoliki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokuwa akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla. Na kwa...
  2. The redemeer

    Kuondoka kwenye mapokeo: Mazishi ya Papa Francis yana ishara gani kwa kweli

    🕊️ #Mazishi ya PapaFrancis yanazua maswali mengi kuliko majibu. Kuondoka kwa mila ya karne nyingi ni kitendo cha makusudi na cha mfano. Lakini ni nini maana ya kweli nyuma yake? Je, ni unyenyekevu tu—au jambo la ndani zaidi? ⚔️ MWISHO WA ENZI: KUVUNJIKA NA MILA ZA Ufalme Kwa karne nyingi...
  3. L

    Hii hapa Barua aliyoiandika Papa Francis kwenda kwa Rais Samia kabla ya kukata Roho na kuaga Dunia

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge. Alipata Bahati ya...
  4. kyagata

    Hivi kweli siku ya mwisho, hukumu yangu mimi itakua sawa na ya papa Francis aliyejitolea maisha yake yote kumtumikia Mungu?

    Wakuu nipo hapa natafakari msiba wa papa Francis,nimejiuliza huko kwa Mungu kweli tutapewa haki sawa? Yani mimi ambae muda wote nawaza wanawake na pombe nihukumiwe sawa na papa Francis ambae maisha yake yote kajitolea kumtumikia Mungu? Ebu tuache kujifariji kwa hizi nadharia please.
  5. Webabu

    Maziko ya Papa Francis yamefanana na ya waislamu. Hawakutaka fakhari.Wametumia Suzuki carry kubeba jenenza lake

    Pamoja na kwamba papa Francis hakuacha mamilioni ya pesa katika utajiri wake,vile vile hata maziko yake hayakuwa ya kifakhari sana.Yamefanana sana na vile waislamu wanavyozikana. Mazishi ya kiislamu hata afe mfalme basi huzikwa kikawaida sana.Wengi wao huzikwa siku hiyo hiyo wanayokufa na bila...
  6. SSH2025_2030

    Maziko "Simple" ya Papa Francis ni funzo kwa Watawala wa Afrika!

    1. Poleni Wakatoliki kwa kumpoteza Baba Mtakatifu. 2. Maziko haya simple wanatoa funzo kwa Watawala Miungu Watu wanaodhani wataishi milele na kupigiwa saluti. Kumbe siku unazima ulinzi na wapambe vinapotea hapo hapo 3. Tukanyage hii ardhi kwa adabu Ndugu zangu. Hapa tunapita Tu...
  7. Webabu

    Israel haitapeleka mjumbe hata mmoja kumzika Papa Francis

    Gazeti lenye mrengo wa serikali ya Israel la Haaretz limesema nchi hiyo haitapeleka kiongozi yoyote kuiwakilisha kwenye mazishi ya papa Francis anayetarajiwa kuzikwa hapo kesho. Utawala wa nchi hiyo mara nyingi umekuwa ukimuona papa Francis kama mtetezi wa wapalestina. Kiongozi huyo wa kanisa...
  8. The redemeer

    Papa Francis kutoka mbeba taka hadi kuwa pope

    Kuanzia Mkusanya Taka Hadi Papa wa Watu — Safari ya Jorge Mario Bergoglio Alizaliwa Buenos Aires kwa wazazi wahamiaji kutoka Italia, Jorge Mario Bergoglio alikulia katika familia ya hali ya chini yenye maisha ya kazi na kujituma. Maisha yake ya awali hayakuwa ya kifahari—alifanya kazi kama...
  9. and 998 others

    Majaliwa na Mstaafu wanatosha kutuwakilisha Mazishi ya Papa Francis

    Japo mazishi yanaangukia sikukuu ya Muungano tafadhali tusikose mwakilishi huko Vatican kwenye mazishi ya Mzee wetu Baba Mtakatifu Francis. Mheshimiwa Majaliwa na Mstaafu wanatosha.
  10. Valencia_UPV

    Tetesi: Protase Kardinali Rugambwa atajwa kumrithi Papa Francis

    Protase Kardinali Rugambwa tayari ametua Vatican kwa ajili ya mchakato wa Papa Mpya. Anatajwa kumrithi Papa Francis. Tunamuombea apeperushe Bendera ya Tanzania Kimataifa. **Huu ni mwaka wetu Watanganyika [Janabi na punde Rugambwa] **** Kagera tujipange kwa kuunda kamati ya Maandalizi iliyojaa...
  11. Just Pray

    Mazishi ya Papa Francis ni tarehe 26 Aprili 2025 katika uwanja wa Mtakatifu Petro

    Misa ya Mazishi ya Baba Mtakatifu Francisko itafanyika Jumamosi ijayo, tarehe 26 Aprili 2025, mbele ya Kanisa kuu la Mtakatifu Petro, kama ilivyoelezwa katika ‘Ordo Exsequiarum Romani Pontificis.’ Hayo yametangazwa na Ofisi ya Maadhimisho ya Liturujia za Kipapa, tarehe 22 Aprili, huku...
  12. Mindyou

