mpishi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Mpishi wa Mbuzi Choma anaitajika-Bunju

    Natafuta Chef mwenye uzoefu mkubwa waapishi mbalimbali ya mbuzi, kuanzia choma, foil mpaka supu. Kama ni eneo lako naomba nitumie SMS kwa 0759 819 819. NB: Kituo cha kazi ni Bunju B na malipo ni maelewano. Ahsante
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mpishi anaitajika

    Anaitajika mpishi mwenye uzoefu mkubwa wa kupika biriani na Mande pia n avyakula vingine kwa ajili ya biashara ya mgahawa Bunju B. Noamba ni PM kama una sifa hizo.
  3. njule

    JamiiForums Tanzania Mpishi wa kukaanga chips na kuku

    Habari wana JF Anahitajika haraka mpishi aliye kua mtalamu waku kaanga chips na kuku, kuchoma kuku na mishkati na mapishi mengine aina hio ya jiko. Anatakiwa awepo Dar. Tuwasiliane 0789155571
  4. Linguistic

    JamiiForums Tanzania Asante sana mpishi wa biriani Mwanza

    Wakuu Jana nimejichanganya sehemu moja Mwanza nikaambiwa wanapika birian zuri sana nilichokutana nacho Mungu anajua. Asanteni sana Mwanza [emoji1487][emoji1487][emoji1487]
  5. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Abarikiwe mpishi ajawe na afya njema na furaha moyoni

  6. GOKILI

    JamiiForums Tanzania MPISHI ANATAFUTA KAZI

    Mpishi mzoefu na aliebobea katika mapishi ya aina mbalimbali anahitaji kazi.Iwe ajira ya kudumu au part time;nyumbani au hotel/mgahawani.Pia nafundisha wale wanaotaka kujifunza mapishi. Wasiliana nami 0776727788 AU 0787823817.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mpishi ambaye anajua kupika

    Habari zenu wana JF, Anahitajika mpishi ambae anajua kupika (mwenye uzoefu na iyo kazi atapewa kipaombele) pamoja na kuwa na uwezo wa kupima sahani za chakula kwa ajili ya mgahawa. Pia anahitajika mpishi mwengine kwenye chipsi na nyama choma, watakuwepo wawili na mmoja ameshapatikana bado...
Back
Top Bottom