Great Thinkers
Kama wewe ni great thinker wa ukweli utakuwa umeshalingundua hilo.
Ngoja nitaje mambo machache
1. Rais akiingia madaraani miaka mitano ya kwanza ni kuunda serikali tumbua yule, weka huyu, komesha wafitini wake, badilisha wakuu wa mikoa /wilaya nk.
2. Kipindi cha pili miaka...