mwili wa marehemu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Kwa nini apewe nafasi kwenda kuaga mwili wa marehemu Kadinali Pengo wakati alishatamka watu wa TEC wanamchukia na yeye ana kinyongo?

    Kwanza TEC wanadai serikali yake ni dhalimu na imekuwa ikiteka na kuua watu. Asingefaa kupewa nafasi ya kwenda kuaga mwili wa huyu kasisi aliyefariki Alishatamka hadharani kuwa ana kinyongo na Tec
  2. Mshana Jr

    Mazishi kwa kuchoma moto mwili wa marehemu( cremation)

    Wiki iliyopita niliongoza ibada fupi na zoezi la kuchoma mwili wa raia mmoja wa nje pale Makumbusho Zoezi lile lilinikumbusha mbali sana enzi za ujana wangu huko ughaibuni nilipokuwa nalifanya kwa raha zangu Japo kwasasa inachukuliwa kama njia ya kuokoa nafasi lakini haya ni mazishi ya kimapokeo...
  3. Mlaleo

    Hatimae Mwili wa Marehemu Joshua Mollel warejeshwa na Magaidi wa Hamas wenye vina saba na Chama Cha Mauwaji

    Joshua Loitu Mollel (Picha Kwa Hisani ya Maktaba) Mabaki yaliyorejeshwa kutoka Gaza hadi Israel usiku kucha yalitambuliwa kuwa ya raia wa Tanzania Joshua Loitu Mollel, mamlaka ya Israel ilisema Alhamisi. Wawakilishi wa Jeshi na Wizara ya Mambo ya Nje waliifahamisha familia ya Mollel kwamba...
  4. J

    Suala la hospitali kutokuzuia mwili wa marehemu linasubiri muda wa Kampeni? CCM!!!!

    Jana Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM ametoa ahadi nyingi za mambo ambayo Serikali yake itatekeleza katika kipindi cha siku 100 za mwanzo. Moja kati ya mambo hayo ni kuhakikisha kuwa itaondoa utaratibu uliopo sasa wa kuzuia miili ya Marehemu ambayo haijalipiwa, kuchukuliwa na ndugu zao...
  5. A

    Je, ni sahihi kutafsiri kitendo cha kupiga picha mwili wa marehemu kama udhalilishaji?

    Kuna tabia mpya imezuka nchini ya kuwalalamikia vitendo vya watu wanaopiga na ku-post picha za wapendwa wao wakiwa tayari wamefariki.....aidha wakiwa kwenye jeneza, kwenye matukio ya ajari au wakiwa mawodini... Je kuna ubaya gani mtu kuhifadhi kumbukumbu ya picha ya mpendwa wake akiwa katika...
  6. JanguKamaJangu

    Ndugu wagoma kuchukua mwili wa marehemu, washinikiza Jeshi la Polisi kumkamata Mfanyabiashara madini

    Familia ya Marehemu Ediga Mwaniwe wa Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi kwa siku sita imekataa kwenda kuchukua mwili wa ndugu yao kwa ajili maziko uliohifadhiwa katika hospital ya Manispaa hiyo kwa lengo la kushinikiza Jeshi la Polisi Mkoani humo kutenda haki ya kumkamata mfanyabiashara wa madini...
  7. Damaso

    Ndugu wagoma kuchukua mwili wa marehemu

    Kufuatia tukio la mama mjamzito aliyejulikana kwa jina la Bi. Sophia Shabarula, mfugaji jamii ya kimasai, kupoteza maisha wakati akijifungua katika Hospitali ya Wilaya ya Kilosa, ndugu na jamaa wa familia ya marehemu huyo wamegoma kuchukua mwili wa marehemu wakishinikiza kupatiwa sababu za...
  8. Waufukweni

    Rais Samia aungana na familia, Viongozi na Waombolezaji katika Ibada ya kuaga mwili wa Dkt. Faustine Ndugulile

    Rais Samia Suluhu Hassan ameungana na familia, viongozi na waombolezaji katika Ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Marehemu Dkt. Faustine Ndugulile, katika Viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam. Pia, Soma...
  9. ELI COHEN

    Hivi ile ya mwili wa marehemu kugoma kuzikwa mahala fulani huwa imekakaaje? Huwa kuna energy fulani au ni mazinga ombwe tu?

    https://youtu.be/KyKBrBjCuf4?si=riIJh0YWtQ-9mt8o
  10. N

    Wasaidizi wa kazi kutembea na Baba wenye nyumba kuna madhara. Dada wa Arusha apokonyea Mwili wa marehemu

