nafasi za kazi

  1. N

    Natafuta kazi

    Habari za wakati huu ndugu zanguni Kwa majina naitwa ELIUD GABRIEL mwenyeji wa KIGAMBONI DAR ES SALAAM nimekuja kwenu nikiwa na uhitaji wa kazi au internship nina uzoefu katika umeme wa majumbani na pia napenda sana kujifunza vitu vingi sana kwenye carrier ya umeme ntafurah sana mkinisaidia...
  2. J

    Nafasi za Kazi za kutunza Bustani

    Nafasi za kazi: Watunza Bustani (02) Eneo la kazi: Dar es Salaam, Tanzania Majukumu: Kutayarisha na kutunza upandaji wa maua, mapambo, na nyasi. Kuripoti matengenezo yanayohitajika kwenye bustani. Kuweka eneo la bustani katika hali ya usafi na nadhifu. Kuhakikisha matumizi sahihi na uhifadhi...
  3. clinton gidioni

    Naombeni kazi au kibarua njee ya taaluma yangu

    Wakuu poleni na majukumu. Kijana mwenye nguvu na afya njema naombeni ajira au kibarua ili niweze kumudu garama za maisha hapa Tanzania. NATAFUTA AJIRA AU KAZI NJE YA TAALUMA YANGU. Nipo tayari kufanya kazi za saidia fundi upande ujenzi. elimu kidato cha nne. Umri 29 mkazi wa Dar es...
  4. Tembele

    Nafasi za kazi Kiwandani.

    Kiwanda cha kuchakata plastiki kilichopo tegata - Daressalaam, Kinatafuta vijana wawili kwa ajili ya kazi za kiwandani, Kazi hizo zinahusisha , kuchambua plastiki, Kuosha plastiki, Kusaga plastiki na Kuengeneza bidhaa mbali mbali kwa kutumia plastiki, vijana wawe na sifa zifuatazo. 1. Awe...
  5. Jamii Opportunities

    Inventory Controller at Frostan Limited April 2025

    We Are Hiring! INVENTORY CONTROLLER Education (Bsc in procurement and supply chain management or related field Minimum 2 years experience Microsoft Office English language proficiency required High attention to detail Excellent report writing Oodoo system knowledge is on added advantage How...
  6. M

    Mke wangu anahitaji kazi yoyote ila ndani ya Dar kasoro mama ntilie na bar tu

    Wakuu nisiongee Sana naomba mnisaidie hapa maana Kwa mm kupata KAZI imeshindkana basi msaidieni shemeji yenu nipo chini ya miguu yenu wakuu Uzi tayari
  7. Jamii Opportunities

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi yatangaza nafasi za kazi kwa watendaji watakaosimamia Uchaguzi

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuendesha uchaguzi wa Rais na wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na madiwani kwa Tanzania Bara, mwaka 2025. Katika kutekeleza jukumu hilo, Tume inatangaza nafasi za kazi ili kupata Watendaji watakaosimamia zoezi hilo kwa Tanzania Zanzibar. Kazi...
  8. M

    Nahitaji kazi yeyote Dar es salaam au popote Tanzania

    Wakuu nipo tayari kwa lolote mwenye mchongo wowote nafanya Ilimrad pesa ztasoma za kutosha, hakuna kufeli toa kazi tupige hela mapambano mwanzo mwisho Kazi yeyote unayoijua ww kasoro Moja tu ndo haifanyiki nyingne ZOTE baridi tu toeni madil maboss zangu
  9. Mme_Wangu

    Naombeni kazi. Napitia wakati mgumu sana

    Umri Wangu miaka 27 elimu yangu degree najiskia vibaya aibu sana ninapovitaja hivi vitu viwili. Sio kama mm ni mvivu wa kufikiria hapana nimekua nikijaribu kufanya kila niwezalo kuweka maisha yangu kwenye mstari na Kuna kipindi nilikua vzr tu lakn Kwa siku za hivi karibuni nimeyumba sana...
  10. Mapenzi Kudadenya

    Ushauri kuhusu kuahirisha masomo chuo degree mwaka wa pili

    Wanazengo habari zenu Kama kichwa kinavyojieleza..dogo wa miaka 21 anaesoma chuo kwa sasa mwaka wa pili degree kapata mchongo wa kwenda kwenye kazi za watu za kijeshi..na kazi yenyewe kapata kupitia cheti cha form six.. Je ni busara kuahirisha chuo kwenda huko kuripoti ama kumalizia sehemu...
  11. Zirconium

    Ungekuwa mshauri wa Rais, ungemshauri nini kuhusu tatizo la Ajira kwa vijana ambalo linaonekana kuwa sugu ?

