It has Pen which helps it to TouchScreen also👇
Lenovo 300e x360’✅
Intel celeron✅
Ram 4GB✅
Ssd 128GB✅
Touchscreen✅
Kioo inch 12.5✅
Supper slim✅
Pen✅
Bei 350,000/= Tu🔥
CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404
Toyota Harrier ni gari la kifahari linalozalishwa na Toyota na linajulikana kwa muundo wake mzuri, utendaji bora, na faraja. Toleo la Toyota Harrier lenye jina la "E New Moden" linajumuisha sifa mpya na teknolojia ya kisasa ambayo inaboresha uzoefu wa kuendesha gari.
Sifa za Toyota Harrier (E...
THE NEW POLITICAL SYSTEM FOR AFRICA
NAME: The Ubuntu Sovereign System (USS)
"Ubuntu" is an African philosophy meaning "I am because we are"—emphasizing unity, responsibility, and justice.
The Ubuntu Sovereign System (USS) is a political system designed for Africa, merging religious values...
Amani iwe nanyi Dunia haishiwi maajabu
Polisi huko New York wametoa mkanda wa video unaoonesha kundi la watu wakiiba treni iliyokuwa imeegeshwa na kuiendesha.
Polisi inasema watu hao walijirekodi wakifanya kitendo hicho kisha wakaposti video hiyo kwenye mtandao wa kijamii.
LONDON BOY
Wanapinga kitu wasicho kijua. Nimefanya utafiti WA Kina kuhusu New World Order . Nimesoma vitabu ishirini kuhusu " New World Order" .
Ninasema hivi dunia hii Ina ihitaji New World Order Kuliko unavyo weza kufikiria.
Mngejua New World Order mngetamani ianze hata kesho.
Mnadanganywa sijui...
Mnyilinga digital logo (MD) new 2025 designed by Mnyilinga graphics.
Mnyilinga Digital tunatambulisha logo yetu mpya 2025 Wana jamii forums kama unataka logo kali wasiliana na +255 741 502 775
Mwaka 2009 wakati bitcoin inaanzishwa ilikuwa na thamani ya usd 0.4 ambayo ilikuwa ni kama tsh. 520 tu kwa wakati huo, ilipanda thamani taratibu na hivi sasa miaka 16 baadae thamani ya bitcoin moja ni Karibia Milioni 236 za kitanzania. Aliyewekeza Tsh. 520 mwaka 2009 au Tsh. 22,000 mwaka 2012...
Wadau hamjamboni nyote?
Ni shambulizi la kigaidi huko new Orleans Marekani
Dereva aua watu 10 na kujeruhi wengine 30 baada ya kuendesha gari kwa spidi kubwa na kuvamia umati mkubwa wa watu walisherehekea mwaka mpya
Dereva huyo pia aliwapiga risasi polisi wawili na kuwajeruhi
Taarifa kamili...
Niliomba kazi kwenye hii taasisi wiki iliyopita Sasa Leo nakutana na email na hivi ni mwaka mpya nikajua itakua ni habari njema kumbe ni huu upuuzi 🤣🤣🤣
Thank you for the time you took to express interest in Watu.
We regret to inform you that at this stage we have decided to proceed with...
Incase kuna ambaye amesalia kuwatakia mwaka mpya basi naomba niwe mimi,.
Happy new year Founder Maxence Melo na Uongozi wako mzima wa JamiiForums
Active Wand Moderator Payge Paw Mhariri Na Mods wengine niliowasahau
Nawasilisha✍✍
Happy new year 2025 wadau wote wa JF.
Kama mlivyosikia, sherehe za kupokea mwaka mpya kitaifa zimefanyika Arusha.
Wakati dar Mwamposa akivukisha watu na chao, na kule Mwanza wakiomba kutoka viwanja vya Nyamagana.
Arusha imekuwa ni habar nyingine kabisa. Vibe la kufa mtu. Mitaa inayoingia...
Jobless leo nimewakuta nawawaza sana hawa Mzena hospital.
Hivi hawa wakuu wanatumia utaratibu gani kupata wafanyakazi wao nimekuwa nikitamani sana kufanya kazi kwenye hii hospitali lakini sijawahi yaona kabisa matangazo yao ya kazi.
Kwa anayejua Mzena wanatumia utaratibu gani kuajiri wataalamu...
Wakuu kama kichwa kinavyoeleza nimeanza kuwa na mapenzi ya dhati na Subaru Impreza za kuanzia mwaka 2012 tofauti na matoleo ya Nyuma kwakuwa za Nyuma niliziona ziko chini sana tofauti na hizi new model
Wasi wasi wangu ni kuwa nyingi nazo zifahamu au kuziona Mtaani na hata mtandaoni huuzawa mara...
Wakuu, mnamo mwezi wa 7 mwaka 2023 nilipata fursa ya kutembelea Australia na baadaye New Zealand, kwakifupi NILIKATA TAMAA.
1. Hakuna namna Tanzania tunaweza kuwafikia hata wakiamua kutusubiri kwa miaka 100.
2. Niliona kabisa kuwa Waafrika wengi ni kama hatuna akili hasa tunapokuwa katika...
Company Summary:
Simera Transport Ltd is a Tanzanian company under private ownership, was founded in 2012 and has since evolved into the preferred choice for road freight transport and logistics. Operating in Tanzania and Rwanda and also has a sister company in Zambia called Motion Logistics...