Maisha haya! Hii dunia ina mambo sana, hivi wapangaji wenzangu mnakabiliana vipi na mpangaji mwenzako asiyetaka kulipia maji na umeme jamani na mnatumia wote?
Huyu jirani yangu kanishinda tabia walahi, angekuwa bidhaa ningemgawa bure kabisa maana hafai msikitini wala kanisani, hafai kwa mchuzi...
Wakuu,
Naombeni kujuzwa changamoto za nyumba kama hizi. Chache nnazozijua:
Ukiibiwa hamna shahidi ila ukivusha manzi ndo utajua kama unaishi na milard ayo
Kila mtu ni DJ na usimwambie apunguze sauti sababu hujamnunulia sabufaa na humlipii umeme wala chochote
Mnaishi kama bwenini hamna cha...
Huwa nashangaa jitu limejaa midevu linaishi kwenye nyumba walizojenga wanaume wenzao asubuhi linaamka na boxer kabisa na kupiga mswaki yaani unapataje nguvu ya kuishi sehemu kama hiyo aisee nyie jamaa hivi huwa munafikiri Kwa akili hizi ambazo watu kama Mimi mwenye IQ kubwa nafikiria kuhusu...
Submita kata umeme inakuwezesha Kutumia umeme wako mwenyewe, Acha kuokota fundi mtaani. Ukihitaji Submita nitakuuzia na kukufungia.
Pia nitakupa Elimu namna yakuitumia Submita hiyo. Wengi wamekuwa wakipata changamoto namna ya kuitumia na wakati mwingine kutaka hata kuzifungua...
Hii inawahusu wenye nyumba za kupangisha ama majengo ya biashara ( kupangisha kama Office n.k )
Kwenye swala la Visimbuzi, achana na kufunga dish nyingi kwenye nyumba/jengo moja, ambapo kunakuwa na uharibifu mkubwa wa jengo kutokana na kila fundi ana ufundi wake! badala yake ifungwe dish moja...
Nyumba Vyumba 3 ( Masta Ipo), Sebule, Dinning, Jiko, Choo cha kuchangia ndani.
Ina fensi, egesho la gari, Maji Mita yake, Luku yake, umbali wa dakika 3 kutembea kutoka kituo cha daladala!
Maelezo zaidi— 0687614981
WE DO DESIGN AND CONSTRUCTIONS SERVICES
KAZI YETU NI MOJA TU KILA MTANZANIA ANAANZA KUISHI KWAKE
CALL US +255624004650
TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM
Tumetoka kwenye familia, zilizopanga kwenye nyumba iliyopewa jina la Muhimbili.
Korido ndefu kama Sgr, kila mtu kapanga ndoo mlangoni..
Kulia vyumba tisa, kushoto nane, mwenye nyumba yupo uani..
Mlango mkubwa wa mbele, haufungwi hata siku moja..
Kwa sababu kuna watu kazi zao wanatoka usiku...
Ujenzi wa choo kizuri na salama kwa matumizi sio jambo linalozingatiwa sana hasa kwenye nyumba za kupanga hasa hizi za bei za kawaida (10K-150K). Unakuta nyumba nzuri na mazingira n mazuri ila chooni utadhani kulisahaulika wakafosi kujenga ili choo kiwepo.
Vyoo vingi ni vidogo sana, na namna...
Nianze na Salamu kwanza ndugu wa zangu wa JF, wakubwa shikamoo na wadogo kwangu habari zenu na rika langu je mambo vipi!?
Baada ya Salamu naomba niseme kwa yoyote mwenye changamoto yoyote MWENYEZI MUNGU ATASAIDIA
WAdau baada ya kuandika Uzi wa baba mwenye Nyumba ananidai Kodi yake basi...
UCHAWI KATIKA NYUMBA ZA KUPANGA.
Umewahi ishi kwenye nyumba yenye mauza uza ya kutisha kiasi usilale usiku.
Au umewahi kaa nyumba yenye skendo za uchawi yaaani wenye nyumba au wapangaji wenzio ni washirikina
Share nasi ulikutana na mambo gani ya kichawi kwenye nyumba hadi ukaamua kuhama...
Zile nyumba ambazo unakuta unaishi na mwenye nyumba pamoja na watoto wake ambao wamekuwa mpaka kunaitajika kubandika bango la kuuza ice cream.
Na kama mwanaume ukiwa vizuri yani utaona mwenye nyumba mada zake sana mkiwa naye mfano.
“Mtaa mzima ujaona tu hapa”.
“We usipate tabu yupo wa...
Nyumba nyingi za uswahilini ujenzi wake mkubwa vyoo huwa uwani(nyuma ya nyumba).Lakini wapangaji wengi ugeuza sehemu kubwa ya kupumzikia.
Kama wapangaji wengine ushindwa kujiachia chooni kupiga matalumbeta na kufanya wengi tuwe na bawasiri tusizo zitegemea sababu ya kujibana tusitoe milio ya...
Katika watu nawachukia ni madalali hata ukiwa na mali yako wanataka kupandisha kiasi kikubwa kupelekea hata kukosa wateja kwa wakati.
Tuje kwenye suala la nyumba za kupangisha:
Madalali wengi ni watu wa ajabu yani sehemu inaweza kuwa biashara hakuna ilo eneo, we ukaamua kufanya biashara na watu...
Wakuu nyumba ninayo ishi(nimepanga),kiukweli nyumba hii inasemwa vibaya sana na watu mtaani,..inasemwa kuwa ina mauzauza sana.
Watu huniuliza sana ninaishije mahali hapa,..hata mwenyeji nikimuelekeza ninaishi nyumba flani hunishangaa sana,...kiasi mimi nina miaka mitatu lakini sijawahi kuona...
Kuna bwana mdogo mtoto wa jirani yangu tulikuwa naye hapa Dom alimaliza chuo akakosa ajira ikabidi aje tupige naye mishe za kuuza majeneza angalau apate japo pesa ya kula na tumekuwa naye hapa for almost one year
Sasa week iliyopita amebahatika kupata ajira kwenye taasisi moja binafsi Dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.