nbc

The National Broadcasting Company (NBC) is an American English-language commercial broadcast television and radio network owned by Comcast. The network is headquartered at 30 Rockefeller Plaza in New York City, with additional major offices near Los Angeles (at 10 Universal City Plaza), and Chicago (at the NBC Tower). NBC is one of the Big Three television networks, and is sometimes referred to as the "Peacock Network", in reference to its stylized peacock logo, introduced in 1956 to promote the company's innovations in early color broadcasting; it became the network's official emblem in 1979.
Founded in 1926 by the Radio Corporation of America (RCA), NBC is the oldest major broadcast network in the United States. At that time, the parent company of RCA was General Electric (GE). In 1932, GE was forced to sell RCA and NBC as a result of antitrust charges. In 1986, control of NBC passed back to General Electric (GE) through its $6.4 billion purchase of RCA. GE immediately began to liquidate RCA's various divisions, but retained NBC. After the acquisition by GE, Bob Wright became chief executive officer of NBC; he would remain in that position until his retirement in 2007, when he was succeeded by Jeff Zucker.
In 2003, French media company Vivendi merged its entertainment assets with GE, forming NBC Universal. Comcast purchased a controlling interest in the company in 2011, and acquired General Electric's remaining stake in 2013. Following the Comcast merger, Zucker left NBCUniversal and was replaced as CEO by Comcast executive Steve Burke.
NBC has thirteen owned-and-operated stations and nearly 200 affiliates throughout the United States and its territories, some of which are also available in Canada and/or Mexico via pay-television providers or in border areas over the air; NBC also maintains brand licensing agreements for international channels in South Korea and Germany.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone Mwamba

    Full Time| Mtibwa Sugar 1 -1 Yanga SC | Ligi kuu NBC | Jamuhuri stadium | Machi 21, 2025

    Mchezo wa Ligi Kuu wa NBC wenyeji Mtibwa Sugar wanacheza na Yanga SC uwanja wa Jamuhuri Dodoma DAkika 51, Yanga anaogoza goli moja, goli lilofungwa na Pacome Mechi imemalizika
  2. P

    Full Time: NBC PL | Azam FC 0-0 Yanga SC | Mkapa Stadium | 15/03/2026

    Timu ya soka ya Azam leo inaikaribisha timu ya Yanga kwrnye mechi ya NBC PL kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
  3. Pulchra Animo

    NBC News: Two ICE agents on leave after appearing to make 'untruthful' statements about shooting

    https://www.nbcnews.com/video/two-ice-agents-on-leave-after-appearing-to-make-untruthful-statements-about-shooting-257682501675 Compare and contrast with Serikali yetu ya majambazi.
  4. Red black

    FT: Simba SC 2-0 Mashujaa FC l NBC premier League l MEJ GEN.ISAMUHYO l 29-1-2026 l 16:00HRS

    Matchday ; Simba SC vs Mashujaa FC Tunaanzia tulipoishia. Nguvu Moja 💪 All the best Simba 🦁
  5. Holoholo-Baba Kijacho

    FT: NBC PL | Young African SC 3 - 1 Dodoma jiji FC | 27.01.2026 | KMC complex

    Mabingwa watetezi kunako ligi kuu Tanzania bars(NBC PL) watashuka dimbani leo saa moja usiku kupepetana na walima zabibu kutoka Dodoma. Je nani kuibuka na ushindi?
  6. Jamii Opportunities

    Senior Business Analyst at NBC January 2026

    NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services. Job Summary •A credit professional acting as credit expert to the relationship team and the conduit...
  7. Jamii Opportunities

    Relationship Manager – Agribusiness at NBC October 2025

    NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services. Job Summary Responsible for growing Business Banking Agribusiness Book through new business...
  8. E

    Je huduma za benki ya NBC zikoje kwa wazoefu?

    Wakuu habari za weekend, Kutokana na yanayoendelea kwenye huduma za kibenki naomba kuuliza wenye uzoefu na huduma za NBC, makato yao, huduma kwa wateja na ufanisi wao wa mtandao. Baada ya kushuhudia huduma mbovu za CRDB na wafanyakazi wa NMB kutokuwa sharp kwenye kutoa huduma nafikiria...
  9. DexterLab

    Naomba kufahamishwa haya kuhusu NBC Kiganjani

    salamu wakuu, Zaidi ya miezi sasa huwa nasikia matangazo ya hii benki ya NBC, mwenye uzoefu wake atupe, pia ukisha sajili hapo hapo unapata account number na hauitaji kwenda kwenye tawi lao au makao makuu. pia makato. 🙏🏾
  10. PLOII

    Kwa 100% bingwa wa EPL ni Arsenal NBC wana Lunyasi bado, MO ana Drama sana kasajili nini? Anavuna asipopanda na ngojera ya 87B

    Habari Wana Sports, Kiukweli mwaka huu Arsenal imefanya sajili Bora sana ingizo la striker Victor ndani ya Chama letu inatupa confidence ya kusepa na makombe mwaka huu. Imagine Victor yupo pale mbele left Kuna TEMINADO SAKA right MADUEKE. Declan Rice anakichafua Dimba la chini na juu pale...
  11. S

