niffer

Niffer is a commune in the Haut-Rhin department in Alsace in north-eastern France.

View More On Wikipedia.org
  1. Niffer kaanza kuwa mweupe

    Ni habari njema. Mjasiriamali na social media maarafu wa kuuza vipodozi Niffer kaanza kuwa mweupe tena. Watu walishaanza kukata tamaa alivyoanza kuwa mweusi alipokuwa mahabusu lakini faraja imewarudia kwa kuwa mweupe tena. adriz de mbusii
  2. PostGE2025 Binafsi nilifurahia Niffer kukamatwa, nilitamani apewe kifungo kirefu, hatimaye nimethibitisha nilikuwa sahihi

    Taarifa ya Niffer kukamatwa na kushtakiwa kesi ya uhaini niliifurahia. Sikuwa upande wa watanzania waliokuwa wanampazia sauti atoke, hatimaye mawazo yangu nimethibitisha yalikuwa sahihi. Huyu dada tangu atoke amekuwa mnafiki mnafiki sana na haswa aliwakera wananchi waliokuwa wanamuombea atoke...
  3. Ujumbe wa kwanza wa Niffer baada ya kutoka gerezani

    Baada ya kuachiwa huru mapema Jumatano, kufuatia uamuzi wa DPP kufuta mashtaka yake, mfanyabiashara na mwanamitandao maarufu Jenifer Jovin (26) “Niffer” amerejea kwa nguvu mpya na ujumbe mzito uliowagusa maelfu ya wafuasi wake. Katika video aliyoipakia akiwa ndani ya msikiti, Niffer alionekana...
  4. PostGE2025 Niffer kama kweli kaachiwa huru, kwanini gari lilomchukua lilikuwa na Polisi wa kike na hapo hapo kaitishiwa Vyombo vya Habari

    Haya ndio mweshimiwa lissu aliyakataa yani utoke kwa makubaliano kisa mkubwa na sio mahakama. Angalieni video vizuri ya niffer ambayo unaona alivyotoka mahakamani bado yupo na mapolisi na usalama. Hii script ya CCM kusema raisi kawa na haki ni uwongo.
  5. PostGE2025 Niffer: Sina chama chochote na sijihusishi na siasa. Yaliyotokea ni 'Misunderstanding'

    "Mimi sina chama chochote cha siasa na wala sijihusishi na siasa kwa namna yoyote ile ni mwananchi wa Tanzania" Alisema mfanyabiashara Niffer Jovin baada ya kuachiwa huru dhidi ya kesi yake ya uhaini ilivyokuwa inamkabili.
  6. PostGE2025 Niffer: 'Mimi niko vizuri' Mungu awabariki sana wote walionipigania

    Akizungumza nje ya viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mfanyabiashara wa vipodozi maarufu, Niffer, amewashukuru Watanzania wote waliomwombea na kumpigania alipokuwa mahakamani na gerezani, ambako alikuwa akikabiliwa na tuhuma za uhaini zinazodaiwa kutokana na madai ya kuhusika kuchochea...
  7. PostGE2025 Bussinesswoman Niffer set free as prosecution drops from treason charges

    The Director of Public Prosecutions (DPP) has withdrawn charges and released cosmetics entrepreneur Jenifer Jovin (26), popularly known as Niffer who had been facing treason charges. The decision was issued today, Wednesday, December 3, 2025 by Senior Resident Magistrate Aaron Lyamuya, after...
  8. W

    PostGE2025 DPP awafutia kesi ya uhaini Niffer na Mika Chavala

    Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amefutia mashtaka na kumwachia huru mfanyabiashara wa vipodozi Jenifer Jovin (26) maarufu Niffer na Mika Lucas Chavala, waliokuwa na kesi ya uhaini. Uamuzi huo umetolewa leo Jumatano Desemba 3, 2025 na Hakimu Mkazi Mkuu, Aaron Lyamuya, baada wakili wa Serikali...
  9. PostGE2025 Niffer, Mika Chavala na wenzake wafikishwa mahakamani chini ya ulinzi mkali

    Mfanyabiashara Jeniffer Jovin (Niffer) na Mika Chavala @mikachavala ambao wanakabiliwa na mashtaka ya uhaini tayari wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusikiliza shauri linalowakabili. Ikumbukwe tarehe 25, Novemba 2025 washtakiwa 20 kati ya 22...
  10. R

    Kwahiyo Gwajima ndiye alpha na omega wa ujenzi wa umoja na haki na amani. Siyo "Niffer", Lissu, na wanaoozea jela kwa kesi za." mchongo"

    Unadhani unajenga kumbe unaharibu. Dr. Mwigulu jitafakari kabla ya kuja mbele ya kamera kwenye majira haya ya tense and fragile moments.
  11. Niffer kaanza kuwa mweusi

