Naombeni Elimu Kuhusu NBA All-Stars

Ngareroo

JF-Expert Member
Aug 11, 2019
2,049
2,249
Habarini wakuu..Mimi nacheza basketball japo sio katika level kubwa kiivo ila nachezea hadi timu inayoshiriki ligi ya mkoa ya Mpira wa kikapu ya Arusha..

Kwa wapenzi wa kikapu hasa Kule Marekani (NBA) waga kuna mashindano yanaitwa NBA All-Stars ambayo hujumuisha East(Team Durant) na West(Team Lebron)kwa sasa....

Ningependa mnijuze, Wanaposema East ni timu inayojumuisha wachezaji wote waliozaliwa Eastern America? Au wachezaji wanaochezea timu ambazo zipo East?? Hapa ndo waga sielewi kiukweli..Kama kwa mfano waga wanachukua upande wa timu inapotokea mbona Giannis Antentokounmpo "Greek Freaky" Timu take ya Milwaukee Bucks inatokea east ila yeye anachezeaga West kwenye All stars??Na kama waga wanaangalia upande alipozaliwa, Giannis sio Mmarekani ni Mgiriki..!!??

BAK
 

Attachments

  • FB_IMG_16456442913615880.jpg
    FB_IMG_16456442913615880.jpg
    49.2 KB · Views: 11
Kiukwel mkuu cjakuelewaa ,vp baada ya mazoezi ndio umekula cha arusha ndio ukaandikaa hv au?mm nimekulaa cha arusha alafu nipo na makamo wa raic hapa anielekezaa natakiwaa nimalizie Kaz yangu jmos ya wikii ili niingiziwe pesa yangu kwa account,,,,,,,,,,,,,

Unatuzalilisha kaskazini,,,,CC N JANJA JANJA baada ya MUNGU then WAZUNGU tunafata cc WACHAGAAA
 
Habarini wakuu..Mimi nacheza basketball japo sio katika level kubwa kiivo ila nachezea hadi timu inayoshiriki ligi ya mkoa ya Mpira wa kikapu ya Arusha..

Kwa wapenzi wa kikapu hasa Kule Marekani (NBA) waga kuna mashindano yanaitwa NBA All-Stars ambayo hujumuisha East(Team Durant) na West(Team Lebron)kwa sasa....

Ningependa mnijuze, Wanaposema East ni timu inayojumuisha wachezaji wote waliozaliwa Eastern America? Au wachezaji wanaochezea timu ambazo zipo East?? Hapa ndo waga sielewi kiukweli..Kama kwa mfano waga wanachukua upande wa timu inapotokea mbona Giannis Antentokounmpo "Greek Freaky" Timu take ya Milwaukee Bucks inatokea east ila yeye anachezeaga West kwenye All stars??Na kama waga wanaangalia upande alipozaliwa, Giannis sio Mmarekani ni Mgiriki..!!??

BAK
Anzia kwenye mfumo wa ligi yao kwanza mfumo wa kanda mbili, ya mashariki na magharibi, nadhani kila ukanda hutoa wachezaji nyota toka katika timu zake ili kuunda timu ya kombania
 
Kiukwel mkuu cjakuelewaa ,vp baada ya mazoezi ndio umekula cha arusha ndio ukaandikaa hv au?mm nimekulaa cha arusha alafu nipo na makamo wa raic hapa anielekezaa natakiwaa nimalizie Kaz yangu jmos ya wikii ili niingiziwe pesa yangu kwa account,,,,,,,,,,,,,

Unatuzalilisha kaskazini,,,,CC N JANJA JANJA baada ya MUNGU then WAZUNGU tunafata cc WACHAGAAA
Mim nimemuelewa acha uchawi.we sema sijui inatosha
 
East conference inajumuisha timu zote 15 wanachukuwa wale player wanaofanya vizuri kutoka ukanda huu na hivyo hivyo west conference badae wanapigiwa kura kupata macaptain kila upande
 
Angalia hiyo picha,,yuko West na Curry,Doncic',Lebron,Butler,Jarret Allen nk
Ni East Kwa upande WA timu ilipotoka... Gianis anachezea east...Lin umemuona west?
 

Attachments

  • FB_IMG_16456419630040021.jpg
    FB_IMG_16456419630040021.jpg
    39.6 KB · Views: 12
Hujanielewa bro,,Nimesema mfano kwanini Bucks IPO eastern conference anayochezea Antentokounmpo lakini yeye kachezea West akati timu take IPO Eastern conference(Milwaukee Bucks)?
East conference inajumuisha timu zote 15 wanachukuwa wale player wanaofanya vizuri kutoka ukanda huu na hivyo hivyo west conference badae wanapigiwa kura kupata macaptain kila upande
 
Angalia hiyo picha,,yuko West na Curry,Doncic',Lebron,Butler,Jarret Allen nk


Mazee Labda humjui Gianis...hiyo picha nimetazama sijakuona...labda niambie hii ni all Star ya lini?..Kama ya mwaka huu nilitazama game alichezea east
 
Habarini wakuu..Mimi nacheza basketball japo sio katika level kubwa kiivo ila nachezea hadi timu inayoshiriki ligi ya mkoa ya Mpira wa kikapu ya Arusha..

