ngorongoro

  1. Q

    JamiiForums Tanzania Mahakama yazuia Vijiji vya Ngorongoro Kufutwa

    Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imesimamisha utekelezaji wa amri iliyokuwa imetolewa na Serikali kupitia tangazo la Serikali namba 673 ya 2024 la kufuta vijiji, kata na vitongoji pamoja na kusitisha tangazo la kuwataka Wananchi kuhama katika Wilaya la Ngorongoro. Umuamuzi huo umetolewa leo August...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Ngorongoro si wa kwanza kupisha hifadhi

    Eneo la Hifadhi la Ngorongoro (NCA) lilianzishwa mwaka 1959 kama eneo la kipekee la matumizi ya mseto, ambapo uhifadhi, utalii, na maisha ya jadi ya jamii ya Wamasai vingeweza kuishi kwa pamoja. Lengo lilikuwa ni kulinda wanyamapori huku Wamasai wakiendelea na maisha yao ya ufugaji. Hata hivyo...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Ngorongoro, hasikiki, kulikoni?

    1. Ngorongoro kuna mbunge? 2. Ni nani (jina), anatoka Chama gani? 3. Ameona madhila ya Wana-Ngorongoro? Anapata usingizi kweli? 4. Uchaguzi 2025 atagombea tena ubunge?
  4. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Kwa utitiri huu wa watu, je, kweli tuna hifadhi hapa Ngorongoro?

    ° Nimekuwa nikijiuliza, Masai wote hawa ni wakazi wa ngorongoro au wamewaita wenzao kutoka Kenya? ° Kwa wingi huu, je tuna urithi wa kujivunia pale ngorongoro? ° Tuweke siasa pembeni, twende na usalama wa urithi Wetu kwanza! ° Je, baada ya miaka 20 tutakuwa na ngorongoro yetu? -TUTAFAKARI...
  5. Mganguzi

    JamiiForums Tanzania Jamii ihamasike kupeleka misaada ya kibinadamu Ngorongoro ikiwemo chakula, maji na madawa! NGOs na watu binafsi tuanze sasa, wamasai ni ndugu zetu…

    Niende kwenye mada moja kwa moja. Ndugu zetu Wamasai kwa sasa hofu imetanda; hawalali usingizi tena, hawajui nini kitatokea. Katika hali hiyo, wanalala wima kwa sababu ya hali ya sintofahamu inayowakabili. Nadhani hawalali usingizi tena. Tuhamasishane kupeleka misaada ya chakula, maji, na...
  6. Q

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Samia aliwafutia Elimu, Afya na Maji, Mchengerwa (mkwe wake) kafuta kijiji kizima, amevunja Sheria

    Kutoka kwenye mtandao wa X(tweeter), kaandika, Samia alisema Wamaasai wa Ngorongoro waondoke kwao kwa hiari. Baadae akawafutia elimu, afya & maji. Halafu Tume ya Uchaguzi ikawafutia haki za kupiga kura. Sasa mkwe wake amefuta vijiji & kata zao. Samia amevunja Sheria & Katiba. Tupinge azma yake...
  7. P

    JamiiForums Tanzania MAMBO YANAZIDI KUCHANGAMKA: Wananchi wa Ngorongoro watoa ONYO kali kwa serikali

    Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi. Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki...
  8. Joseph Ludovick

    JamiiForums Tanzania Ngorongoro: Kuelewa Uamuzi wa serikali

    Uamuzi wa serikali wa kuhamisha jamii ya Wamasai kutoka Ngorongoro kwenda Msomera ni hatua yenye msingi wa kisheria na kisiasa, inayolenga kulinda maslahi ya taifa pamoja na kuhifadhi mazingira. Hatua hii, ingawa imeibua hisia mchanganyiko, inafuata mwelekeo wa matukio mengine yaliyowahi kutokea...
  9. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ni wakati muafaka Watanzania kuipongeza serikali na wananchi wazalendo wa Msomera Tanga kwa kuinusuru hifadhi ya Ngorongoro kupotea

    Wananchi wazalendo wa msomera mkoani Tanga, ambao hapo kabla walikua wakiishi ndani ya hifadhi ya Taifa ngorongoro, ambapo baadae kwa kushauriana na mamlaka za serikali, na kwa hiyari na utashi wao, Lakini pia kwa kuzingatia maslahi mapana ya Taifa, na urithi wa vizazi vijavyo, wananchi wale...
  10. Li ngunda ngali

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Umoja wa Ulaya kutoa tamko hivi karibuni lihusulo ukiukwaji wa kutisha wa haki za Wamasai wa Ngorongoro

    Duru ndani ya corridor za Umoja wa Ulaya hapa Nchini hivi karibuni unatarajia kutoa tamko la kusikitishwa na ukiukwaji haki za binadamu wa kutisha wanaofanyiwa Wamasai kule NGORONGORO.
  11. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Tundu Lissu akemea Wamasai wa Ngorongoro kudanganya

    Lissu amewakemea wamasai wa Ngorongoro kudanganya. Asema waache kutumika vibaya. Abainisha ukweli kuhusu manufaa ya kuhama Ngorongoro.
  12. chiembe

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Mwabukusi amemteua swahiba wa Lissu, na hasimu wa serikali, Dk. Nshala afuatilie suala la Ngorongoro?

    Najua serikali inajua kwamba TLS wanaenda kufanya kazi ya uchochezi Ngorongoro, hivyo haitawaruhusu. Nshala ni mwanachadema kindakindaki Dk. Nshala na Lissu walikuwa viongozi wa LEAT-Lawyers Environmental Action Team. Baadae walikula hela za taasisi kisha wakaiua. Taasisi hii ilitelekeza mali...
  13. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Yanayosemwa kuhusiana na Askari huyu yana ukweli?

    Assistant Superintendent of Police (ASP) Fatuma Kigondo. Huyu ni afisa wa Jeshi la Polisi. Fatuma ndiye yule ‘afande’ aliagiza ‘JM’ abakwe na kulawitiwa.Assistant Superintendent of Police (ASP) Fatuma Kigondo ni msaidizi wa mkuu wa kituo cha polisi - Bunge (Dodoma). Ni afisa anayefahamika sana...
  14. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Tetesi: DC Magoti kuhamishiwa Ngorongoro

    DC namba 1 duniani anatajwa kuwa atahamishiwa Ngorongoro ili kunyoosha wakaidi huko
  15. Tabutupu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Unajua nini kuhusu ngorongoro? Nani mkweli

    1. Wamasai waondolewe ili wawekezaji wajenge hoteli za kitalii. 2. Wamasai waondolewe ili waarabu wapewe vitalu vya uwindaji na wamilikisshwe hayo maaneo kwa miaka 99. 3. Wamasai wamesaliana ndani ya hifadhi kiasi cha kuadhiri wanyama pori ( from 10K in 1959 to more than 100K 2017) 4. Kuna...
  16. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Ngorongoro, Karatu, Monduli & Longido ziunganishwe

    Jamii moja ya Masai inapatikana katika Wilaya tajwa ziunganishwe kuwaletea maendeleo kwa haraka
  17. Abdul Said Naumanga

    JamiiForums Tanzania TLS Yatoa Tamko Kuhusu Maandamano ya Wananchi wa Ngorongoro, Yataka Haki Zao Ziheshimiwe

    Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimetoa wito kwa Serikali kufuatia maandamano yaliyofanywa na mamia ya wananchi wa Ngorongoro tarehe 18 Agosti, 2024, wakidai kuheshimiwa kwa haki zao za kimsingi. Maandamano haya yalionyesha hisia kali kutoka kwa wananchi wanaopinga kuondolewa kwenye ardhi...
  18. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania TLS Kuunda kamati Maalum Sakata la Ngorongoro

    Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi amesema Baraza la Uongozi la chama hicho limeunda kamati maalum kufuatilia suala la Ngorongoro ili kujua ukweli wake Mwabukusi amezungumza hayo alipokutana na wanahabari leo, Jumanne Agosti 20.2024 ambapo amesema pamoja na...
  19. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Askofu Mwamakula Aishangaa Serikali Kuyafuta Makazi ya Ngorongoro

    Ndugu Watanzania! Serikali ya Tanzania, kupitia Supplement Na. 30 imetoa Tangazo la Serikali Na. 673 la 2/9/2024 la kufuta Kata 11, Vijiji 25 na Vitongoji 96 katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro katika Mkoa wa Arusha. Kuna taarifa kuwa nyaraka hii inayosambaa mitandaoni kuanzia leo...
  20. Heparin

    JamiiForums Tanzania Serikali yafuta vijiji na vitongoji vyote vya wamasai wa Ngorongoro kupitia Amri ya tangazo la Serikali namba 673

    AMRI YA MAREKEBISHO YA AMRI YA MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA KATIKA SERIKALI ZA MITAA (MAMLAKA ZA WILAYA) YA MWAKA 2024 1. Amri hii itajulikana kama Amri ya Marekebisho ya Amri ya Mgawanyo wa Maeneo ya Utawala katika Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) ya Mwaka 2024 na itasomwa pamoja na Amri...
Back
Top Bottom