mwabukusi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Tundu Lissu amekamatwa kinyume cha sheria, ameonewa

    " Tundu Lissu hajakamatwa kisheria, amekamatwa kinyume cha sheria, ameshatgakiwa kinyume cha sheria na mashataka yake yapo kinyume cha sheria. Lazima tujifunze kukataa tutazoesha watu wanakukamata tu hapa wanasema umepindua nchi na kukamata nakupeleka kule alafu nasema msijadili suala lipo...
  2. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwabukusi: CHADEMA ndo chama pekee kinachozungumza hoja za mwananchi wa wakawaida

    CHADEMA wamekuwa wajanja, CHADEMA ndo chama pekee kinachozungumza hoja za mwananchi wa kawaida; Haki za binadamu, utawala bora, threats, kupigwa, enforced disapperance- Amesema Wakili Mwabukusi
  3. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwabukusi: Kuna watu wameuawa Oktoba 29 wamepigwa risasi ndugu wakaambiwa waseme wamekufa kwa homa ili wapewe maiti

    Akizungumza na Jambo TV leo Januari 09.2025, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Wakili Boniface Mwabukusi amesema wananchi wamekuwa wakipeleka malalamiko kuwa kuna ndugu zao waliuawa Oktoba 29 kwenye vurugu wakaambiwa kusema wamekufa kwa homa ili wapewe maiti na hata vyeti vya vifo...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi awashangaa wanaosema kwa lugha nyepesi tusameheane baada ya mauaji ya Oktoba kama vile mtu amekanyaga tu kitumbua

    Rais Wa Chama cha mawakili Tanganyika ameeleza kuwa mauaji yaliyotokea Oktoba ni makubwa hayakuwahi kutokea Toka Tanganyika ijulikane na si Muarabu, Mjerumani wala Muingereza aliyefanya mauwaji makubwa hivi. Awashangaa watu wanaozungumza kwa lugha nyepesi tu kuwa tusameheane kama vile mtu...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mahakama iruhusu baadhi ya kesi zirushwe mubashara, isipende kuendesha mambo gizani

    Akizungumza na Jambo TV leo Januari 09.2025, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Wakili Boniface Mwabukusi amesema ni vyema Mahakama ikakubali kwenda sambamba na ukuaji wa teknolojia Duniani ulivyo kwa sasa ambapo kufanya hivyo haiwezi kuwa tatizo linaloweza kuathiri mwenendo wa kesi...
  6. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwabukusi: Kama TEC ilisimama na watanganyika hakutakuwa na kosa lolote watanganyika kwa umoja wetu kusimama na TEC kuukabili uovu

    Anaandika Rais wa TLS kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa X, Boniface Mwabukusi. HATUTAENDELEA KUKAA KIMYA DHIDI YA UOVU. Hii ni project yenye sessions 27 mpaka sasa zimefika tano. Nadhani huu siyo uchokozi dhidi ya TEC ,Father Charles Kitima, Mapadre wala Watawa na Wakatoliki wa kweli...
  7. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Kitima, Heche na Mwabukusi wamepiga mawe na ninaona habari zao kimataifa zikichapishwa na dunia inaona ukweli

    Kitima, Heche na Mwabukusi wamepiga mawe na ninaona habari zao kimataifa zikichapishwa na dunia inaona ukweli
  8. Ileje

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Boniface Mwabukusi ahoji kuhusu kijana aliyehongwa bilioni tano na Mabeberu

    NINAFIKIRI KIJINGA!? 1.Kwamba kuna kijana kapewa Bilion Sita? Yuko huko Afrika Kusini? Kwa hiyo alipopewa akawaambia Mwambegele na wenzake tumieni Kanuni Kuiondoa CHADEMA kwenye Uchaguzi Kinyume cha Katiba na Sheria? 2.Baada ya Hapo kijana huyu asiye mzalendo kwa manufaa ya mabeberu akaiagiza...
  9. Ileje

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Boniface Mwabukusi: Viongozi acheni kudogodesha mauaji mliosababisha!

    Viongozi wajiepushe na Kauli za Kudogodesha mauwaji waliyoyasababisha kwa kutokuwajibika kwao. Walipuuza Mazungumzo na kudhihaki kila jitihada ya Mashauriano. Watu waliwaona na kutambua Maiti za ndugu zao kwenye picha na mitandao ya kijamii wakiwa wameuawa wana kwenda Mochwari miili hamna bado...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwabukusi: Nimezitizama video za watu waliouwawa Oktoba 29, Inahitaji moyo wa kishetani kuzungumzia maridhiano

