Jamii ihamasike kupeleka misaada ya kibinadamu Ngorongoro ikiwemo chakula, maji na madawa! NGOs na watu binafsi tuanze sasa, wamasai ni ndugu zetu…

Mganguzi

JF-Expert Member
Aug 3, 2022
1,469
3,540
Niende kwenye mada moja kwa moja. Ndugu zetu Wamasai kwa sasa hofu imetanda; hawalali usingizi tena, hawajui nini kitatokea. Katika hali hiyo, wanalala wima kwa sababu ya hali ya sintofahamu inayowakabili. Nadhani hawalali usingizi tena.

Tuhamasishane kupeleka misaada ya chakula, maji, na madawa. Kwa hali halisi hakuna namna wanaweza kupata misaada ya kibinadamu.

Kama mitandao yetu na vyombo vya habari vinavyosaidia kupaza sauti katika hali mbalimbali inapotokea, basi tupaze sauti lakini kwa kuhamasisha mashirika na sekta binafsi na hata mtu mmoja mmoja kupeleka misaada ya kibinadamu Ngorongoro.

Jiografia ya maeneo yao maji ni shida kubwa na upatikanaji wa huduma zote haupo tena.
 
Ni marufuku kwa mujibu wa sheria shughuli za kibinadamu kufanyika ndani ya hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro...

waliokua wakiishi huko, kwa hiyari yao wamehamia msomera mkoani Tanga na wanakula maisha huko 🐒
 
Walisema kuhama ni hiari ghafla imekuwa lazima?
hakuna mtu anaishi hifadhini ngorongoro tena, wote walishahamia kwa hiyari yao msomera mkoani Tanga...

kuhamasisha watu kupeleka sijui chakula au nini ni kuchochea watu kwenda kuvunja sheria ya uhifadhi mali asili na kuharibu mazingira....

unapelekea maji misitu?🐒
 
Ni marufuku kwa mujibu wa sheria shughuli za kibinadamu kufanyika ndani ya hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro...

waliokua wakiishi huko, kwa hiyari yao wamehamia msomera mkoani Tanga na wanakula maisha huko 🐒
Kwani pale walikuwa hawali maisha? Waliwahi kuomba misaada? Minada yao ushuru unakusanywa? Ili?
 
Niende kwenye mada moja kwa moja. Ndugu zetu Wamasai kwa sasa hofu imetanda; hawalali usingizi tena, hawajui nini kitatokea. Katika hali hiyo, wanalala wima kwa sababu ya hali ya sintofahamu inayowakabili. Nadhani hawalali usingizi tena.

Tuhamasishane kupeleka misaada ya chakula, maji, na madawa. Kwa hali halisi hakuna namna wanaweza kupata misaada ya kibinadamu.

Kama mitandao yetu na vyombo vya habari vinavyosaidia kupaza sauti katika hali mbalimbali inapotokea, basi tupaze sauti lakini kwa kuhamasisha mashirika na sekta binafsi na hata mtu mmoja mmoja kupeleka misaada ya kibinadamu Ngorongoro.

Jiografia ya maeneo yao maji ni shida kubwa na upatikanaji wa huduma zote haupo tena.
Taharuki yako ni ya Shari...

Taharuki hii ina nia mbaya nyuma yake....

Kumbukeni taifa ni lazima libaki...

#JMT milele dumu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
We've had Nyereres, Mremas, Mbowes and Lissus but nothing changed. Atleast we should have some Savimbis.

It's high time every Tanzanian should be allowed to own a firearm. This is the only universal language understood by despots.​
 
Niende kwenye mada moja kwa moja. Ndugu zetu Wamasai kwa sasa hofu imetanda; hawalali usingizi tena, hawajui nini kitatokea. Katika hali hiyo, wanalala wima kwa sababu ya hali ya sintofahamu inayowakabili. Nadhani hawalali usingizi tena.

Tuhamasishane kupeleka misaada ya chakula, maji, na madawa. Kwa hali halisi hakuna namna wanaweza kupata misaada ya kibinadamu.

Kama mitandao yetu na vyombo vya habari vinavyosaidia kupaza sauti katika hali mbalimbali inapotokea, basi tupaze sauti lakini kwa kuhamasisha mashirika na sekta binafsi na hata mtu mmoja mmoja kupeleka misaada ya kibinadamu Ngorongoro.

Jiografia ya maeneo yao maji ni shida kubwa na upatikanaji wa huduma zote haupo tena.
Matajiri wote wamefungamana na chama tawala, nani atakuwa na huo uthubutu
 
hakuna mtu anaishi hifadhini ngorongoro tena, wote walishahamia kwa hiyari yao msomera mkoani Tanga...

kuhamasisha watu kupeleka sijui chakula au nini ni kuchochea watu kwenda kuvunja sheria ya uhifadhi mali asili na kuharibu mazingira....

unapelekea maji misitu?🐒
Mmh
 
Niende kwenye mada moja kwa moja. Ndugu zetu Wamasai kwa sasa hofu imetanda; hawalali usingizi tena, hawajui nini kitatokea. Katika hali hiyo, wanalala wima kwa sababu ya hali ya sintofahamu inayowakabili. Nadhani hawalali usingizi tena.

Tuhamasishane kupeleka misaada ya chakula, maji, na madawa. Kwa hali halisi hakuna namna wanaweza kupata misaada ya kibinadamu.

Kama mitandao yetu na vyombo vya habari vinavyosaidia kupaza sauti katika hali mbalimbali inapotokea, basi tupaze sauti lakini kwa kuhamasisha mashirika na sekta binafsi na hata mtu mmoja mmoja kupeleka misaada ya kibinadamu Ngorongoro.

Jiografia ya maeneo yao maji ni shida kubwa na upatikanaji wa huduma zote haupo tena.
Kabisa tunahitaji kufanya hivyo huu ni uonevu mkubwa wanafanyiwa wamasai.
 
Back
Top Bottom