ole

Õle is a village in Järva Parish, Järva County in northern-central Estonia.

View More On Wikipedia.org
  1. Allen Kilewella

    Makonda ni Trump wa CCM... Ole wetu!!

    Kuna nyakati huwa sielewi ni kwa nini Kuna mfanano wa karibu sana Kati ya ambayo hutokea kwenye siasa za Tanzania na Marekani. Tarehe 18/05/2009 Jakaya Mrisho kikwete akiwa Rais wa Tanzania, alikuwa ndiye kiongozi wa kwanza kutoka Afrika kukutana na Obama tangu alipochaguliwa mwaka 2008...
  2. ELI COHEN

    Eti wana Man Utd ni heri kubaki na Fletcher hadi mwisho wa msimu au kuletewa Ole Gunnar/Carrick?

    #GGMU #MUFC
  3. Roving Journalist

    Zanzibar: Wanafunzi 62 wa Jimbo la Ole Wapatiwa zawadi za motisha kwa kufanya vizuri Michepuoni

    Wanafunzi 62 wa Jimbo la Ole waliofaulu mitihani ya Michepuo wamepatiwa zawadi za motisha zilizotolewa na Mwakilishi wa Jimbo hilo, Seif Hamad Suleiman, katika hafla iliyofanyika Januari 4 Skuli ya Sekondari Ole. Akizungumza wakati wa utoaji wa zawadi hizo, Mwakilishi huyo aliwapongeza...
  4. Tlaatlaah

    Ole wenu Magaidi na Mamluki mnaopanga kuvuruga amani na kuharibu miundombinu ya umma na binafsi Dec.25.2025

    Hapatakua na huruma, aibu wala haya katika kuwadhibiti na kuwasambaratisha katika harakati zenu za kujaribu kuvuruga amani na utulivu miongoni mwa waTanzania. Binafsi nawatakia vijana na waTanzania wote sherehe njema za Christmass na heri ya mwaka mpya2026. Nawatakia matumizi mema na sahihi ya...
  5. Q

    PostGE2025 Mo29; Ole wake atakayeandamana. D9; Nimetumwa na Rais niwaombe msiandamane. Kwa kinyonge sana

    Siyo kawaida yao, safari hii hatusikii cha nywinywi wala nywinywinywi. kila mtu anaagiza kukwepa responsibility. Samia kaogopa hata kujitokeza kwenye TV kulihutubia taifa anatuma tu watu wamsemee. Mwigulu: Rais anawashauri wananchi muitumie tarehe 9 desemba 2025 kwa mapumziko hivyo kushereheka...
  6. Kubwjing

    Mfahamu Lenana Ole Mbatian, Laibon maarufu na shujaa wa kimasai

    LENANA Ole MBATIAN, Ni Laibon (Mungu) wa Kimasai aliyepata kuishi Kenya na alitawala kuanzia mwaka 1887 mpaka miaka ya mwanzoni mwa 1900 kwa eneo la Nairobi na Tanzania pia. LENANA, Ni miongoni mwa Vijana HODARI na SHUJAA SANA wa kimasai ambaye kama ilivyo kawaida ya Wanaume wa Kimasai kuwa...
  7. Daby

    Wazo: Fred na Emmanuel Ole Shangai jamii ya Maa itawapigia kura pasipo kujali chama.

    Moja ya sababu kubwa iliyofanya Ole Sendeka, Fred na Ole Shangai kupewa mgongo na kamati ni msimamo wao kuhusu suala la kuhamishwa kwa jamii ya Maa Ngorongoro. Mwaka 2015 wilaya ya Ngorongoro diwani mmoja alikatwa kwa ujinga huu huu alihamia ACT na alishinda asubuhi. Kama hawa wanasiasa...
  8. McLaren

    GE2025 Masuala ya Mazingira na sakata la Ngorongoro huenda lilipelekea wabunge hawa kukatwa na kamati kuu

    Wakuu, Nimeona Kamati Kuu ya CCM imewakata hawa wabunge wawili ambao ni kutokea Arusha Wabunge hao ni Emmanuel Ole Shangai kutokea Ngorongoro pamoja na Christopher Ole Sendeka kutokea Simanjiro Ukiangalia hawa wabunge walikuwa very efficient kwenye ile issue ya Ngorongoro na namna ambavyo...
Back
Top Bottom