Habari wakuu
Mimi ni mama wa nyumbani mkazi wa uswahilini huku asilimia kubwa wakazi wa huku wana vipato vya chini.
Sasa mimi nina elfu 50 nataka kufanya huku kwetu naomba mnisaidie ushauri
Ni biashara gani itafaa kutokana na mazingira niliyopo?
Pia soma: Baadhi ya njia unazoweza kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.