Sura kweli ni mwanajeshi,
Sare kweli ni za kijeshi,
Ila mawazo (Talking Points) ni ya ndugu Humphrey Polepole.
Wale wana-CCM ambao walidhani kwamba Polepole ana ushawishi mdogo hapa nchini, kwamba ni mtu wa kupuuzwa walifanya mahesabu yao vibaya mno. Malalmiko yote ya kuharibika kwa Tanzania...