    Kocha Florent Ibenge anavyoisuka Azam sitoshangaa msimu ujao akibeba kömbe la NBC hata Shirikisho, Mark My Words

    Nimekuwa nikifuatilia sana maendeleo ya Azam FC, leo nimeshuhudia wakiwafunga APR mbele ya washabiki wao, mpira mwingi sana umepigwa, vijana wanacheza soka nzuri sana yaan kiufupi Azam msiwachukulie poa kabisa kabisa, wana wachezaji wa under 20, wapya na hawa wa sasa, aisee wanavutia sana...
  12. Pdidy

    Benki ya NBC ina mhudumu mmoja pamoja na kuwa na foleni

    Hivi mmekosa wafanyakazi?? Ama wafanyakazi wanafanya kaxi kwa mazoea? Hii mara ya tatu nimetoka hapo mlimancity tumepangana kama watu 12 mhudumu n mmoja tu huu n ushenzi Wewe unaepanga kutoa hela kuweka nenda sehemu zingine branch ovyo kabisa. Mbaya zaidi wanakuja wazungu ama wahindi...
  13. Waufukweni

    Msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC kuanzia Septemba 16, 2025

    Ligi Kuu ya NBC kwa msimu wa 2025/2026 inatarajiwa kuanza rasmi Septemba 16, 2025, ambapo mashabiki wa soka nchini watashuhudia tena ushindani mkali miongoni mwa vilabu vikubwa na vidogo, huku kila timu ikisaka pointi muhimu kuanzia hatua za mwanzo za ligi hiyo maarufu nchini Tanzania. Sasa...
  14. PLOII

    Simba tumepotea kwa porojo za utopolo; "lengo letu limetimia sisi ni fanalist cafcc ubingwa wa nbc sio target yetu huku tuache watambe"

    Habari Zenu mashabiki bora wa CAF Super League! Kiukweli tumeingia mkenge Kwa porojo za Utopolo. Simba Kwa Msimu huu tumefanikiwa kufika sehemu ya ndoto yetu wengi hatukuwahi kushuhudia Mnyama akicheza stage hiyo. Haya ni mafanikio makubwa Sana bahati mbaya tumeingia kwenye ujinga wa wauza...
  15. M

    Simba wapata hasara baada ya kuukosa ubingwa Nbc

    Waliandaa mpka tishert za ubingwa lakini ikawa tofauti... hivyo kontena nzima ya hizo tishert hazivaliki
  16. GENTAMYCINE

    Kimpira na ki haki Ahoua ndiyo anatakiwa kuwa MVP wa NBC Premier League, ila Kiunafiki, Kiushabiki na Kipropaganda watasema apewe Pacome

    Hivi kweli Wanamichezo hapa JamiiForums tukiweka pembeni Mahaba yetu kwa hizi Timu zetu kabisa tukifanya thorough analysis kuanzia Msimu wa Ligi Kuu ya NBC ianze mpaka hivi juzi ilipomalizika na tukiangalia kuanzia Mechi walizocheza, Mchango wao na uwajibikaji wao kwa Timu zao tukiwa na Akili...
  17. GENTAMYCINE

    Kuna Msemaji wa Timu moja namsubiri sana tuone atakavyowadanga 'Majuha' aliowazoea pale Msimu mpya wa NBC Premier League ukianza August 2025

    Na namshauri tu kama akiweza safari apige kimya na awaachie Viongozi wake ndiyo wawe Wasemaji ila siyo Yeye tena.
  18. ngara23

    Yanga kupeleka kombe la ubingwa NBC PL ikulu, ni kutukera mashabiki

    Afisa habari wa Yanga amesema wana ratiba ya kupeleka ubingwa NBC PL, ili kama pongezi Kwa Rais Samia Binafsi nimekereka na mambo ya uswahili yanayofanywa na club yangu Kama viongozi wa Yanga wanataka kufanya uchawa wafanye wenyewe binafsi ila wasitumie nembo ya Yanga kufanyia uchawa Huu ni...
  19. Nehemia Kilave

    Pongezi kwa Simba kwa kufanya maamuzi sahihi na hakika Simba ina Watu makini , Simba bingwa NBC premier league 2024/25

    Leo tar 25/6/2025 saa 11 jioni kuna dabi ya kariakoo , Mwanzoni kulikuwa na kila Sababu kwa Simba kutopeleka timu uwanjani lakini dakika za jioni Mnyama anaingia uwanjani. Points 3 za leo ni muhimu sana kwa Simba , Hakika Yanga hawezi chukua ubingwa kirahisi kwa timu kutofika Uwanjani hii ndio...
  20. Z

    Orodha ya Wachezaji wasio na Kiwango cha Kucheza NBC Premier League

    Baada ya jana Makolo kufungwa na kutupwa nje ya kombe la shirikisho. Ifuatayo ni orodha ya wachezaji wa Timu za ligi kuu wasio na kiwango cha kuchezea ligi kuu. 1. Ally Salim (Simba) 2. Chamou Karabou (Simba) 3. Che Fondoh Malone (Simba) 4. Lionel Ateba (Simba) 5. Steve Mukwala (Simba) 6. Joshua...
Back
Top Bottom