mwanafa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mhaya

    Makonda ha-fit kuwa Waziri Kamili, icho kiti kilipaswa kuwa cha MwanaFA

    Kama habari inavyojieleza, Makonda hakustahili kuwa Waziri kamili, kwanza hana uzoefu wa kutosha bungeni, pili amehudumu unaibu Waziri kwa miezi michache tu. Tatu wizara yenyewe haiendani na itikadi za Makonda Makonda ni mtu wa shurti na nguvu hasa napotoa matamko yake, wizara ambayo ingemfaa...
  2. M

    MwanaFA anatufokea kwa kuonesha magari makali. Sanaa ilimlipa au chenji za ukarabati wa Uwanja wa Mkapa?

    Nimeona clip moja mtandao, ikionesha kupostiwa na Msanii na Naibu waziri wa Michezo Hamis Mwijuma (MwanaFa) akionesha magari makali ya mwaka wa mbele kabisa, haya magari ni yale ya bei kubwa kubwa tu tena yakiwa kwenye maegesho yanakula kiyoyozi aka full kipupwe. Yes, MwanaFA ni msanii mkubwa...
  3. Mwanongwa

    Sakata la uchaguzi mkuu TFF, Naibu Waziri MwanaFA amkingia kifua Karia, waziri Kabudi aingilia kati

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Paramagamba Mwaluko Kabudi amelazimika kuingilia kati sakata la uchaguzi mkuu wa TFF baada ya Naibu Waziri wake Hamis Mwinjuma "MwanaFA" kushindwa kuyafanyia kazi mapendekezo ya Baraza la Michezo la Taifa (BMT). Taarifa kutoka Wizara ya...
  4. Lanlady

    MwanaFA nakubaliana na wewe; ila hapo mwishoni inategemea ni ndege wa aina gani na ana dhamira gani

    Kwanza natamani kujua mwana FA alimaanisha ndege gani? Ndege kiumbe au ndege usafiri? Kama ni ndege kiumbe basi tujue tu kwamba wapo aina za ndege ambao ni waharibifu na wana madhara kwa viumbe wengine. Hivyo ni wazi kabisa mbwa mkali yoyote atambwekea tu ndege huyo. Mbwa hawezi kunyamaza...
  5. B

    Mwana FA: Mungu ndo alitaka jongoo kugeuka nyoka

    Wanajukwaa Asalam Aleykum. Mwenzenu sijambo, japo kuna jambo bado linanitatiza. Bado natafakari ujumbe uliosheheni kwenye mashairi aliyoimba Naibu waziri wa Michezo leo. Kati ya mashairi hayo ni pamoja na lile linalosema, "Mungu ndiye aliyetaka jongoo kugeuka kuwa nyoka". Sasa hapa bado...
  6. G

    Ya Ndumbaro hayajapoa, MwanaFA kaja na jipya. Viongozi wa kisiasa acheni mihemko

    Kauli hii ya mwanaFA ikionwa na CAF itabidi serikali ije na taarifa nyingine tena ya kusema mwanaFA alikuwa anatania. Kwasabb mkiombwa uthibitisho wa madai yenu naamini hamtakuwa nao. Wataalamu wa VAR wameona, wamechunguza na kuchambua, kisha wakaamua kuwa siyo goli. Sisi wala mihogo huku...
  7. Mjanja M1

    Mwana FA: Simba na Yanga kuwa goli la Mama bado lipo palepale

    Naibu Waziri wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (MwanaFA), amewaomba mashabiki wa Simba na Yanga kuungana pamoja katika kuziombea timu zao kuelekea mechi zao za Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL). Pia MwanaFA amesema kuwa goli la Mama bado lipo palepale. Simba itacheza...
  8. Brain Kingdom

    Story ya Maisha ya MwanaFA akihojiwa na Salama Jabir Isomwe na Single Mother wote na waoaji wa ma single mothers.

    MwanaFA akisimulia njia na hadithi ngumu ya maisha yake hakika Mungu wetu ni mkubwa sana. Natumia nafasi kumuombea heri na tuzo ya milele Babu yake MwanaFA ambae ni mzaa baba yake. Tafadhari mwenye video full ya mahojiano aiweke hapa watu waone na wapate hisia za maisha yake. Kisa Kiko hivi...
  9. Multi-skilled

    MwanaFA anatufundisha nini?

    Toka mitaa ya Upanga Kilombero ama Kalenga kuvuta bangi na washikaji mpaka Mjengoni. Muite MwanaFA. Kuna muda ukitaka kutoboa kwenye haya maisha kuna maisha inabidi uyakatae na baadhi ya marafiki uwakatae completely. Kwa maisha walioishi akiwa East Coast MwanaFA binamu asingefika hapa alipo...
Back
Top Bottom