    Huko jela hawapewi loshen na vipodozi? adriz de mbusii
  12. Huzuni sana! Mama yake na Niffer aangua kilio baada ya mwanae kurudishwa mahabusu

    Mama mzazi wa Mfanyabiashara Jeniffer Jovin (Niffer) ameshindwa kujizuia na kuangua kilio baada ya mwanae kurudishwa rumande kutokana na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kuonyesha nia ya kuendelea na mashtaka ya uhaini yanayomkabili Niffer. Soma Pia: Niffer na wenzake wakirejeshwa rumande baada ya...
  13. R

    PostGE2025 Watuhumiwa 20 wa uhaini waachiwa huru, Niffer kuendelea kusota rumande

    Watuhumiwa 20 kati ya 22 waliokuwa wanashtakiwa kwa makosa ya uhaini wameachiwa huru leo Novemba 25, 2025. Shauri lililokuwa linawakabili watuhumiwa hao leo lilikuwa linaendelea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Aaron Lyamuya, ambapo wakili...
  14. ZUCHU alicheza hakuna nywinywinywi na hakukamatwa! ila Niffer akakamatwa! Jr huu sio Uzanzibari na Utanganyika?

    Mnaweza mkabeza na kuchukulia Rahisi ila nawaambieni mbegu hii tunaipanda itaota vizuri sana kwa watoto wetu! mbele huko ni kugumu sana! tunaleta mizaha kuchezea dola na mahakama! huko mbele kuna Giza nene Mungu atasema na sisi Mark this ujumbe
  15. GE2025 Niffer na wengine 97 wafunguliwa mashtaka, yakiwemo ya UHAINI kufuatia maandamano ya Oktoba 29, 2025

    Jamhuri yawapiga kesi ya Uhaini watanzania 97l8 kufuatilia Maandamano ya Oktoba 29, 2025. Katika Orodha hii, yupo Mfanyabiashara maafuru Jennifer Jovin, Maarufu kama Niffer. Kesi hizi zimepangwa kusikilizwa kwa hatua za awali kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. ====...
  16. Ushauri Kuhusu Karma: Kilio cha Huyu Mama Niffer Kimenitoa Machozi!, Ni Kama cha Mama Kabendera, Kisikilizwe!, Mama Wasamehe Tuu, ni Wanao Kama Dully!

    Wanabodi https://youtu.be/WHZeDbvn4jw?si=-yv4XzIrf54tMBsU Hii video ya Mama Niffer akimuombea msamaha mwanae Niffer, kama una machozi ya karibu, lazima itakutoa machozi!. Kwa jinsi anavyomzungumzia mwanae Niffer jinsi alivyo ni nguzo na tegemeo la familia yao, yeye ni mgonjwa, tegemeo lake ni...
  17. Wakili Kibatala: Niffer na wenzie walipigwa. Mahakama imeamuru atibiwe

    Peter Kibatala , Wakili wa Jeniffer Jovin 'Niffer' na wenzake amesema kuwa mteja wake kabla ya kusomewa mashtaka kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa tuhuma za uhaini alipigwa na kulazimishwa kutoa maelezo hivyo mahakama imeamuru watuhumiwa hao wapatiwe matibabu na ripoti ya matibabu...
  18. Niffer na wenzake wakirejeshwa rumande baada ya kesi ya uhaini inayowakabili kuhairishwa hadi Novemba 11, 2025

    Mfanyabiashara Jennifer Jovin (maarufu kama Niffer) na wenzake wamerejeshwa rumande baada ya kesi ya uhaini inayowakabili kuahirishwa hadi tarehe 11 Novemba 2025, huku baadhi ya watuhumiwa wengine wakitarajiwa kuendelea na mashauri yao tarehe 19 Novemba 2025. Pia soma Niffer na wengine 97...
  19. GE2025 Kama hivyo ndivyo, Binafsi naomba niunganishwe na Niffer pamoja na wenzie kwenye Kesi ya Uhaini!

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane! Mimi binafsi ni mpingaji wa Dhulma,uminyaji wa Haki,mauaji ya raia,Utekaji wa raia kila mahali,UminywaJi wabl Demokrasia pamoja na Upingaji wa ukandamizaji wa Vyombo vya habari zikiwemo Blogs! Binafsi naomba Mamlaka za nchi hii ziniunganishe kwenye Kesi...
  20. Sasa wewe Murilo, Umeshasema Umemkamata Niffer, Lakini mpaka Sasa Ndugu wanazungushwa Kila Kituo, Hizi Degree zenu za Sheria mnazinunuaga?

    Katika jambo ninaliliamini 100% Mapolisi wengi aina ya Muliro, Mafwele na genge lao , Huwa Elimu zao ni za kuunga unga sana, Wakiwaga chuoni Wanaishia Kuhonga na kununua Mitihani . Unaweza jiuliza, Muliro kasema wamemkamata Niffer, lakini bado Mpaka muda huu Ndugu wa Niffer Wanazunguka Kila...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…