nic

Nic is a gender-neutral given name, often short for Nicole, Nicholas, Nicola, or Dominic. It is also a component of Irish-language female surnames. It may refer to:

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Shirika la Bima la Taifa (NIC): Mteja mwenye changamoto za huduma zetu afike ofisi kwa uchunguzi na ufafanuzi zaidi

    Shirika la Bima la Taifa (NIC) limesema kuwa Mwananchi mwenye changamoto na malalamiko yoyote kuhusu huduma zao anatakiwa kufika ofisini au kuwasilisha malalamiko yake kwa njia ya kuwasiliana na tawi lolote la Shirika hilo kwa hatua za uchunguzi na ufafanuzi zaidi. Taarifa ya NIC imeeleza “Kwa...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Responded Shirika la Bima la Taifa (NIC) wametuunga uanachama bila hiyari yetu na hawataki kututoa

    Kero yangu ni kuhusu Shirika la Bima la Taifa NIC (National Insurance Company)... kwanza walipita makazini kutoa orientation jinsi wanavyofanya kazi... baada ya kusaini zile karatasi za mahudhurio waliunganisha baadhi ya watumishi moja kwa moja pasipo kuwauliza na wanawakata kwenye mishahara...
  3. X factor

    JamiiForums Tanzania NIC Lipeni mafao ya watumishi wastaafu Kwa wakati

    Kisheria,sera na taratibu Iko wazi pale mtumishi anapostaafu anapaswa kupewa stahiki zake zote kama vile michango ya bima ya ustaafu (pensave scheme) kwaajili ya kusaidia maisha baadae ya kustaafu kazi. Sasa hawa NIC wamekuwa ni kikwazo sana katika hilo,unakuta mtumishi kastaafu zake na...
  4. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania NIC Tanzania lini mtatoza Bima za Nyumba/ Majengo nchi nzima

    Habari Shirika la Bima la Taifa (NIC) ! Naomba kuwauliza. Je, mnajua jamii na Taifa letu Tanzania wananchi waunguliwa nyumba zao, wanapata mafuriko nyumba zinaharibika, upepo na majanga ya asilia yanaathiri makazi ya watu na nyinyi mpo tu ?. Mmekufa ? Nawaomba ikiwapendeza; wekeni pendekezo la...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kaimu Abdi Mkeyenge: DG mpya wa NIC

    Amefanya vizuri sana kuibadilisha TASAC na Mheshimiwa Rais amwemwamini na kumpa shirika la bima la taifa, NIC
  6. Dr Msaka Habari

    JamiiForums Tanzania NIC yajivunia kuwafikia wateja zaidi

    Shirika la Bima la Taifa (NIC) linajivunia kumudu ushindani licha ya kuwepo na Makampuni zaidi ya thelathini kwenye soko la Bima Tanzania, imeweza kumudu ushindani kwa kufanya vizuri baada ya Shirika hilo kufanya maboresho tangu mwaka 2019. Kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Bima Shirika...
  7. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Kesi ya waliokuwa vigogo NIC yakwama mara ya pili mfululizo

    Kesi ya kuchepusha fedha na kulisabishia hasara Shirika la Bima la Taifa (NIC) ya Sh 1.8 bilioni, inayowakabili washtakiwa saba akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, Sam Kamanga, imeshindwa kuendelea mahakamani. Kesi hiyo ya uhujumu uchumi namba 18/2023 imeshindwa kuendelea leo...
  8. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Nitashangaa kama TTCL, ATCL, Posta, TANESCO, NIC zitaachwa

    Kwa kifupi Mashirika yote ya umma yanayofanya Biashara yanapaswa kupigwa bei, tubakie na mashiria kama TANAPA basi. Kama Bandari inakodishwa then TTCL, ATCL, wakina TANESCO wanaachwa basi kuna shida au kuna walakini, mashirika ypte ya umma yaingie sokoni na Serikali inachana na Biashara...
Back
Top Bottom