nchi za ulaya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Rasmi; Iran yafunga mfereji wa Hormuz kusafirisha mafuta kwa meli za Marekani, Israel, Ulaya na washirika wao

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran (IRGC) limetangaza kufunga mfereji maarufu wa Harmuz (Strait of Hormuz) ambao ni maalum kwa kupitisha meli za mafuta kwa meli zinazotoka Marekani, Israel na nchi za Ulaya pamoja na washirika wao. Kwenye taarifa hiyo, Iran imedokeza kuwa ina haki ya...
  2. Mkalukungone Mwamba

    Iran yazionya nchi za Ulaya dhidi ya kujiunga na vita vinavyoendelea kati ya Israel na Marekani

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amezionya nchi za Ulaya dhidi ya kujiunga na vita vinavyoendelea kati ya Israel na Marekani. Alisisitiza kuwa hatua yoyote dhidi ya Iran itatafsiriwa kama ushirikiano na wale wanaoishambulia nchi hiyo, na itachukuliwa kama kitendo cha kivita. Kauli yake...
  3. Big Nyota

    Natafuta connection ya kwenda kufanya kazi nchi za ulaya kama(Germany, Denmark, Norway Sweden, Finland au Australia)

    Wakuu wasalaam!! Bila kuwapotezea muda kama kichwa kinavyojieleza Mimi ni kijana mpambanaji ambaye nina uchu na mafanikio, mpaka nimefikia kuleta Uzi humu Nina Nia ya kwenda kutafuta maisha huko Ulaya. Mpaka kufikia uamuzi huo ni kwa sababu ya changamoto ya ugumu wa Maisha hapa nchini, Sasa...
  4. Kimbesa11

    Tunajivunia kuona Tanzania ipo kwenye orodha ya nchi kubwa duniani. Kuwepo kwenye list tu ni pigo kwa nchi za Ulaya

    Baada ya Donald trump kuzishutumu nchi za Ulaya kwa kukosa uongozi Bora kitendo ambacho kimepelekea uchumi wa bara la ulaya kushuka. Ulaya wamekuja na propaganda za kuzishutumu nchi kubwa Duniani kuwa zinaendeshwa kidikteta wakati uchumi wao wote wa ulaya unategemea nchini hizo, Ulaya haigusi...
  5. Q

    PostGE2025 Serikali ya Tanzania yajibu matamko EU, Marekani na mashirika ya kimataifa

    Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki katika taarifa kwa vyombo vya habari imesema Serikali imepokea taarifa na matamko kwa umma yaliyotolewa kwa nyakati tofauti na washirika wa maendeleo na Serikali za mataifa mbalimbali kuhusu matukio ya Oktoba 29, 2025. Wakati na baada ya...
  6. mirindimo

    PostGE2025 Masheikh mko wapi? Kuna tamko la nchi za Ulaya, inatakiwa mkawajibu

    Balozi 17 kwa pamoja zaitaka Tanzania kuachia wafungwa wa kisiasa, kusitisha utekaji na kurudisha miili ya waliouawa Pia soma > PostGE2025 - Balozi 17 kwa pamoja zaitaka Tanzania kuachia wafungwa wa kisiasa, kusitisha utekaji na kurudisha miili ya waliouawa
  7. kyagata

    Israeli imetoa onyo kali kwa nchi za ulaya

    Oya Myahudi kachafukwa kinoma. Hataki discussion na mtu yeyote yule. ================= Mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya Kaja Kallas amependekeza awamu nyengine ya vikwazo dhidi ya mawaziri wawili wa Israel, walowezi wanaozua vurugu na viongozi 10 wa kundi la Hamas. Waziri wa usalama wa...
  8. Webabu

    Palestina imeshatambuliwa na mataifa 147 zamani na haijasaidia chochote.Huu utambuzi wa nchi za Ulaya na Canada ni ujanja mwengine basi, wa maangamizi

    Tangu wiki hii kuanza na Ufaransa kutoa tamko la kuja kuitambua Palestina mwezi Septemba imekuwa ni habari kubwa bila sababu. Mataifa mengine matatu ambayo ni UK na Canada nayo yametia nia hiyo muda huo ambao kwa mwendo wa vifo vya njaa wapalestina watakuwa wamebaki wachache sana. Habari hizo...
  9. The Zanzibar Echo

    Nchi za Ulaya zazindua mkutano wa kusaidia ujenzi wa Ukraine

    Viongozi wa Ulaya wamezindua Alhamisi mjini Rome, mkutano wa kila mwaka wa kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa Ukraine baada ya vita, wakitarajia kukusanya dola bilioni 12. Waziri Mkuu wa Italia Giorgia Meloni na rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky waliufungua mkutano huo kwa kuwatolewa wito...
  10. M

    Hivi kwa mfano nchi za Ulaya wakilupuana na manyuklia wazungu watakao baki hai unahisi wakimbilia bara gani kati ya Afrika na Amerika kusini?