    MTU NI UTU NA SIYO KILA MTU ANA UTU. NIMEONA VIDEO KWENYE UKURASA WA DADA MANGE KIMAMBI. NInapotizama video hizi za ndugu zetu walio uwawa na kulundikwa mithili ya Mikungu ya Ndizi kutokana na maandamano ya tarehe 29 oktoba 2025 Inahitaji moyo wa kishetani kuzungumzia maridhiano kabla ya...
  11. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwabukusi: Kinachohitajika sasa ni ukweli, haki na uwajibikaji, tusiwalaumu vijana ni waathirika wa mifumo

    Rais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Wakili, Boniface Mwabukusi, amesema kwa sasa Taifa linahotaji haki, ukweli na uwajibikaji, mambo ambayo amesema yatawawezesha watanzania kufahamu watatoka kwa namna gani mahali walipo kwa sasa, na sio kuanza kuwalaumu Vijana ‎ ‎Akizungumza na...
  12. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi ana bills za kulipa, tusimlaumu

    Mwamba apambanie familia yake halafu tena aje atupambanie wanyonge? Bora aendelee kuwekeza kwenye apartments na bonds ili akimaliza AWAMU Yake awe na cha kuonyesha familia
  13. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwabukusi. Wakati unaongea na Mama alikuwa anakusikiliza au anakusikia?

    Haujapita muda mrefu sana amekujibu kwa namna ya kawaida. Huwa mkienda Ikulu mkanywa Juice mkapewa na ya Usafiri basi mnatoka mkiwa mmeacha akili mlango wakati mnaingia na mnapotoka mnatoka bila kuzichukua. Mnakuja zipata baadaye au msizipate kabisa. Ulitoka Ikulu umebadilisha na Chorus... Mimi...
  14. B

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Mwabukusi awalipua haya kuhusu wanaharakati na CHADEMA

    Wakuu, nimekiona hiki kipeperushi je, kina ukweli kwa haya yaliyoandikwa kwa kurejelea mahojiano aliyoyafanya Mwabukusi na kituo cha Clouds TV?
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi akemea vurugu za polisi mahakamani, asema ni shambulio dhidi ya haki

    Rais wa Chama cha Wanasheria nchini Tanzania (TLS), Boniface Mwabukusi, ametoa tamko kali akilaani kitendo cha polisi kuwashambulia raia na Wakili Mahinyila ndani ya viunga vya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam. Amesema, “Shambulio lolote dhidi ya wanasheria ndani ya eneo la Mahakama ni...
  16. Mathayo Fungo

    JamiiForums Tanzania Wakili Mwabukusi akataa kuvuruga amani ya nchi, asema Rais hafokewi

    Rais wa Chama cha wanasheria Nchini (TLS) Wakili Boniface Mwabukusi amesema hayupo tayari kuwa mmoja wa watanzania watakaohamasisha vurugu au kulazimisha wananchi kutojitokezakupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani kwani yeye hawezi kutumika wakati Maisha yake na familia...
  17. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wakati polisi wakiendelea kupiga wananchi mahakamani, Mwabukusi asema Jeshi la Polisi linatakiwa kufumuliwa lote, mitaala yao ibadilishwe

    Wakati akizungumza na Clouds 360 leo Septemba 15, 2025 , Rais wa TLS Boniphace Mwabukusi ameeleza kuwa mabadiliko makubwa yanayotakiwa kufanyika nchini ni kubadili jeshi la polisi namna yake ya ufanyaji kazi. Haya yanajiri katika siku ambayo polisi wanaendelea kuwapiga wananchi waliohudhuria...
  18. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Inawezekana huyu tuliyemuona kaenda Ikulu sio Mwabukusi, wamemtengeneza mtu mwingine anayefanana naye

    Wakati ule tulisema Christopher Mtikila sio yeye yule kabla hajaenda kusoma Ulaya,labda wazungu wametuletea Christopher Mtikila mwingine,sasa na huyu ndugu yetu Mwabukusi labda si yeye kuna waarabu watakuwa wamembadilisha ubongo au AI,inawezekana kabisa huyu sio Mwabukusi.
  19. U

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na rais wa TLS, Mwabukusi - Ikulu ya Chamwino Dodoma

    UPDATES KUTOKA KWA MWAMBUSI: - Leo Nimefika Ikulu CHAMWINO kuwasilisha Majumuisho ya wadau na tulipata nafasi ya kuzungumza na Kumueleza Mh.Rais wa Jamuhuri ya Muungano kuhusu Utawala Bora,Haki zabkushiriki katika chaguzi za kidemokrasia,Masuala ya Utekwaji na enforeced Disappearance ...
  20. Black Tanzanite

    JamiiForums Tanzania MWABUKUSI nae kawa ADUI YAO....😎

    Ona sasa Tayari Mwabukusi kwa kauli yake juu ya kauli ya SLOWSLOW bin MIFUMO.....KASHAKUWA ADUI wa Wazee wa (NO "LEFORM" NO "ERECTION") 😁😁😁😁 maana hawa jamaa bhana akili zao🙌
Back
Top Bottom