oktoba 29 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Idugunde

    Taifa letu lingekuwa na Idara ya usalama wa Taifa makini yaliyotokea Oktoba 29 yasingetokea na taifa letu lisingepata aibu kubwa kama hii

    Idara ya usalalama wa taifa makini ni ile ambayo inamuambia rais aliyepo madarakani ukweli. Kama raia wanamchukia kwa ufisadi na mambo yasiyofaa anaambiwa ukweli. Sio kumdanganya kuzunguka na mabasi ya Yutong zaidi ya 80 alafu wananchi wanamchukia huku anafanya kampeni. Hata Mwalimu Nyerere...
  2. M

    Unyama uliofanyika Oktoba 29 2025 ni maradufu ya unyama alioufanya Iddi Amin kwa zaidi ya miaka saba

    Ile Oktoba 29 ilikuwa ni ukatiri dhidi ya binadamu. Ndio maana anajivuna hadharani kuwa watu wa Dar hawataandamana tena.
  3. tonicimmobility

    PostGE2025 Mnapiga watoto wa watu risasi, wengine wanakufa wengine wanapata vilema vya maisha. Na bila aibu mnawapa kesi ya uhaini, halafu mkiulizwa mnajiumauma

    Mnapiga watoto wa watu risasi, wengine wanakufa wengine wanapata vilema vya maisha. Na bila aibu mnawapa kesi ya uhaini, halafu mkiulizwa mnaishia kujiumauma guys, guys, guys. Mungu yupo
  4. Matovu Godfrey

    Taarifa Muhimu - MO29

    📌Important Statement from the Foreign Ministers of 🇨🇦 🇬🇧 🇳🇴 expressing concern and calling for restraint in Tanzania - GOV.UK Taarifa Muhimu kutoka kwa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa 🇨🇦 🇬🇧 🇳🇴 wakielezea wasiwasi wao na kutoa wito wa kujizuia nchini Tanzania. #MO29 🇹🇿 #OktobaTunatoka #tanzania...
  5. M

    GE2025 Kama upo mikoa hii kesho endelea na shughuli zako kama kawaida, hakuna harufu yoyote ya maandamano, Watu wake ni watiifu sana

    Ruvuma Iringa Rukwa Tabora Kagera Tanga Lindi Morogoro Njombe Katavi Singida
  6. S

    GE2025 Kesho nitatiki, na hizi ndiyo sababu zangu

    Heshima kwenu Waungwana Naandika haya, ukiwa ni msimamo wangu binafsi. Kwamba kesho nitatiki kwa Dr Samia Suluhu Hassani, Mbunge wa Jimbo langu, na Diwani wa Kata yangu. Sababu ni hizi; 1. Maslahi kwa wafanyakazi. Rais Samia ameboresha maslahi ya wafanyakazi kwa haki. Tofauti na mtangulizi wake...
  7. M

    GE2025 Jeshi la Polisi: Tunawahakikishia hakuna tishio lolote la kiusalama kuelekea kesho Oktoba 29

    TAARIFA KWA UMMA Jeshi la Polisi linaendelea kuwahakikishia kuwa kuna usalama wa kutosha tunapoelekea kesho tarehe 29.10.2025 siku ya kupiga kura, kwani hakuna tishio lolote la kiusalama kama tulivyowahakikishia Oktoba 26, 2025. Aidha, lingependa kuwa tahadharisha kuwa, kuna kikundi cha watu...
  8. tonicimmobility

    GE2025 Bashiru: Samia alikutana na majaribu mengi alisimama kidete

    Katibu Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ali amemtaja Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kama kiongozi mwenye ubunifu, uchapakazi na umahiri katika mipango ya kuwatumikia Watanzania. Dkt. Bashiru amebainisha hayo leo Jumanne Oktoba 28...
  9. tonicimmobility

    GE2025 Neno moja tu kwa mnaoenda kupiga kura

    Ndugu wanagenzi, ninalo neno juu yenu! Kuwa makini sana licha ya kwamba umehakikishiwa usalama au utalindwa, usisahau kuwa hao watu wameshachanganyikiwa ukihisiwa tu unasombwa ndani na kutoka mpaka Yesu atakaporudi. Yawezekana ulikuwa una lengo zuri tu la kwenda kupiga kura ila kwasababu tu...
  10. tonicimmobility

    GE2025 Kuna namna Gwajima anawaleta pamoja watu wote wanaothiriwa na huu mfumo wa utekaji

    Wakuu! Kama mumemsikiliza kwa makini Askofu Gwajima kwenye clipi ni kama anajaribu kuwaunganisha wananchi wote wanaothiriwa na kuumizwa na huu mfumo tekaji unaoendelea kuvujisha damu za watanzania. Ukimsikiliza kwa mazingatio utaona anawaleta pamoja watu walio upande wa Polepole, watu wanao...
  11. tonicimmobility

