Mtume (pronounced em-tu-may) was an American funk and soul group that rose to prominence during the early 1980s and had several R&B hits during its career. Its founder, former percussionist James Mtume, previously played and toured with Miles Davis in the early 1970s. Other members of the group included Reggie Lucas, Philip Field, and vocalist Tawatha Agee. Mtume also gained recognition after having its hit single "Juicy Fruit" extensively sampled by many hip-hop artists, most notably by the Notorious B.I.G. in the 1994 hit song "Juicy".
Katika hadithi ya jinsi waumuni walivyopatiwa kuswali sala 5 kwa siku inasemwa kwamba mtume akiwa katika safari yake mbinguni alipokutana na Allah alianza kwa kupewa sala 50 kwa siku, mtume aliposhuka mbingu inayofuata akakutana na mtume Musa akamwambia kwa jinsi anavyowafahamu binadamu hizo...
Haya, wote watatajwq nankuanikwa hadharani. Bila shaka sasa utapeli wa kutumia neno la Mungu unafikia mwisho. Natamani kombora la kwanza lidondokee Ubungo Maji.
Fanyeni namna uwanja wa amani complex uwe kwenye marekebisho.
Ili uwanja wa benjamini mkapa upate nguvu ya kupewa kipaumbele katika michezo ya CAF
Ukiachana na mapato ya uwanja lakini michuano ya kimataifa inaitangaza Tanzana.
Lakini pia mafisadi mujifunze kuwa ujanja ujanja na upigaji katika...
Mbingu ya saba” si tu mahali angani bali ni hali ya juu kabisa ya fahamu, uelewa, na muunganiko na Mungu/Nguvu ya Juu.
Katika mafundisho ya dini na mila nyingi:
Mbingu ya kwanza hadi ya sita ni viwango vya uumbaji na uhai wa kiroho.
Mbingu ya saba ni ya juu zaidi, iliyojaa mwanga, hekima, na...
Hadithi Sunan an-Nasai 3175 inasema kuna Makundi mawili ya Umma wa Mohammad ambayo Allah atawaokoa kutoka moto wa Jehanam. Kundi moja ni Waislamu watakaoivamia India.
Aidha, Kiongozi wa Juu wa Pakistan amekiri wazi wazi kuwa Jeshi lao la Akiba wanalolitegemea ni Vijana wao wanaopata mafunzo ya...
Ukisoma Quran hususani Surah Al-Baqarah (2), Al-A'raf (7), and Al-Isra (17), habari ya Adamu na maisha yake kwa ujumla zinazungumziwa humo.
Adamu alikuwa na Mke mmoja tu aliyetajwa kwenye Quran, naye ni "Hawwa", na watoto wao waliotajwa ni Wawili tu ambao ni "Habil" wakristo umuita "Abel" na...
Wadau hamjamboni nyote?
Uzi huu umeletwa kwa wenye hekima na tafakuri ya kina wakiwemo Wanazuoni
Kwanini waruhusiwe kwenye nchi takatifu ya Maka na Madina kama ni kweli wamekuwa wakitoa kauli zisizofaa dhidi ya Maswahaba walioulingania Uislamu?
Baada ya kuwa Muhamad na watu wake kupora mali. Walikuwa wanakaa kumuuliza sasa mgawanyo wake unakuaje kila mtu afe na chake. Hapo Muhamad alikuwa anapata wahyi haraka haraka na kuwajibu kuwa hizo wao haziwahusu. Ni za Allah na Mtume tu.
Mstari unaohusiana na hilo katika Qur'an. Unapatikana...
Katika ibada ya Leo tarehe 6/04, Mtume Boniphace Mwamposa amekiri kupokea mualiko wa Simba SC kuhudhuria na kuwaombea kuhusu mechi ijayo ya tarehe 9/04/2025.
Ameahidi kuhudhuria au kutuma wawakilishi katika mechi hiyo na atawaombea.
Hongereni Simba SC kwa kuachana na Matunguli. Shikilieni hapo...
Mimi ni Mkristo Mkatoliki lakini ni freemind,au open mind,freemind ni mtu asiyefungwa na mipaka ya ufahamu wa eneo moja kwa maana nyingine ni msaka maarifa kwa maana elimu ni bahari.
Elimu Zipo za aina nyingi maandamu usitoke nje ya reli elimu ni sawa na miruzi mingi chukua ile ikufuayo.
Nirudi...
Wadau hamjamboni nyote?
رَّسُولَ اللَّهِ وَخَاتَمَ النَّبِيِّينَ وَكَانَ اللَّهُ بِكُلِّ شَىْءٍ عَلِيماً
“Muhammad is not the father of any of your men, but he is the Apostle of Allah and the Last of the prophets; and Allah is cognizant of all things.” (33:40)
"Muhammad si baba wa yeyote...
Mtume Boniphace Mwamposa ametamka: “Watanzania wengi ni wavivu ” Watu wakakasirika, wengine wakabaki kimya. Lakini hii si mara ya kwanza kauli hii kusemwa na mtu maarufu kama Mtume Mwamposa.
Mwaka 2011, Rais mstaafu Benjamin Mkapa aliwahi kusema waziwazi kuwa “Watanzania tumejaa visingizio...
Sehemu muhimu ya mahubiri ya Leo Jumapili: -
. Watanzania wengi ni maskini, sio kwakua hawana Maarifa au hawakusoma, ila ni kwa sababu ya UVIVU wa kufikiri na kutenda.
Siasa ya ujamaa tuliyoletewa baada ya uhuru, haikuwa mbaya, ila haikuwekewa kanuni na Sheria bora za kuiongoza. Kana kwamba...
Muhammad ndiye muanzilishi wa dini ya Uislamu, jamaa ameharibu watu kwa dini na kitabu cha kutunga kwa kuiba kutoka vyanzo hasa vya wayahudi na wakristo waasi ,Quran ni mkusanyiko wa vitabu vya Apokrifa kwa 80%
10% ni TAMADUNI za kiarabu, 10% ni mawazo ya Muhammad
Hadithi 20 Zinazopatikana...
Unatoka geto kwako kupiga punyeto au kusagana moja kwa moja madhabahuni kwa nabii akuombee upate kazi na ukirudi home moja kwa moja breki bafuni kupiga nyeto au kusagana, kweli?
hujui nyeto na kusagana ni kujipaka nuksi, unajisi na mikosi? Baraka na Neema za Mungu utaziskia kwa wenzako tu, we...
=>HOW ARE YOU GOING TO CONQUER THE MAN WITH THE SPIRIT OF VICTORY?
=> Mshindi Huwezi Kumshusha.
=> Mshindi Huwezi Kumuangamiza.
=> Mshindi Huwezi Kumtishia.
=> Mshindi Huwezi Kumshinda.
#Said, Apostle & Prophet J. Mwingira Of Efatha Church
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.