office

  1. Augustking

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupata office space km hii

    Habari wana JF Moja kwa moja kwenye mada. nimechoka kufanyia kazi nyumbani mimi ni frelancer nahitaji office space ukubwa km huu kwenye hii video maana wateja wangu wengi ni wa online. naomba km kuna mtu anaweza kuniunganisha na dalali au muhusika anaeweza kunisaidi. najua JF humu wadau wapo...
  2. U

    JamiiForums Tanzania NATAFUTA OFFICE ZA WORLD VISION DSM

    wakuu.habari za jioni samahani Kwa wakazi wa dsm naombeni mnisaidie office za world vision nimeangakia kwenye web inaonekana Iko mikocheni karbu na makumbusho bahati mbaya nimefika juzi naambiwa wamehama na hawajui wamehamia wapi na email hawajibu simu Yao pi ni zile za mezani...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Good, intellectual and acceptable funeral speech aired out by the pontiff office

    Kardinali Kevin Farrell, Camerlengo wa Chumba cha Kitume, ametangaza kifo cha Papa Francis kutoka Casa Santa Marta kwa maneno haya: “Ndugu wapendwa, kwa huzuni kubwa ninapaswa kutangaza kifo cha Baba Mtakatifu Francis kilichotokea Saa 1:35 asubuhi hii, Askofu wa Roma, Francis, amerudi kwa...
  4. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Back Office Executive at SBT April 2025

    JOB ADVERTISEMENT BACK OFFICE EXECUTIVE TANZANITE SHIPPING SERVICES LIMITED is a company that has been licensed by TASAC to operate CARGO CONSOLIDATION/DE-CONSOLIDATION in Tanzania. We are looking fora candidate to fill the vacancy of a Back Office Executive in Dar es Salaam. The following...
  5. MOST WANTED

    JamiiForums Tanzania Anahitajika Ofiice Administrator, Preferably Jinsia ya Kike

    APPLICATIONS CLOSED AT 0600PM Thank you for the applicants who sent their CV'S. If you passed the short listed candidates you will be contacted for an interview. Good luck
  6. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Office Administrator at Safari Automotive Africa April 2025

    POSITION: OFFICE ADMINISTRATOR Location: Tanzania Industry: Automotive Company: Safari Automotive Africa Employment Type: Full-time Remote work opportunities Date: 07th April 2025 – 12th April 2025 About Us: Safari Automotive Africa is a trusted company, with...
  7. Muchaa

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi Sales & office admin

    Anahitajika kijana mkazi wa Babati Qualification.. 1. Degree/Diploma in business or any related field 2. Awe mkazi wa Babati 3. Awe na uwezo wakusafiri kupita katika wilaya zilizopo Mkoa wa Manyara..... Mawasiliano piga 0687222251
  8. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Mama amshika pabaya mchungaji, Mungu kasema unipe laki sita

    Wakuu Mungu kasema na Mama ajabu mchungaji anajianya hasikii.😁😁
  9. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Local Consultant-UNPRPD, Tanzania Country Office February 2025

    Job Identification24086 Posting Date02/13/2025, 12:44 PM Apply Before02/28/2025, 07:59 AM Job ScheduleFull time Locations Dar es Salaam, Tanzania GradeNOD Vacancy TypeIndividual Consultancy Rotational/Non RotationalNon-Rotational Contract Duration7 months Education & Work ExperienceMaster’s...
  10. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnaofanya kazi hizi office acheni kuringa.

    Kuna utafiti usio rasmi ambao nimeufanya ila sijauchapisha kwenye jarida lolote,nimegundua wanawake wanaofanya kazi office hizi wana maringo sana na dharau. 1.Crdb branch zote nchini 2.Nssf hasa kinondoni branch 3.psssf nchi nzima 4.Ilala city council 5.Dodoma city council 6.Exim bank 7.USAID...
  11. Knock life

    JamiiForums Tanzania Wakuu baada ya changamoto sasa nahitaji ajira ya office attendant serikalini .