    Kichwa cha habari cha husika ..maana kwa hesabu za haraka haitapita miaka 50 bila hili kutokea
  11. L

    Kufikia 2030 Rais Samia Atakuwa Na Uwezo wa Kuilisha Afrika Nzima Na Kutoa Misaada ya Chakula Kwa Baadhi ya Nchi Za Ulaya na Asia

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa kasi ya uwekezaji wa Mabilioni kwa mabilioni ya pesa unaofanywa na Rais Samia katika secta ya kilimo, kwa Mapinduzi ya kilimo yanayofanywa na Mama ,Kwa hatua zake za kuongeza Bajeti ya kilimo kufikia zaidi ya Trilioni moja point tisa, kwa kasi yake ya kuvutia...
  12. peno hasegawa

    Madhara ya nchi za Ulaya na Marekani, Kutotambua Uchaguzi wa 2025 wa Tanzania na Athari Zake kwa Viongozi wa CCM na Wananchi

    Uchaguzi wa 2025 nchini Tanzania unakaribia, na tayari kuna wasiwasi kuhusu uwezekano wa kutotambuliwa kwake na nchi za Ulaya na Marekani. Madhara ya hali hii yanaweza kuwa makubwa, sio tu kwa viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) bali pia kwa wananchi wa kawaida. Katika makala hii, tutaangazia...
  13. S

    Iwapo itatokea, pendekeza majina ya viongozi wa CCM na serikali unaodhani wanastahili kuwekewa vikwazo vya kusafiri nchi za Ulaya na Marekani

    Habari ndio hiyo. Tuwasaidie wazungu kwenye haya mapambano ya kudai haki za watanzania dhidi ya kikundi fulani cha watu hapa nchini.
  14. N

    Naunga mkono kauli ya Rais Samia kwamba sasa hivi Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya hazifanyi vizuri kiuchumi kama Tanzania

    Naunga mkono kauli hii kwa kutumia hoja zofuatazo 1. Ukuaji wa pato la taifa (GDP Growth), ukuaji wa pato la taifa la Tanzania linatarajia kukua mpaka kufika 6% kwa mwaka 2025,ukilinganisha na 5.4% kwa mwaka 2024, ukanda wa Euro pato la taifa linakuwa kwa 1.3% na marekani ni 1.1% hii inaonyesha...
  15. Tauceti Rigel

    Muhtasari wa Kiama Dakika kwa Dakika: Yatakayojiri Vita ya Nyuklia Kati ya Umoja wa Nchi za Ulaya na Urusi Juu ya Mgogoro wa Ukraine

    Je, umewahi kufikiri dunia inaweza kufutwa kwa dakika ishirini tu? Je, maisha yote tuliyoyajenga – shule, familia, ndoto – yakaisha kwa sauti moja ya kishindo? Huu si utani. Si sinema ya Hollywood. Ni uhalisia unaovizia mwanadamu kwa kivuli cha siasa na teknolojia. Rais wa Urusi, Vladimir...
  16. Revolution

    Hivi ni kwanini nchi za Ulaya na Marekani huwa wanajali sana kuhusu usalama wa wananchi wao kuliko nchi za Kiafrika?

    Bila kujali hali ya raia huyo, ana hela au hana hela, kijana, mwanamke, mzee, mtoto, mrefu, mfupi, mweusi au mweupe, Usalama wa Raia mmoja mmoja wa Marekani na Nchi za Ulaya na Usalama wa Wananchi wote ni suala la muhimu sana kwa mataifa hayo. Hali hiyo ni tofauti sana kwa Nchi za Kiafrika...
  17. President of China

    Je, Nchi za Ulaya zimepuuza Bunge la EU?: Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Czech zimetia saini Mkataba muhimu

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Czech zimetia saini Mkataba wa Kuondoa Utozaji Kodi ya Mapato Mara Mbili na Kuzuia Ukwepaji Kodi, hatua itakayosaidia kufungua uchumi wa nchi kwa kuvutia uwekezaji wa kimataifa na utawezesha wawekezaji na wafanyabiashara...
  18. President of China

    Hangover ya Colonialism bado inawasumbua nchi za Ulaya - Bunge la Ulaya likiongozwa na Ujerumani walioua Babu zetu na kuwatesa

    WABUNGE WA UJERUMANI NI: Michael Gahler David McAllister Hangover ya ukoloni bado inaonekana wazi kwenye siasa za kimataifa—hasa kwa mataifa ya Ulaya. Licha ya kuondoka Afrika kwa miongo kadhaa sasa, bado wanashindwa kukubali kuwa mataifa kama Tanzania ni huru, huru kujiamulia na kuendesha...
  19. TUKANA UONE

    Baadhi ya Watanzania waishio nchi za Ulaya na Amerika Wana matatizo ya Afya ya Akili

    Wakati ninapokuwa Sina kazi ya kufanya nikiwa nimepumzika,mara nyingi huwa napita pita mitandaoni kutazama hiki na kile ilimradi tu kuipumzisha akili yangu! Nimekuwa nikiona akaunti kadhaa za wabongo waishio nchi za Norway,Finland & Sweden na wachache Canada wamekuwa wakitoa maneno ya dhihaka...
  20. Yoda

    Nchi za Ulaya wafungwa magerezani wanaishi maisha mazuri kuliko binadamu wengi wa Africa.

Back
Top Bottom