Kwa majina naitwa Abdallah nna miaka 23 nimemaliza chuo mwaka huu natafuta kazi ya ualimu shule binafsi au hata Hotelini, Kiwandani nipo tayari nipo Dodoma mawasiliano 0657897884
Salaam wanajukwaa mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32.
Nilimaliza Bachelor Degree ya Banking and Finance (IFM) 2014.
Nikasome Masters Degree of Finance and Investment (Coventry University- IAA).
Nimefanya contractual jobs na Kampuni tofauti.
Mwenye fursa akihitaji CV yangu nipo tayari...
Mimi ni kijana mwenye miaka 25, nipo, Dar Es Salaam.
Nisiwapotezee muda, naombeni kazi kwa yeyote anayeweza niona nafaa;
Ninaweza fanya kazi yotote, haswa ambayo sio ya kutumia nguvu sana kulingana na afya yangu.
Nina uwezo wa kuongea na watu vizuri (kiingereza na kiswahili).
Nina elimu ya...
Habari za majukumu wakuu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31 ninaishi Dar es salaam, Ninawaomba kwa yeyote anaeweza kunisaidia kupata kazi nitashukiru sana, Nimeambatanisha CV yangu tafadhali nahitaji msaada wenu, Ahsante.
Wakuu habarini za muda,
Nimerudi mbele yenu wakuu kama kichwa cha habari kisemavyo naombeni mnipatie kazi yoyote na mahali popote.
Niko tayari kufanya Niko Mwanza NNA UJUZI WA COMPUTER ila hata kazi za nguvu naweza natanguliza shukrani wakuu PM yangu iko wazi 24/7 kwa kwenye uwezo wa kunisaidia
Nimefanikiwa kupata Bachelor of Education, hivyo basi kwa yeyote mwenye uhitaji au connection itakayoniwezesha kupata kazi ya kufundisha au inayoendana na taaluma yangu.
Naomba kutanguliza shukrani.
Habari wana jamvi,
Natafuta kazi yoyote ya halali,
Elimu: Bachelor degree (shahada) ya ualimu masomo kiswahili na Geography
Umri: Miaka 28
Eneo nilipo: Dae Es Salaam, Goba
Lugha: kiswahili na English fluently (speaking and writing)
Uzoefu: Nina uzoefu wa mambo mbalimbali ikiwa ni ufundi wa...
Mimi nikijana mwenye mika 28 ninaishi mkoa wa Tanga nimehitimu chuo mwaka 2021
kwasasa nimejitolea katika hospitali ya wilaya
Natafuta kazi mkoa wowote na wilaya yoyote
Kwamawasiliano na kupata CV yangu
kclafya@gmail.com
Mimi nikijana mwenye mika 28 ninaishi mkoa wa Tanga nimehitimu chuo mwaka 2021. Kwa sasa nimejitolea katika hospitali ya wilaya. Natafuta kazi mkoa wowote na wilaya yoyote.
Kwamawasiliano na kupata CV yangu: kclafya@gmail.com
Natumaini nyote ni wazima wa afya njema.
Natafuta kazi ya aina yoyote, ambayo itaweza nipatia kipato ambacho kitanisaidia kupata walau chakula na malazi. Ndani na nje ya Dar es Salaam.
Taarifa zangu binafsi kwa ufupi:
Kijana mchapakazi, mwenye nidhamu na mwepesi kuzoea mazingira ya kazi...
Poleni na mihangaiko ya siku nzima Wakubwa zangu kwa Wadogo zangu.,
Kama mada inavyojieleza natafuta kazi yoyote halali ambayo inaweza kunikwamua kwenye hii hali mbaya niliyonayo ya kiuchumi maana nimekuja kujikuta nina msongo mkubwa wa mawazo.
Sifa zangu:
Mtahiniwa wa mitihani ya ATEC 2(Hapa...
Wana jf kwema, natafuta kazi yoyote iwe halali nipo Arusha, professionally mm ni mwalimu wa Geography na history. Nina ujuzi wa computer. Fluent in English and Swahili.
Habari wadau.
Tumefungua Ofisi mpya studio tunatafuta kazi za video production, kuandaa matangazo, video shooting, Event Management kwa mwenye dili hilo anicheki tuangalie tunafanyaje.
NB: Malipo yapo kwa atakayeleta dili.
Umri: 26
Jinsi: Me
Elimu: Shahada ya Ualimu (Chem na Bio)
Matumizi ya computer (Microsoft office package basics)
Na uzoefu wa uwakala wa huduma za kifedha pia.
Nipo tayari kujifunza kazi yoyote pia.
Habarini ndugu, jamaa na marafiki.
Mimi ni mwalimu wa Chemistry na Biology. Nina uwezo wa kufundisha primary, secondary na advanced level. Nipo mbeya.
Please mwenye kujua shule yenye uhitaji au connection anijulishe.
Namba ya simu: 0766698323
Nina umri wa miaka 28 ninaishia Bagamoyo maeneo ya Mapinga shule ninao uzoefu wa kutosha kwa kazi hiyo nimefanya kazi ya stationery kwa zaidi ya miaka 7 na Secretary hivyo ninaouzoefu mkubwa katika utendaji wa kazi hiyo.na kazi ya uwakala wa benk na tigopesa na Mpesa,usafi ofisini.
Ninaouwezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.