Habari ndugu zanguni
ZAYAD CREATIVES
New Offer! Offer! Offer!
Ndugu mpendwa, Tumekuletea suluhisho bora kwa watu wa majumbani, maofisini, mamalishe na babalishe, mahoteli, migahawa na makampuni yote na ofisi zote binafsi na serikali na kila anayehusika kuwa kitengo cha Zayad Butchery wanatoa huduma bora, nzuri na za kisasa, zilizoandaliwa katika usafi na ubora mkubwa wa kusambaza na kuuza kwa jumla na rejareja.
Huduma zetu kwa Kg 1 ni:
- Changu Sh 9000/=
- Tasi& Vibua Sh 8000/=
- Pweza wakubwa Sh 8500/=
- Ngisi Sh 10000/=
- Sangara Sh 5000 - 5500/=
- Sato Sh 8500/=
- Nyama ya ng’ombe Sh 7000
- Mbuzi Sh 8000
- Maini Sh 9000
- Nyama ya kusaga Sh 10,000
- Kuku wa kienyeji kuanzia Sh 15000
- Kuku wa kisasa (broiller) Sh 7000 Nk.
Hatuna sifa nyingine kubwa ila ukweli na uaminifu kwa kila mteja wetu ndio ngao yetu akiwa mbali au karibu, na ukiagiza utapata kilicho bora bila mapungufu au udanganyifu wowote, kizuri utaambiwa na kibaya utajulishwa.
Na ukipenda kuletewa(Delivery services) utaletewa,utatengenezewa na kukatiwa kwa mashine ya kukatia iliyo imara.
Ukifika ofisini kwetu utatamani hata kulala, mazingira yetu safi na tulivu, kiyoyozi safi, eneo kubwa na ukipenda utajipima uzito wako bure huku ukipata kikombe cha kahawa au chai au maji ukiendelea kusubiria huduma.
Tupe oda yako kwa shughuli yako au sherehe yoyote na wale wanaomiliki mabucha, migahawa, mahoteli au supermarket. Wasiliana nasi mapema tufanye biashara kuna fursa kubwa kutoka ZAYAD kwa sasa.
Ikiwa hiyo haitoshi tunatoa offer na zawadi nyingi kwa wateja kama lita za mafuta, viungo, kilo za vitunguu na nyanya na hata vyombo vya nyumbani n.k kwa wateja bora.
Huduma zetu ni nafuu na utapimiwa kwa kias cha pesa ulicho nacho.
Tupo Barabarani kabisa eneo la ILALA BUNGONI - MSAADA GERAGE makutano ya Barabara ya uhuru na mtaa wa Bonga
Tembelea Twitter/Instagram/Facebook kwa jina: zayadbutcher ili upate taarifa na habari Zaidi
Au tupigie/whatsapp namba:
*0672 177 227/0745 873 038*
*E-mail:zayadbutcher@gmail.com*
Mwili wako haujengwi kwa matofali ila kwa mlo kamili
ZAYAD CREATIVES
New Offer! Offer! Offer!
Ndugu mpendwa, Tumekuletea suluhisho bora kwa watu wa majumbani, maofisini, mamalishe na babalishe, mahoteli, migahawa na makampuni yote na ofisi zote binafsi na serikali na kila anayehusika kuwa kitengo cha Zayad Butchery wanatoa huduma bora, nzuri na za kisasa, zilizoandaliwa katika usafi na ubora mkubwa wa kusambaza na kuuza kwa jumla na rejareja.
Huduma zetu kwa Kg 1 ni:
- Changu Sh 9000/=
- Tasi& Vibua Sh 8000/=
- Pweza wakubwa Sh 8500/=
- Ngisi Sh 10000/=
- Sangara Sh 5000 - 5500/=
- Sato Sh 8500/=
- Nyama ya ng’ombe Sh 7000
- Mbuzi Sh 8000
- Maini Sh 9000
- Nyama ya kusaga Sh 10,000
- Kuku wa kienyeji kuanzia Sh 15000
- Kuku wa kisasa (broiller) Sh 7000 Nk.
Hatuna sifa nyingine kubwa ila ukweli na uaminifu kwa kila mteja wetu ndio ngao yetu akiwa mbali au karibu, na ukiagiza utapata kilicho bora bila mapungufu au udanganyifu wowote, kizuri utaambiwa na kibaya utajulishwa.
Na ukipenda kuletewa(Delivery services) utaletewa,utatengenezewa na kukatiwa kwa mashine ya kukatia iliyo imara.
Ukifika ofisini kwetu utatamani hata kulala, mazingira yetu safi na tulivu, kiyoyozi safi, eneo kubwa na ukipenda utajipima uzito wako bure huku ukipata kikombe cha kahawa au chai au maji ukiendelea kusubiria huduma.
Tupe oda yako kwa shughuli yako au sherehe yoyote na wale wanaomiliki mabucha, migahawa, mahoteli au supermarket. Wasiliana nasi mapema tufanye biashara kuna fursa kubwa kutoka ZAYAD kwa sasa.
Ikiwa hiyo haitoshi tunatoa offer na zawadi nyingi kwa wateja kama lita za mafuta, viungo, kilo za vitunguu na nyanya na hata vyombo vya nyumbani n.k kwa wateja bora.
Huduma zetu ni nafuu na utapimiwa kwa kias cha pesa ulicho nacho.
Tupo Barabarani kabisa eneo la ILALA BUNGONI - MSAADA GERAGE makutano ya Barabara ya uhuru na mtaa wa Bonga
Tembelea Twitter/Instagram/Facebook kwa jina: zayadbutcher ili upate taarifa na habari Zaidi
Au tupigie/whatsapp namba:
*0672 177 227/0745 873 038*
*E-mail:zayadbutcher@gmail.com*
Mwili wako haujengwi kwa matofali ila kwa mlo kamili