    Vatican: Papa amefariki kwa sababu ya kiharusi na kufeli kwa moyo

    Vatican wamethibitisha kuwa Papa Francis amefariki dunia Jumatatu asubuhi kutokana na kiharusi kilichofuatiwa na kushindwa kwa moyo. Taarifa rasmi imeeleza kuwa afya ya Papa ilikuwa tayari imedhoofika kutokana na matatizo ya kupumua, shinikizo la damu pamoja na kisukari Mapema mwaka huu, Papa...
  13. H

    Uchaguzi wa Papa ni wa kiimani, siyo uchaguzi kama tulivyozoea

    Wengi wakisikia uchaguzi wa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki, wanadhani ni uchaguzi kama hizi chaguzi tunaazozifanya kuwachagua viongozi wa kijamii. Mchakato wa Uchaguzi wa kumpata Papa, ni mrefu na mgumu kwa sababu umejengwa kwa msingi wa kiimani kuliko werevu wa kibinadamu. Mambo muhimu...
  14. B

    Baada ya Papa Francis, kufariki nini kitafuata? Kikanuni taratibu na kikanisa

    Kufuatia kufariki kwa Papa Francis, seti kali ya sheria na itifaki zimewekwa katika mwendo, kuongoza mpito kwa ajili ya kuchagua Papa ajaye. Tamaduni hii inaanzia kwa Mtakatifu Petro—Papa wa kwanza—aliyeaminika kuwa alichaguliwa na Yesu mwenyewe Baada ya Kifo cha Papa Francis, Mchakato...
  15. and 998 others

    Viongozi na Watu Mashuhuri watakaohudhuria mazishi ya Papa Francis

    Wafuatao ni Viongozi na Watu Mashuhuri watakaohudhuria mazishi ya Papa Francis tarehe 26/04/2025 huko Vatican. 1. William Ruto, Kenya 2. Dkt Philipo I. Mpango (PhD), Tanzania, 3. Mstaafu na Mgombea Nafasi ya Ukurugenzi WHO. 4 Keir - Waziri Mkuu UK, 5. Kagame - Rwanda, 6. Museveni - Uganda. 7...
  16. Mr nobby

    Nini kitatokea baada ya Papa Fransisko kufariki dunia leo 21 April, 2025?

    UT ANIMA P. FRANCISCI TUUS REQUIESCAT" "MAY YOUR SOUL REST IN PEACE POPE Francis' "Kaka na dada wapendwa ni kwa huzuni kubwa kwamba sina budi kutangaza kifo cha Baba yetu Mtakatifu Francisko. Saa 01.35 asubuhi ya leo, (Jumatatu 21 Aprili 2025),Askofu wa Roma, Francisko, alirejea nyumbani kwa...
  17. R

    Tujadili kuhusu mrithi wa Papa baada ya Papa Francis: Kuna maoni muda mrefu kuwa sasa ni wakati wa Papa kutoka Africa. Nini maoni yako

    1. To me, nikiangalia watawala wa Afrika ambamo papa anategemewa kutoka, ninakuwa na wasi wasi mwafrika kushika nafasi hiyo! Ukabila, ndugunisation, rushwa, kuua wapinzania na maujinga mengi ya waafrika yanaweza kupelekwa Vatican. 2. Kama Marais wa Afrika wako kama tunavyowona akina mama...
  18. R

    TANZIA Papa Francis amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, amefariki dunia leo April 21,2025 kwenye Jumatatu ya Pasaka akiwa na umri wa miaka 88 ambapo Vatican imethibitisha na kusema Papa amefariki kwenye makazi yake Vatican na taarifa zaidi kuhusu kifo chake zitatolewa. Papa ambaye alizaliwa mwaka...
  19. Waufukweni

    Video: Papa Francis aonekana kwa mara ya kwanza hadharani kupitia dirisha hospitalini

    Papa Francis (88) amejitokeza kwa mara ya kwanza hadharani baada ya kulazwa kwa wiki tano kutokana na nimonia kali iliyohatarisha maisha yake. Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki atatoa baraka kutoka Hospitali ya Gemelli, Rome, kabla ya kurejea Vatican kwa mapumziko ya miezi miwili. Daktari...
  20. U

    SI KWELI Papa amesema kuwa Wakatoliki wale chochote wanachokitaka wakati wa Kwaresima kwa kuwa dhabihu haipo tumboni bali moyoni

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: “Eat whatever you want during Holy Week, the sacrifice is not in the stomach but in the heart. People abstain from eating meat, but they do not talk to their siblings and/or relatives, they do not visit their parents and do not...
Back
Top Bottom