    Wakuu asiyekubali kushindwa sio mshindani . Nipo hapa mnishike mkono najua JF ni familia kubwa. Nahitaji Ajira ya office attendant Elimu yangu ni Advanced diploma. Ila sijafanikiwa kupata Ajira miaka minne. Nipo tayari kuanzia chini , nahitaji Ajira ya office attendant . Nina Cheti cha form...
  12. Meneja CoLtd

    JamiiForums Tanzania OFFICE HP LAPTOP FOR SALE (SLIM/NYEMBAMBAA)

    Brand: HP Model: HP EliteBook 840 G1 (SLIM) Charge: 3HRS+ Operating system: window 10 Hard disk: 320GB RAM: 4GB Coi 5 Button zinawaka taa Fingerprint na button ipo gudi etc... Mob & Wasap & Msg 0688777402 Price: 220k NB: UKIIPENDA NDO UNAILIPIA.
  13. kyagata

    JamiiForums Tanzania Kuna ofisi ukizitembelea unakuta 'staff' wake wanatia huruma sana kwa kweli

    Leo bana nilikua nataka bidhaa flani ila kwa bei ya jumla,so jamaa angu flani akaniunganisha na hao sijui ni wahindi au wachina wale nikaenda kwenye hiyo office kupata hiyo bidhaa. Kwanza getini ile unaingia tu mlinzi anakuomba buku la maji. Ukiingia ndani unakuta staff muda wa lunch wamelala...
  14. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Hivi ile movie ya kibongo iliyokuwa inapigwa promo Azam kwamba ina budget ya mamia ya mamilioni, iliishia wapi? Box office yake ilikaa vizuri?

    Wakuu hivi ile filamu ya kitanzania iliyojulikana kama Eonii ambayo ilipigiwa sana Promo na watu kuifananisha na movie za hollywood imeishia wapi? Soma pia: EONII 2023 movie ya kwanza kali ya Technology Tanzania, kama Hollywood vile
  15. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Ipi Microsoft Office for Android konki kwa bei nafuu?

    Wakuu naomba kujua App ya Microsoft kali kwa gharama nafuu. Kila kitu cha Microsoft office nachofanya kwenye PC nifanye kwenye Tablet Nimejaribu Microsoft 365 App inanigomea. Nadhani tablet yangu haisapoti
  16. T

    JamiiForums Tanzania Construction Tender at St. Jude Schools

    We invite reputable Class 6 and above building contractors registered with the Contractors Registration Board (CRB) to submit tenders for this project. Guidelines and further details will be provided during the mandatory site visits. For more details, see the attached document.
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Driver (Transport Officer) cum Office Assistant at CAMFED September 2024

    JOB ADVERT – DRIVER (TRANSPORT OFFICER) CUM OFFICE ASSISTANT (1 POST) CAMFED Overview CAMFED (the Campaign for Female Education) is internationally recognized for its leadership in girls’ education and child protection policies. Founded in 1993, CAMFED supports young women through their primary...
  18. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Pamoja na katiba kutoa kinga, kama haya yalitokea kwa National Audit Office, si kuwa yanatokea kwenye NEC pia?

    Kikatiba the National Audit Office imelindwa sana ili isiingiliwe kabisa na mamlaka ya juu ya nchi. Lakini kwa mujibu wa Prof. Assad, ofisi hiyo iliingiliwa. Sasa mwaka huu na mwaka kesho tuna uchaguzi, je, NEC, yaani Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo kikatiba ni huru na haiingiliwi na mamlaka...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Office inauzwa ipo kwenye location nzuri

    Library ya movies za kutafsiriwa na zisizotafsiriwa inauzwa ipo mabibo NIT chuo cha usafirishaji, library ipo barabarani kabisa, unaweza kukaa mwenyewe au unatafuta kijana ukamuweka kuingiza 30,000 mpaka 45,000 kwa siku ni jambo la kawaida mnoo, office ni banda la mbao nzuri ujihitaji nitafute...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Mafunzo ya computer Microsoft office package

    BSK basic computer application online. SWAHILI. Ninafundisha (online na offline) basic computer application/Microsoft office package kwa walio makazini na ambao hawako makazini (Mtu yoyote) kulingana na ratiba yako. 1. Excel. 2. Database (Microsoft access). 3. PowerPoint. 4. Word. 5. Computer...
Back
Top Bottom