Mwamba apambanie familia yake halafu tena aje atupambanie wanyonge? Bora aendelee kuwekeza kwenye apartments na bonds ili akimaliza AWAMU Yake awe na cha kuonyesha familia
Haujapita muda mrefu sana amekujibu kwa namna ya kawaida. Huwa mkienda Ikulu mkanywa Juice mkapewa na ya Usafiri basi mnatoka mkiwa mmeacha akili mlango wakati mnaingia na mnapotoka mnatoka bila kuzichukua.
Mnakuja zipata baadaye au msizipate kabisa. Ulitoka Ikulu umebadilisha na Chorus... Mimi...
Rais wa Chama cha Wanasheria nchini Tanzania (TLS), Boniface Mwabukusi, ametoa tamko kali akilaani kitendo cha polisi kuwashambulia raia na Wakili Mahinyila ndani ya viunga vya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam.
Amesema, “Shambulio lolote dhidi ya wanasheria ndani ya eneo la Mahakama ni...
Rais wa Chama cha wanasheria Nchini (TLS) Wakili Boniface Mwabukusi amesema hayupo tayari kuwa mmoja wa watanzania watakaohamasisha vurugu au kulazimisha wananchi kutojitokezakupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani kwani yeye hawezi kutumika wakati Maisha yake na familia...
Wakati akizungumza na Clouds 360 leo Septemba 15, 2025 , Rais wa TLS Boniphace Mwabukusi ameeleza kuwa mabadiliko makubwa yanayotakiwa kufanyika nchini ni kubadili jeshi la polisi namna yake ya ufanyaji kazi.
Haya yanajiri katika siku ambayo polisi wanaendelea kuwapiga wananchi waliohudhuria...
Wakati ule tulisema Christopher Mtikila sio yeye yule kabla hajaenda kusoma Ulaya,labda wazungu wametuletea Christopher Mtikila mwingine,sasa na huyu ndugu yetu Mwabukusi labda si yeye kuna waarabu watakuwa wamembadilisha ubongo au AI,inawezekana kabisa huyu sio Mwabukusi.
UPDATES KUTOKA KWA MWAMBUSI: - Leo Nimefika Ikulu CHAMWINO kuwasilisha Majumuisho ya wadau na tulipata nafasi ya kuzungumza na Kumueleza Mh.Rais wa Jamuhuri ya Muungano kuhusu Utawala Bora,Haki zabkushiriki katika chaguzi za kidemokrasia,Masuala ya Utekwaji na enforeced Disappearance ...
Ona sasa Tayari Mwabukusi kwa kauli yake juu ya kauli ya SLOWSLOW bin MIFUMO.....KASHAKUWA ADUI wa Wazee wa (NO "LEFORM" NO "ERECTION") 😁😁😁😁 maana hawa jamaa bhana akili zao🙌
Tuliokuwepo watu wazima wakati wa kutoelewana kati ya Idd Amin na Nyerere, Idd Amin aliambiwa kila jema na dunia nzima .....alilipuuza kila kitu akiamini ana jeshi la kuwakabiri watanzania!. Matokeo yake kila mmoja anayajua Idd Amin alifia wapi!
Hali iko hivyo hapa kwetu.
Mtawala wetu sidhani...
Palikuwa na uzi humu:
Soma: Polepole kuitisha mifumo ya uchaguzi na NIDA kuhusiana na CCM kukaguliwa, ili kujiridhisha ina maana gani kiufundi?
Uzi huo ulikuwa na maelezo ya kina katika lugha rahisi kuhusiana na alichosema Polepole na kuibiwa uchaguzi alikokuangazia.
Ikumbukwe anayeweza...
Katika press aliyoiitisha Rais wa Tanzania Law Society (TLS) Boniphace Mwabukusi amesema maelezo ya Polepole ni mazuri lakini hayana facts.
Maelezo hayo yameibuka mara baada ya mmoja wa waandishi kumtaka Mwabukusi aelezee suala la Polepole kuwa mifumo inasoma akiirejelea mifumo aliyoisema pole...
Akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 26, 2025 jijini Dar es Salaam, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, amesema kumekuwapo na msisitizo mkubwa wa kulinda amani nchini huku haki ikisahaulika.
Amesema ni muhimu kutambua kuwa amani ya kweli haiwezi kuwepo...
Sheria ni sheria hata kama ni sheria mbaya. Uchaguzi huu unaendeshwa kwa mujibu wa sheria zetu hadi hapo sheria itakaposema vinginevyo. Kelele zinazosikika za akina MWABUKUSI na wengine ni kelele za kutaka watu wapindishe sheria ili kuwaridhisha watu wasioipenda sheria husika. Katiba hii ni...
Wakuu habari za muda huu?
Naandika hapa nikiwa nimefura kupitiliza. Imetosha sasa, hii serikali inabidi ifike mahali iheshimu raia.
Haiwezekani watu wawe wanajizimia zimia tu mitandao wanapojisikia.
Watu tumejiajiri huko YouTube, na leo jioni hii nilikuwa na darasa (huwa natrain watu mbali...
Mwabukusi na WENZAKO wote nyie ni vihiyo haiwezekani mnajua Lissu sio muhaini nyie mmekaa TU mmeshindwa hata kuandaa maandamano ya kushikiza aachiwe
Hivi Jana mliona alivyosukumwa kama kondom iliyotolewa kwenye sehemu za Siri za kiume zilizomaliza kujamiana
Shame on you all rubish lowyer...
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi amesema hatojiunga na chama chake cha kisiasa katika mchakato wa uchaguzi kwa sababu haamini kama mazingira ya sasa yanaruhusu uchaguzi huru na wa haki.
Ameandika kwenye ukurasa wake wa X kuwa hatakiwi kuwa mtumwa wa kila...
IAM DEEPLY CONCERNED.
YAWEZEKANA TUKO KATIKA JANGA LA KISHERIA – UHALISIA WA KUTISHA KIDEMOKRASIA !?
Hili linaweza kuwa moja ya zuio la kipekee kabisa, la upande mmoja, kuwahi kutolewa katika historia ya nchi zinazofuata mfumo wa Common Law.
Kwa kawaida, zuio (injunction) hutolewa kwa lengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.