Mmoja anatumia nguvu mia akili kisoda mwingine anatumia nguvu kisoda akili mia
Israel na Marekani anatumia akili kubwa na nguvu kidogo matokeo makubwa.
Mpaka sasa vifo vingi ni Iran lakini mashambulizi mengi ni Iran pia ni kama anajipiga mwenyewe hivi yaani anaua mbu kwa nyundo kubwa kidoleni...