Nimeungana na Watibeli

Nimeungana na Watibeli

Whackiest

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
1,211
Reaction score
1,521
Leo nilikaa kwa kutulia kuna bidada mmoja namuelewa sana kwenye moja nambili juzi kat alikua nachangamoto ya kifedha ukweli niliumia sana nikashindwa kumsaidia ingawa ni sehemu ya furaha yangu halii hii ilipelekea nikawa mnyonge sana kesho yake amenicheki walau nimpush alipokwama kila nikipiga jicho huku na kule nipate msaada nikakosa basi nikawa kimya sasa leo mida ya mchna nilimchek nikajib kiufpi na kwa namna tunavyoishi tumezoea mazungumzo marefu nayeye ,baadaye nikapitia status zake nikakometi moja basi story zikaanza hapa na pale kanisupprise na view once kichwa kikawaka moto ,alikua nashida Flan nikaforce ,nikaprint karatasi kadhaa nikapata buku 4 ,kaja mwingine kuchapa barua buku 2 sijakaa sawa hela ikapatikana 15000 yake niliyo muahidi .

Mida flani ya jioni nikasema nakuja kukuona kumbuka ule uchokozi alianzisha kichwan naenda kula kipochi manyoya .Kilichonikuta nikaimbiwa hapa hakuna cha nywi wala nywinywi nikaona poa nikatembea na ile hela sikuon thamani ya kutoa kama amenirusha yeye alafu ananifanya hivi . Wakuu nimekosea
 
Hukutoa pesa kwa sababu bidhaa uliyoifuata (kipochi manyoya) haukupewa, hiyo ni haki yako kama mnunuzi.

Alikutumia picha view once kama chambo cha kupata msaada, kisha akabadili gia angani, ungetoa pesa ungekuwa umeidhinisha mchezo wa kuchezewa akili.
 
Leo nilikaa kwa kutulia kuna bidada mmoja namuelewa sana kwenye moja nambili juzi kat alikua nachangamoto ya kifedha ukweli niliumia sana nikashindwa kumsaidia ingawa ni sehemu ya furaha yangu halii hii ilipelekea nikawa mnyonge sana kesho yake amenicheki walau nimpush alipokwama kila nikipiga jicho huku na kule nipate msaada nikakosa basi nikawa kimya sasa leo mida ya mchna nilimchek nikajib kiufpi na kwa namna tunavyoishi tumezoea mazungumzo marefu nayeye ,baadaye nikapitia status zake nikakometi moja basi story zikaanza hapa na pale kanisupprise na view once kichwa kikawaka moto ,alikua nashida Flan nikaforce ,nikaprint karatasi kadhaa nikapata buku 4 ,kaja mwingine kuchapa barua buku 2 sijakaa sawa hela ikapatikana 15000 yake niliyo muahidi .

Mida flani ya jioni nikasema nakuja kukuona kumbuka ule uchokozi alianzisha kichwan naenda kula kipochi manyoya .Kilichonikuta nikaimbiwa hapa hakuna cha nywi wala nywinywi nikaona poa nikatembea na ile hela sikuon thamani ya kutoa kama amenirusha yeye alafu ananifanya hivi . Wakuu nimekosea
Gabrielle Union Reaction GIF by Bounce.gif


Hukutaka kutoa msaada ila ulidhamiria kulipia huduma.
Biashara imekwama, wote endeleeni na mihangaiko yenu ya utafutaji kwingine.
 
Leo nilikaa kwa kutulia kuna bidada mmoja namuelewa sana kwenye moja nambili juzi kat alikua nachangamoto ya kifedha ukweli niliumia sana nikashindwa kumsaidia ingawa ni sehemu ya furaha yangu halii hii ilipelekea nikawa mnyonge sana kesho yake amenicheki walau nimpush alipokwama kila nikipiga jicho huku na kule nipate msaada nikakosa basi nikawa kimya sasa leo mida ya mchna nilimchek nikajib kiufpi na kwa namna tunavyoishi tumezoea mazungumzo marefu nayeye ,baadaye nikapitia status zake nikakometi moja basi story zikaanza hapa na pale kanisupprise na view once kichwa kikawaka moto ,alikua nashida Flan nikaforce ,nikaprint karatasi kadhaa nikapata buku 4 ,kaja mwingine kuchapa barua buku 2 sijakaa sawa hela ikapatikana 15000 yake niliyo muahidi .

Mida flani ya jioni nikasema nakuja kukuona kumbuka ule uchokozi alianzisha kichwan naenda kula kipochi manyoya .Kilichonikuta nikaimbiwa hapa hakuna cha nywi wala nywinywi nikaona poa nikatembea na ile hela sikuon thamani ya kutoa kama amenirusha yeye alafu ananifanya hivi . Wakuu nimekosea
Utakuwa ni Mtibeli wa Namtumbo, hakuna Mtibeli hapa😆😆
 
Hukutoa pesa kwa sababu bidhaa uliyoifuata (kipochi manyoya) haukupewa, hiyo ni haki yako kama mnunuzi.

Alikutumia picha view once kama chambo cha kupata msaada, kisha akabadili gia angani, ungetoa pesa ungekuwa umeidhinisha mchezo wa kuchezewa akili.
Umenena vyema sana mkuu
 
15k kitugani kwaajili ya jagina na makebo.....🤭
Hasara roho bana....😜
Hilo sijawahi kufanya ila nimefanya kilometres 44 nimepeleka 15k kwa pkpk mafuta bei iko juu ,usiku na kunitamanisha kaanza yeye nagusa mtu anagoma aloo hii dhambi ninabeba .
 
Leo nilikaa kwa kutulia kuna bidada mmoja namuelewa sana kwenye moja nambili juzi kat alikua nachangamoto ya kifedha ukweli niliumia sana nikashindwa kumsaidia ingawa ni sehemu ya furaha yangu halii hii ilipelekea nikawa mnyonge sana kesho yake amenicheki walau nimpush alipokwama kila nikipiga jicho huku na kule nipate msaada nikakosa basi nikawa kimya sasa leo mida ya mchna nilimchek nikajib kiufpi na kwa namna tunavyoishi tumezoea mazungumzo marefu nayeye ,baadaye nikapitia status zake nikakometi moja basi story zikaanza hapa na pale kanisupprise na view once kichwa kikawaka moto ,alikua nashida Flan nikaforce ,nikaprint karatasi kadhaa nikapata buku 4 ,kaja mwingine kuchapa barua buku 2 sijakaa sawa hela ikapatikana 15000 yake niliyo muahidi .

Mida flani ya jioni nikasema nakuja kukuona kumbuka ule uchokozi alianzisha kichwan naenda kula kipochi manyoya .Kilichonikuta nikaimbiwa hapa hakuna cha nywi wala nywinywi nikaona poa nikatembea na ile hela sikuon thamani ya kutoa kama amenirusha yeye alafu ananifanya hivi . Wakuu nimekosea
Uko sahihi, kuna msemo wa wahenga , Kula uliwe
 
Nasubiri wale gaslighting na misogynistic men waje watoe ya moyoni, maana misogyny yao dhidi ya wanawake huwa wanaiificha nyuma ya manipulation na double standards!
 
Kwanini uombe mzigo siku ana shida? Hiyo si kama biashara?
kwn umesoma vzr rejeaa mazungumzo ya mwanzo alinichezea kitu anachojua napenda katuma video anasema nina uchi tuu bwana we kichwa kikachavuka chavuka nilipambana sana kupata hio 15k ushanipandisha vitu nakuja hutaki nikuguse hii dhambi mniaache
 
Nasubiri wale gaslighting na misogynistic men waje watoe ya moyoni, maana misogyny yao dhidi ya wanawake huwa wanaiificha nyuma ya manipulation na double standards!
Manipulation watoto wakike mpo vizuri sna sikatai kbsa
 
Back
Top Bottom