    Arusha Mfanyabiashara tajiri wa mawe ndugu Temu amefariki dunia na kuacha kizaazaa nyuma. Bwana huyo ana migodi, magari sita, mashamba, majumba na mahoteli na maviwanja. Alioa mke aitwae Yasinta ndoa ya kanisani. Akazaa nae watoto 5 Kama kawa huko chuga hawa mabilionea hua wanapenda...
  11. Suley2019

    Sekeseke kati ya Polisi na Wanafamilia laibuka katika harakati la kufukua mwili wa marehemu kupimwa DNA

    Mwili unaogombaniwa na familia mbili ambao ulizikwa katika kitongoji cha Dungi, Kijiji cha Kibosho Kindi, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, umefukuliwa leo kwa ajili ya kufanyiwa vipimo vya vina saba (DNA). Mwili huo unaodaiwa kuwa wa Richard Shoo, (31)aliyefariki Juni 16,2024 na kuzikwa...
  12. Mkalukungone Mwamba

    Polisi wafeli kufukua mwili wa marehemu kwa uchunguzi baada ya Familia kudai kutoshirikishwa

    Polisi wameshindwa kufukua mwili unaodaiwa kuzikwa kimakosa katika kitongoji cha Dungi, Kijiji cha Kibosho Kindi, Wilaya ya Moshi, baada ya ndugu kudai hawana taarifa hiyo na kutaka waonyeshwe kibali cha kuwaruhusu kufanya hivyo. Mwili huo unaodaiwa kuwa wa Richard Shoo, aliyefariki dunia Juni...
  13. GENTAMYCINE

    Kuna haja gani ya kutunza mwili wa marehemu kisa migogoro?

    KENYA - Mahakama ya Rufaa imeagiza mwili wa Silas Igweta uhifadhiwe katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Umash jijini Nairobi kusubiri kesi iliyowasilishwa na mke wa pili wa marehemu, Sarah Kathambi. Sarah Kathambi na mke mwenza Grace Rigiri wanapigania ni nani anafaa kuzika mabaki ya mume...
  14. F

    Kwenye misiba tunafanya nini hasa, kuaga mwili wa marehemu au kumuaga marehemu? Kutoa heshima kwa mwili wa marehemu au kutoa heshima kwa marehemu?

    Kifo ni fumbo. Ni nini hasa hutokea mtu anapokufa? Je binadamu ni nini hasa mwili au pumzi ya uhai ndani ya mwili au vyote? Je ni sahihi kusema tunaaga mwili wa marehemu au tunamuaga marehemu? Je hata wale wasioamini maisha nje ya mwili hufanya nini mbele ya miili ya marehemu? Kuheshimu, kuaga...
  15. BARD AI

    Mahakama yaamuru mwili wa aliyefia Polisi ufukuliwe, uchunguzwe

    Uamuzi umetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Franco Kiswaga, baada ya kukubaliana na maombi ya familia ya Marehemu Stella Moses aliyefia katika kituo Cha Polisi Mburahati Desemba 20, 2020. Hakimu Kiswaga ametoa Amri hiyo kwa maelezo kuwa Polisi hawakutekeleza Wajibu wao Kisheria ikiwemo kuweka wazi...
  16. GENTAMYCINE

    Hili la Kulazimisha Mwili wa Marehemu uingie Ndani Kwake ni Takwa la Kiimani au ni Upuuzi Wetu tu Wapuuzi?

    Hivi inaingia Akilini Kweli Marehemu ameishi ndani ya hiyo hiyo Nyumba kwa Miaka 50 na Nature ya Milango ya Nyumba yake mnaijua halafu Amefariki mnauleta Mwili wake Nyumbani Kwake hapo na Kulazimisha uingie Ndani na Kuanza kuwa kama Panya Road na Kuvunja Mlango na hata kuharibu Miundombinu ya...
  17. Sildenafil Citrate

    Mwili wakaa mochwari zaidi ya siku 35, ndugu wagoma kuuchukua

    Familia ya Bulole wa Miyuji jijini Dodoma wamegoma kuchukua mwili wa ndugu yao, Richard Bulole ambao upo chumba cha kuhifadhi maiti katika hospitali ya rufaa ya Dodoma tangu Agosti 13, 2022. Sababu za kususia mwili huo zimetajwa kuwa wanataka ukweli kuhusu kifo cha ndugu yao ambaye taarifa...
Back
Top Bottom