mwaka 2022

Blue Peter is a British children's television programme created by John Hunter Blair. The first programme was broadcast on 16 October 1958, and the series still airs as of 1 February 2022. It is the longest-running children's television programme in the world, and also one of the longest-running television programmes in the world. Blue Peter currently airs weekly on Fridays in the United Kingdom on CBBC, a digital television channel. The show is produced in a magazine format, often transmitting live, and features a combination of studio presentation, interviews and outside broadcasting items. There have been forty official presenters of Blue Peter.

View More On Wikipedia.org
  1. Lady Whistledown

    Netflix yapoteza watazamaji 200,000 ndani ya robo ya kwanza ya Mwaka

    Netflix Inc inasema mfumuko wa bei, vita vya Ukraine na ushindani mkali vilichangia upotezaji wa watumizi kwa mara ya kwanza katika zaidi ya muongo mmoja na kutabiri hasara kubwa mbele, kuashiria mabadiliko ya ghafla ya bahati kwa kampuni hiyo ambayo imestawi wakati wa janga hilo. Kampuni hiyo...
  2. MIMI BABA YENU

    Mafanikio ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) ndani ya robo tatu ya mwaka 2022

    Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimeweza kupata mafanikio makubwa katika robo tatu ya mwaka inayoanzia Januari mpaka Machi, 2022 kutokana na ongezeko la usajili wa miradi na kuimarika kwa shughuli za uratibu na utoaji wa huduma kwa wawekezaji kupitia utoaji wa huduma mahala pamoja ndani ya...
  3. JanguKamaJangu

    Mkutano Mkuu wa CAF mwaka 2022 kufanyika Arusha, Agosti 10, 2022

    Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limepitisha kuwa Mkutano Mkuu wa 44 wa Kawaida wa CAF utafanyika Agosti 10, 2022 Jijini Arusha, Tanzania. Katibu Mkuu wa CAF, Veron Mosengo-Omba amesema kuwa kwa mujibu wa Katiba ya CAF kifungu cha 17(4) na 17(5) Mkutano huo unafanyika mara...
  4. Dr Akili

    Orodha ya World Bank 2022 ya low income countries, Tanzania imesahaulika? Kwenye middle income countries haipo

    Katika pekua pekua zangu, inaelekea kuwa Benki ya Dunia imesahau kuiweka Tanzania kwenye orodha ya low income countries. Yaani kwenye low income countries duniani hatuonekani na huko kwenye middle income countries nako hatuko. Sasa tutakuwa tuko wapi duniani? Mwenye kulijua hili atujuze. ---...
  5. OLS

    Zoezi la sensa lisitishwe kwa mwaka 2022, hadi uchumi utakapokaa sawa

    Ni karibia mwezi sasa tangu Urusi apewe vikwazo ambavyo vilitarajiwa kumuumiza ila kwa kuwa anajitosheleza amekuwa akiendelea kuweka hadidu zake na wanaposhindwa kuzifuata anaendelea kupiga. Hali imekuwa tete kwa nchi nyingi huku Afrika ikiumia zaidi kutokana na kuwa tegemezi kwa kiasi kikubwa...
  6. Aliko Musa

    Hatua 5 za kuanzisha biashara ya mikopo ya ukarabati wa majengo ya kupangisha mwaka 2022

    Mikopo ya ukarabati wa nyumba ni moja ya njia za kutengeneza fedha kupitia uwekezaji wa nyumba za kupangisha unaoweza kujenga utajiri mkubwa. Katika kila halmashauri kuna nyumba za kupangisha. Nyumba zinaweza kuwa ni nyumba za makazi, nyumba za matumizi mseto (mixed-use properties) na nyumba za...
  7. Aliko Musa

    Mambo 12 Ya Msingi Kuhusu Usimamizi Bora Wa Nyumba Za Kupangisha Mwaka 2022

    Maana Ya Usimamizi Bora Wa Nyumba. Usimamizi bora ni hatua pekee za kuhakikisha kuna kipato endelevu, usalama wa uhakika, mahusiano mazuri, kutii sheria na taratibu za mtaa na nchi yako na kukufikisha kwenye uhuru wa kifedha. Hatua hizi zinaweza kufanywa na mmiliki wa mali, au kampuni maalumu...
  8. Aliko Musa

    Jinsi Ya Kuwa Mwekezaji Kwenye Viwanja Na Majengo Mwenye Mafanikio Mkubwa Mwaka 2022

    Takwimu zinasikitisha sana linapokuja suala la wawekezaji wenye mafanikio makubwa kupitia uwekezaji kwenye viwanja na nyumba. Si zaidi ya asilimia kumi ya wawekezaji wote waliojenga mafanikio makubwa sana kupitia uwekezaji kwenye ardhi na majengo. Sababu kuu ya wengi kushindwa kujenga utajiri...
  9. Labani og

    Kaduguda: Simba itachukua ubingwa msimu huu

    Je, hii kauli ya Huyu muheshimiwa. Wana Msimbazi wenzangu mnaichukuliaje Binafsi naichukulia Kama kejeli coz anatufanya sisi Wana Simba kama watoto wadogo. Ni sawa na mtoto anovyomwambia baba ndege ileeee juu, then baba anasema "Ntakununuliaaa mwanangu" Wanamsimbazi kwa hili nyie mnaonaje...
  10. ndege JOHN

    Mwaka huu (2022) kutakuwa na viwavi jeshi wengi

    Nimesafiri Kanda ya kusini na Central Corridor nimejionea wale vipepeo weupe wa kutaga viwavi wengi mno hii inaashiria patakuwa na viwavi jeshi wengi hivyo wakulima tegemeeni kukutana na kadhia hiyo labda tu mvua inyeshe kwa wingi ili mayai ya viwavi yaharibiwe.
Back
Top Bottom