    Fikiria wewe ni Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania (United Republic of Tanzania 🇹🇿 ) au mshauri wa karibu sana na Mh Rais sasa na unataka kumaliza au walau kupunguza tatizo la Ajira kwa vijana ambalo linaonekana kuwa sugu. Ungefanyaje ? Toa zile practical approaches kabisa hapa walau tano tu.
  12. mwakyambikig

    Nafasi za kazi sales Experienced officer

    Kama unao uzoefu wa kazi za sales kwa miaka mitatu, Diploma/ degree marketing nichek cv yako hybridprojectmanagement@gmail.com
  13. M

    Nafasi za kazi ya marketing officer na operations officer

    Habari, Tafadhali pokea kiambatishi kifuatacho. Kwa Mawasiliano zaidi usisite kutupigia 0741266566 au kufika ofisini kwetu ghorofa ya 20 jengo la PSSSF Millenium Towr II. Karibuni sana
  14. H

    Natafuta kazi wana JamiiForums. Nina elimu ya astashahada katika fani ya manunuzi yaani

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Mkazi wa Kigamboni. Nina elimu ya astashahada katika fani ya manunuzi yaani [ procurement, logistics and supply chain management] Kutokana na changamoto za kimaisha imenibidi kutafuta kazi na siyo kuajiliwa tenah, hivyo nilikuwa naomba kazi, mwenye...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    Ni jukumu la mzazi hasa Baba kumtafutia Kijana wake Connections za Kazi

    Hamjambo wote! Majukumu ya Baba yapo bayana. Ushaambiwa Ubaba ni cheo cha juu zaidi Duniani. Na hakijawa cheo cha juu burebure, hivihivi au kirahisi. Ni kwa sababu ya majukumu makubwa aliyopewa Mwanaume ndiye Baba. MAJUKUMU YA MSINGI YA MWANAUME AU BABA. 1. Kutafuta Fursa na kujijenga...
  16. Jumah JR

    Kamba uliomba nafasi za kazi TRA jipange, jiandae mapema

    Leo, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yussuf Mwenda, ametangaza kuwa waombaji 135,027 wamejitokeza kuomba nafasi za kazi 1,596 zilizotangazwa na mamlaka hiyo. Nafasi hizi za ajira zilitangazwa mnamo Februari 6, 2025, zikijumuisha kada mbalimbali. Kutokana na idadi kubwa ya...
  17. Jamii Opportunities

    SAUT Job Openings: 17 Positions Available – March, 2025

    St. Augustine University of Tanzania The St. Augustine University of Tanzania (SAUT) is a private higher learning institution owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC) with a vision of holistic development of a person and respect for human dignity. SAUT is an equal opportunity university...
  18. Jamii Opportunities

    HOD: Customer Care Operations at Vodacom March, 2025

    HOD: Customer Care Operations Aggregate function: Commercial Business Area: Local Commercial Operations Posting Country: Tanzania, United Republic of Full Time / Part Time: Full Time Contract Type: Permanent At Vodafone, we’re working hard to build a better future. A more connected...
  19. Jamii Opportunities

    Marketing Manager at DCB Bank March, 2025

    Marketing Manager Background DCB Commercial Bank Plc is a fully-fledged retail and commercial bank in Tanzania. The bank offers banking services to Individuals, Microfinance, Small to Medium sized Businesses (MSME), as well as large corporate clients. DCB Bank has a wide branch network of over...
  20. Jamii Opportunities

    Kilombero Sugar Jobs: 16 New Vacancies March, 2025

    Join Kilombero Sugar Company Limited: Your Career Awaits in Tanzania! Introduction Are you ready to sweeten your career with a leading name in the sugar industry? Kilombero Sugar Company Limited (KSCL), Tanzania’s largest sugar producer, proudly operates under the iconic “Bwana Sukari” brand. As...
Back
Top Bottom