    GE2025 Mwinyi: Wasiotaka amani ni watu wa ajabu sana

    Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amehitimisha kampeni zake kisiwani Pemba siku ya Jumapili kwa kutoa ahadi kumi za kipaumbele ambazo amesema atazitekeleza endapo atachaguliwa kuendelea kuongoza serikali ya awamu ijayo. Akizungumza katika...
  12. tonicimmobility

    GE2025 Njombe: Mgombea wa CHAUMMA aibukia mkutano wa ACT

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Njombe Mjini kupitia Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Sigrada Mligo jana Oktoba 26, 2025 alitumia Jukwaa la ACT kuzungumza na wakazi wa Njombe mjini pamoja na kumnadi Mgombea Udiwani wa Kata ya Mji Mwema kupitia Chama Cha ACT Wazalendo, Abuu Mtamike. Sigrada...
  13. Mr Q

    Tarehe 29, Amri zitatolewa akiwa ikulu ipi? Dodoma? Dar? Zanzibar? Au nyumbani?

    Ki msingi naona Kuna a well calculated plan. Huwenda siku hiyo asiwepo kabisa hapa TANGANYIKA na kuwaacha watanganyika waone lipi Bora la kufanya huku akimwaga amri kutokea nchi nyingine. Nauliza tu. Atakuwa chimbo lipi?
  14. R

    GE2025 DCP David Misime: Wanawake mkahamasishe amani majumbani kuelekea uchaguzi Oktoba 29

    Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, Naibu Kamishna wa Polisi ,(DCP) David Misime ameeleza kuwa jukumu la kulinda amani ni la kila Mtanzania, kwani vitendo vya uhalifu na uvunjifu wa amani vinafanywa na watu waliopo katika jamii ‎ ‎Misime amebainisha hayo katika Kongamano la Wanawake wa Dar es...
  15. tonicimmobility

    GE2025 Sheikh Yahya: Tukiwa na Kiongozi asiyependwa uovu utakuwepo

    “Kila mtu akapige kura ili tumpate tunayemtaka; tusiwekewe tusiyemtaka. Kwa sababu kuchagua kiongozi anayefaa huo ni mchango wa kusaidia kuleta wema na kufanya wema. Akiwepo ambaye hapendwi katika viongozi, uovu utakuwepo. Ili tusaidie uovu usiwepo, lazima sote tumchague yule tunayemtaka —...
  16. tonicimmobility

    GE2025 Sheikh Nassoro: Kuna viongozi wa dini wanajiteka

    Sheikh wa Mkoa wa Singida, Sheikh Issa Nassoro, amewataka viongozi wa dini nchini kuwa waaminifu na kuacha kutumia nafasi zao kuchochea taharuki au migogoro ya kisiasa, akibainisha kuwa baadhi yao wamekuwa wakihusika katika matukio ya udanganyifu ikiwemo kujiteka wao wenyewe kwa maslahi binafsi...
  17. tonicimmobility

    GE2025 Kagera: Viongozi wa CHADEMA washikiliwa na Polisi kwa kuchochea vurugu

    Jeshi la Polisi mkoani Kagera limewakamata baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa tuhuma za kuhusika na kupanga mikutano na maandamano kinyume cha sheria. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera, Brasius Chatanda, amethibitisha kukamatwa kwa viongozi hao na kueleza...
  18. tonicimmobility

    GE2025 Samia: Tumedumisha amani, demokrasia na uhuru wa kutoa maoni

    Katika Kipindi cha miaka mitano iliyopita, serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Samia Suluhu Hassan imetajwa kuendelea kuweka mazingira mazuri ya kudumisha amani, demokrasia na utawala bora nchini kwa kuimarisha na kukuza uhuru wa vyombo vya habari pamoja na kuimarisha uhuru wa asasi za...
  19. comrade_kipepe

    GE2025 Aunty LULU ahimiza amani na kukemea maandamano

    Huyu alikua kinara yeye pamoja na sativa kuhamasisha maanadamano, dakika zajioni kabisa ametema bungo. Namna gani pale!
  20. tonicimmobility

    GE2025 Huyu ndie Asajile Mwanjala aliechukuliwa usiku wa jana na Afande Ally wa kituo cha Ifunda

    Huyu ndie Asajile Mwanjala aliechukuliwa usiku wa Leo na Afande Ally wa kituo cha Ifunda Kibaoni Jimbo la Karinga pamoja na Afande Lazaro wa Central Iringa mjini. Soma pia: Asajile Mwanjala amechukuliwa na Afande Ally polisi wa kituo cha ifunda
Back
Top Bottom