Kwa wapenzi wa kikapu hasa Kule Marekani (NBA) waga kuna mashindano yanaitwa NBA All-Stars ambayo hujumuisha East(Team Durant) na West(Team Lebron)kwa sasa....

Ningependa mnijuze, Wanaposema East ni timu inayojumuisha wachezaji wote waliozaliwa Eastern America? Au wachezaji wanaochezea timu ambazo zipo East?? Hapa ndo waga sielewi kiukweli..Kama kwa mfano waga wanachukua upande wa timu inapotokea mbona Giannis Antentokounmpo "Greek Freaky" Timu take ya Milwaukee Bucks inatokea east ila yeye anachezeaga West kwenye All stars??Na kama waga wanaangalia upande alipozaliwa, Giannis sio Mmarekani ni Mgiriki..!!??

BAK
Ni kweli Giannis alichezea West Coast au kwa usahihi zaidi alichezea TEAM LEBRON. Kwa kawaida all star selection hufanywa kwa fans kuwapigia kura wale starters. Halafu baadaye wale wa kukamilisha timu huchaguliwa. All star 2022 kulikuwa na utaratibu mpya. Kura zilipigwa na fans kama kawaida. Wachezaji 22 waliopata kura nyingi wakapatikana. Lebron James (West) na Kevin Durant (East) wakapewa unahodha. Wakawapewa fursa ya kuchagua wachezaji wa timu zao bila kujali wanatoka upande upi. Na sio Giannis tu ambaye alichezea timu tofauti na upande anakotoka, Drymond Green na Andrew Wiggins walichaguliwa kuchezea Team Durant (east) wakati wao wanatoka west.
 
Ni kweli Giannis alichezea West Coast au kwa usahihi zaidi alichezea TEAM LEBRON. Kwa kawaida all star selection hufanywa kwa fans kuwapigia kura wale starters. Halafu baadaye wale wa kukamilisha timu huchaguliwa. All star 2022 kulikuwa na utaratibu mpya. Kura zilipigwa na fans kama kawaida. Wachezaji 22 waliopata kura nyingi wakapatikana. Lebron James (West) na Kevin Durant (East) wakapewa unahodha. Wakawapewa fursa ya kuchagua wachezaji wa timu zao bila kujali wanatoka upande upi. Na sio Giannis tu ambaye alichezea timu tofauti na upande anakotoka, Drymond Green na Andrew Wiggins walichaguliwa kuchezea Team Durant (east) wakati wao wanatoka west.
Draymond hakuwepo na utaratibu huu haukuanza 2022..
 
Habarini wakuu..Mimi nacheza basketball japo sio katika level kubwa kiivo ila nachezea hadi timu inayoshiriki ligi ya mkoa ya Mpira wa kikapu ya Arusha..

Kwa wapenzi wa kikapu hasa Kule Marekani (NBA) waga kuna mashindano yanaitwa NBA All-Stars ambayo hujumuisha East(Team Durant) na West(Team Lebron)kwa sasa....

Ningependa mnijuze, Wanaposema East ni timu inayojumuisha wachezaji wote waliozaliwa Eastern America? Au wachezaji wanaochezea timu ambazo zipo East?? Hapa ndo waga sielewi kiukweli..Kama kwa mfano waga wanachukua upande wa timu inapotokea mbona Giannis Antentokounmpo "Greek Freaky" Timu take ya Milwaukee Bucks inatokea east ila yeye anachezeaga West kwenye All stars??Na kama waga wanaangalia upande alipozaliwa, Giannis sio Mmarekani ni Mgiriki..!!??

BAK
kwanza kuchezea East au West haihusishi kuzaliwa upande gani wa Marekani (na wala haijawahi kuwa hivyo)..
East na West All Star Teams zinawakilisha wachezaji nyota wa msimu husika mpaka kipindi hicho toka katika kanda hizo(Mashariki na Magharibi au wenyewe wanaziita Conferences).Kuna utaratibu wa kupata hao wachezaji,ikiwepo kupigiwa kura na mashabiki,Makocha ...
Katika kuboresha huu mfumo ndio wakaja na wachezaji nyota watakaopatikana kwa kanda zote mbili ,watakaoongoza kura katika kila upande watakuwa makapteni na kisha kila mmoja kuchagua timu yake(kwa mfumo wa draft)bila kuzingatia Ukanda..
Natumai nimekupa picha kidogo..
Kama kweli unapenda Nba na unahitaji mtu wa kulonga nae,nicheki,napatikana A-town.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom