oktoba 29 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    GE2025 Muliro awaonya wanaotaka kuandamana oktoba 29

    Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amewaonya wale wote wanaopanga, kuratibu ama kutaka kushiriki kwenye uvunjifu wa amani ikiwemo kufanya vurugu na maandamano Oktoba 29, 2025, akisema Jeshi hilo limekula kiapo kulinda nchi pamoja na raia na mali zao. Soma...
  2. tonicimmobility

    GE2025 Baadhi ya wasanii wa Maigizo wamewatoa hofu wananchi ili wajitokeze kwa wingi katika vituo vya kupigia kura oktoba 29

    Wakizungumza kwa nyakati tofauti leo Oktoba 24, 2025 baadhi ya wasanii wa Maigizo wamewatoa hofu wananchi ili wajitokeze kwa wingi katika vituo vya kupigia kura kwa kuwa Serikali imejipanga na kuwahakikishia wananchi hali ya amani na utulivu katika kipindi hiki cha Uchaguzi. Wamesema, tarehe 29...
  3. tonicimmobility

    GE2025 Mtendaji mkuu wa TANROAD aungana na Rais Samia kuhimiza watu kupiga kura

    MTENDAJI MKUU WA TANROADS AHIMIZA WATUMISHI KUSHIRIKI KUPIGA KURA OKTOBA 29, 2025 Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Mohamed Besta, amewahimiza wafanyakazi wote wa TANROADS nchini kote kujitokeza kushiriki katika zoezi la kupiga kura litakalofanyika Jumatano...
  4. funaku

    GE2025 Mambo ya kurekebisha baada ya Samia Suluhu kuchaguliwa rasmi Oktoba 2025

    Tukiangazia mwenendo wa kampeni na muelekeo wa wapiga kura wengi ni wazi kuwa Rais Samia atapigiwa kura na kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kama wanazuoni na wanasiasa na wenye nchi tunao wajibu wa kumwambia mgombea mwenye uelekeo wa kushinda ni maeneo gani haswa hayapo vizuri,ama...
  5. kyagata

    GE2025 Tupeane mbinu za kukabiliana na polisi tarehe 29

    Wakuu Police wetu wengi afya mgogoro na hawana mafunzo ya kutosha ya kukabiliana na waandamanaji. Sasa ebu tupeane mbinu za kuwakabili hiyo tarehe 29.
  6. Lord Denning

    GE2025 Oktoba 29 natarajia Mikoa ya Ruvuma, Geita, Songwe, Singida, Rukwa na Katavi iongoze Maandamano

    Mkoa wa Ruvuma ndo mkoa ambao Samia, Abdul, Rostam na CCM wanachimba madini ya makaa ya mawe kila siku na kuuza nje ya nchi kwa masaa 24. Hata hivyo ndo moja ya mikoa masikini zaidi Tanzania. Wananchi wa mkoa huu wana umasikini usioelezeka. Mikoa ya Geita, Katavi, Songwe na Singida ndo mikoa...
  7. R

    GE2025 RC Tabora: Mtu mmoja akamatwa Tabora kwa kuhamasisha maandamano. Wananchi jitokezeni kupiga kura

    Vyombo vya Usalama mkoa wa Tabora vimemkamata na kumshikilia mwanaume mmoja kwa makosa ya kuhamasisha watu wasishiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu, akidaiwa kuandika maneno yenye nia hiyo kwenye nyumba za watu, ambapo Mkuu wa Mkoa huo Paulo Chacha ametoa tamko rasmi la kuanza oparesheni...
  8. Matovu Godfrey

    GE2025 Hesabu chini - zimebaki siku 13! kufika Oktoba 29

    JE, UKO TAYARI Dokezo! Ujumbe kwa nafsi yako ✍🏿 1. Madikteta kwa kawaida hukamata taasisi zifuatazo za serikali, polisi, mahakama, jeshi, vyombo vya habari na tume ya uchaguzi n.k. hizi hutumika kama nyenzo za kutekeleza utawala wao wa muda mrefu na kuficha ukatili, dhuluma, dhuluma...
  9. tonicimmobility

    GE2025 Hawa viongozi wa dini watakuja kutueleza hayo maandiko wanayatoa wapi ya kusema tusiandamane na tuheshimu mamlaka inayoteka na kuua watu

    Jioni Ya Leo Viongozi Wa Dini Wakiongozwa Na #SheikhMwaipopo - Wamezungumza Na Waandishi Wa Habari Kuhusu Amani Ya Nchi Yetu, Huku Wakikemea Vikali Maandamo Ambayo Yamepangwa Kufanywa Na Baadhi Ya Watu Wachache Kwa Maslahi Yao Binafsi. Wakati Wakizungumza Na Waandishi Wa Habari Wamewahasa...
  10. R

    GE2025 Mgombea Ubunge (CCM) Kibaha Vijijini, Hamoud Abuu Jumaa akiruka Kamba wakati wa kampeni akiwaomba wananchi ridhaa uchaguzi Oktoba 29

    Mjumbe wa halmshauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (Wazazi) - MNEC na mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha vijijini, Hamoud Abuu Jumaa akionyesha umahiri wake wa kufanya mazoezi ya kuruka kamba kwa wananchi Tukio hilo ni moja ya sehemu ya kufurahi pamoja na wananchi na wanachama wa chama cha...
  11. R

    GE2025 Mwigulu: Wananchi wako tayari kumimina kura za kutosha kwa Wagombea wa CCM Oktoba 29

    Mgombea wa Ubunge Jimbo la Iramba Mashariki kupitia CCM, Mwigulu Nchemba kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram ameandika: "Wananchi wako tayari kumimina kura za kutosha kwa Wagombea wa CCM Octoba 29" akiwa ameambatanisha na video inayomuonyesha akisalimiana na wananchi
  12. R

    GE2025 Mwenyekiti UVCCM Geita: Vijana Geita wana imani na Rais Samia, Kuna baadhi ya wahuni wanataka kuandamana Oktoba 29

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Geita, Manjale Magambo,amewahimiza wananchi kupiga kura, Oktoba 29 Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya Bukoli, Magambo amesema vijana wa Mkoa wa Geita wamejipanga kwa ajili ya kwenda kupiga kura kwa amani...
  13. R

    GE2025 Machifu kuliombea Taifa uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025

    Machifu 200 wa mikoa tisa ya Kanda ya Kusini, wanatarajiwa kufanya matembezi maalumu mkoani Mbeya, kwa lengo la kuliombea taifa, ili uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, ufanyike kwa amani na utulivu. Mratibu wa Umoja wa Machifu wa mikoa ya Kusini, Chifu Sad Wabu (Mitondo wa Pili) ameyasema hayo...
  14. R

    GE2025 Wananchi Dar es Salaam: Wanaojipanga Maandamano Oktoba 29 waache tunaiamini Serikali, Tukatiki

    Wananchi wa Jiji la Dar es Salaam wamesema wako tayari kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, wakijitenga na ushawishi wa mitandaoni unaotaka kuwapotosha kwa maandamano au kutoshiriki kupiga kura. Wamesisitiza kuwa wanatambua vyema umuhimu wa amani na athari za vurugu...
  15. J

    GE2025 Hakuna haja ya kusumbuka Oct 29.Kura haibadili chochote, na haihitajiki

    Atakayekwenda kupiga kura Oct 29 namuita MPU*MBAVU. Kura haibadili chochote katika uchaguzi wa mwaka huu. Kama hazibadili chochote maana yake hazihitajiki. Sasa mtu anakwenda kupiga kura kwa minajili gani, kama sio upumbavu tu. Ukiacha hayo kila mtu anajua kuhusu Polisi watakaokuwa mitaani...
  16. R

    GE2025 Shetta: Tuilinde amani yetu kwa wivu Mkubwa Kwa kujitokeza kwa wingi Oktoba 29 tukachague viongozi bora kutoka CCM

    Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Instagram Mgombea Udiwani kata ya Mchikichi Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Nurdin Bilal Juma (Shetta) ameandika: "Tuilinde amani yetu kwa wivu mkubwa ndugu zangu watanzania ! Kwa kujitokeza kwa wingi tarehe 29 oktoba tukapige kura kwa amani tukawachague...
Back
Top Bottom