nba

The National Basketball Association (NBA) is a men's professional basketball league in North America, composed of 30 teams (29 in the United States and 1 in Canada). It is one of the four major professional sports leagues in the United States and Canada, and is widely considered to be the premier men's professional basketball league in the world.
The league was founded in New York City on June 6, 1946, as the Basketball Association of America (BAA). It changed its name to the National Basketball Association on August 3, 1949, after merging with the competing National Basketball League (NBL). The NBA's regular season runs from October to April, with each team playing 82 games. Its playoffs extend into June. NBA players are the world's best paid athletes by average annual salary per player.The NBA is an active member of USA Basketball (USAB), which is recognized by FIBA (also known as the International Basketball Federation) as the national governing body for basketball in the United States. The league's several international as well as individual team offices are directed out of its head offices in Midtown Manhattan, while its NBA Entertainment and NBA TV studios are directed out of offices located in Secaucus, New Jersey.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Marekani: NBA yaondoa sheria ya kuzuia matumizi ya bangi kwa wachezaji

    Uongozi unaosimamia Ligi ya Kikapu ya NBA umeboresha sera zake kuhusu matumizi ya bangi kwa kuiondoa katika kipengele cha madawa yanayozuiwa kwa wachezaji. Hivyo, wachezaji wa NBA hawatafanyiwa vipimo kwa muda wa miaka saba kutokana na mkataba uliosainiwa na Collective Bargaining Agreement...
  2. BARD AI

    Burna Boy, Rema na Tems kukiwasha NBA All-Star Game leo usiku

    Shirikisho la Mpira wa Kikapu la Marekani (NBA) limesema baada ya Show hiyo yenye mahadhi ya #AfroBeats leo Februari 19, 2023, familia ya NBA itamtunuku Nyota wa LA Leakers #LeBronJames kama kinara wa Wafungaji Bora wa Ligi. Kabla ya game ya kwanza, #PostMalone ataamsha uwanja kwa ngoma kadhaa...
  3. Poker

    LeBron James avunja rekodi ya Kareem Abdul Jabal awa mfungaji wa muda wote NBA

    Leo hii Lebron James anaivunja rekodi hiyo na atakuwa kinara wa mabao huko NBA kwa sasa King 👑 James hana mpinzani na inaaminika huenda akajengewa sanamu lake pale Ikulu ya Marekani. Huyu Lebron ni kama ujumuishe Curry, Jordan, Magic, Shaquille na Durant ndio upate kiwango chake hivyo unaweza...
  4. Ngareroo

    Naombeni Elimu Kuhusu NBA All-Stars

    Habarini wakuu..Mimi nacheza basketball japo sio katika level kubwa kiivo ila nachezea hadi timu inayoshiriki ligi ya mkoa ya Mpira wa kikapu ya Arusha.. Kwa wapenzi wa kikapu hasa Kule Marekani (NBA) waga kuna mashindano yanaitwa NBA All-Stars ambayo hujumuisha East(Team Durant) na West(Team...
  5. JanguKamaJangu

    Golden State Warriors yatwaa Ubingwa wa NBA kwa kuifunga Boston Celtics

    Golden State Warriors imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi ya Kikapu ya NBA 2022 ikiwa ni mara ya nne ndani ya miaka nane iliyopita. Imeifunga Boston Celtics kwa vikapu 103-90 katika mchezo wa Fainali ya 6 uliomalizika alfajiri ya leo Juni 17, 2022. Stephen Curry amebeba Tuzo ya Mchezaji Bora wa...
  6. The Boss

    NBA draft 2021 vipi?

    Naona mabadiliko Sana. D league imepanda chat sana. Wale watu wa NBA anything to say? Sioni uzi wa NBA..
  7. BAK

    2021 NBA Playoffs special thread

  8. Don Clericuzio

    NBA - Clay Thompson of GSW Suffers Achilles Tear, will be out for a season

    Hii ni habari mbaya kwa washabiki wa GSW waliotegemea kupambana na Lakers msimu huu baada ya kuburuza mkia kwa sababu za majeruhi msimu ulioisha. Tuendelee kusubiri mpaka msimu mwingine tena, ila kwa mtazamo wangu GSW is no more in terms of a competitor.
  9. BAK

    2020 NBA Finals

  10. BAK

    Milwaukee Bucks watelekeza mchezo wa 5 NBA playoffs dhidi ya Magic kutokana na Jacob Blake kupigwa risasi na polisi

    The NBA and its players and coaches have taken myriad measures to make clear their support for the Black Lives Matter movement while standing against all racial injustice and police brutality, but in the wake of an unarmed Black man named Jacob Blake being shot seven times in the back in...
  11. RAKI BIG

    Michael Jordan: Viatu vya nguli wa NBA vyauzwa kwa rekodi ya $560,000

    Jozi za viatu za nguli wa mchezo wa kikapu Michael Jordan za mwaka 1985 zimeweka rekodi ya kuuzwa kwa kiasi cha dola za Marekani 560,000, kwenye mnada wa mtandaoni. Jozi hiyo ya viatu ya Nike Air Jordan 1s, ilivaliwa na Jordan wakati wa msimu wake wa kwanza akiwa kinda na klabu ya Chicago...
  12. The Sheriff

    Michael Jordan: NBA legend's trainers sell for record $560,000

    Basketball legend Michael Jordan's autographed trainers from 1985 sold for a record $560,000 (£463,000) in an online auction. The Nike Air Jordan 1s, worn by Jordan during his rookie season with the Chicago Bulls, were expected to fetch between $100,00-$150,000 at Sotheby's. The previous...
  13. Don Clericuzio

    NBA yamesimamisha ligi kwa sababu ya Coronavirus

    NBA suspends season due to coronavirus Rudy Gobert, mchezaji wa timu ya Utah Jazz amepimwa na kukutwa na coronavirus. Hii imesababisha ligi iahirishwe mpaka wakati utakaoamuliwa (until further notice). Game ya jana kati ya Oklahoma City Thunder (OKC) na Utah Jazz iliyokuwa ichezewe Chesapeake...
  14. Influenza

    Magic Johnson: Mcheza Kikapu mkali aliyekuwa na udambwi udambwi NBA. Aliyejitangaza kuwa na UKIMWI

    Earvin Johnson Jr maarufu kama Magic Johnson alizaliwa August 14, 1959, huko Lansing, Michigan, U.S. Alikuwa Mcheza Kikapu maarufu aliyeiongoza timu ya Los Angeles Lakers kushinda mataji matano ya Ligi Kuu ya Kikapu nchini Marekani ya National Basketball Association (NBA) Johnson alipata jina...
Back
Top Bottom