Trump ameripotiwa kujaribu kuzishawishi nchi kama Indonesia, Jordan, Misri, Albania, Lybia, Somalia, Somaliland na nyinginezo kuwachukua Wapalestina, lakini hakuna hata mmoja kati yao aliye tayari.
Na kwa uaminifu kutaka kuwachukua wapalestina hao, inashangaza sana Popote ambapo idadi kubwa ya...