Mkristo Eugene Bruce (born October 16, 1984) is a pilot, and a former American football defensive end. He was signed by the Miami Dolphins as an undrafted free agent in 2007. He played college football at Washington State.
Bruce has also been a member of the Oakland Raiders, Arizona Rattlers, Jacksonville Jaguars, and Florida Tuskers.
Shekhe Mkuu na Mufti wa Tanzania, Dkt, Abubakar Zuber Bin Ally, amesema kuwa hakuna ukweli katika taarifa zinazosambazwa kwenye Vyombo vya Habari na Mitandao ya Kijamii zinazoashiria kuwa Wakristo wanawatukana au kuwafanyia fujo Waislam.
Mufti Zuber ameeleza hayo leo wakati akizungumza kwenye...
5 Things You Must Remove From Your Life Before Fasting
Fasting is not just about stopping food — it is about preparing your spirit to host God. If these things remain in your life, your fasting may become hunger strike instead of spiritual power.
1. Unforgiveness
If you are still holding...
Habari zenu! Mimi ni muislamu nataka kuoa binti Mkristo Mzaliwa wa Huko Gairo, Naomba nisaidiwe taratibu za huko za kuandika barua ya posa zipoje? mana nataka niende Wiki hii.
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Usiombe uwe bachela ni kazi si kidogo aisee
Jana kama mnavyojua ilikuwa ni Christmas hivyo asubuhi nimeenda zangu kanisani kama kawaida Kisha kwenye saa sita nikarudi zangu home nikiwa na mawazo nikale wapi maana magenge yote yalikuwa...
Wakati Wakristo wanaitwa kuheshimu mamlaka kwa sababu mamlaka zinatoka kwa Mungu, tamko hilo halihusu kwa watawala wote, bali watawala wale wasiotenda kinyume na mapenzi ya Mungu. Yaani watawala wale ambao ma.laka yao yametoka kwa Mungu. Lakini ufahamu kuwa shetani naye anajitahidi wakati wote...
Ubayd Allāh ibn Jahsh (عبيد الله بن جحش), ambaye alikuwa binamu wa Mtume Muhammad ﷺ.
Nitasimulia kwa ufupi historia yake halisi kama inavyopatikana katika vyanzo vya mapema vya Kiislamu
Jina kamili:
ʿUbayd Allāh ibn Jahsh ibn Riʾāb al-Asadī
Alikuwa ndugu yake Zaynab bint Jahsh, ambaye baadaye...
GT
Heko na shukrani nyingi ziwafilie hawa viongozi wa Kikristo kukemea mauaji bila kuchoka. Wameokoa roho za watu wengi sana hasa kipindi hiki cha uchaguzi.
Bila makelele yao naamini hali ingekuwa mbaya sana kwa wanasiasa/wanaharakati mauaji yangekuwa mengi zaidi.
Sijajua wenzetu waislamu...
Kuishiwa na KUWA ombaomba sio mpango wa Mungu KWA MKRISTO.
Kwa hiyo huwezi kujisifia kuishiwa, mbango wa Mungu ni watu wasiwe tegemezi kiuchumi KWA wateja wao ( wasiomuamini Mungu).
Msisitizo uliotolewa.
1: Umasikini ni laana ( Torati 28).
Yesu ametukomboa na laana ya TORATI.
2: Mcha Mungu...
Jamani ndugu zangu naombeni mnisaidie mawazo kidogo mimi nimeoa mke mmoja na nina watoto wawili tu but katika pilika pilika za maisha nimejikuta nina michepuko miwili ambayo kiukweli naipenda sana kwanza michepuko yote tumepishana kiumri kama miaka 6 mpaka 10 hivi jambo ambalo kwa mke wangu...
Nashindwa kuelewa labda mnielimishe,
kwa ninavyojua kwenye ukristo dhambi zote zinasamehewa.
Sasa akitokea kiongozi mtekaji, muuaji, mtesaji, fisadi anaeumiza na kuwaachia majoni watu wengi pamoja na umasikini.
Je, toba hata kama ni ya kweli iliyotoka moyoni inatosha kufuta madhara ya dhambi...
Sio Mimi ni Bibilia.
1 Timotheo 2:1-2
Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote;
kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya utulivu na amani, katika utauwa wote na ustahivu.
Amani haiji KWA kuwaombea watawala...
Habari wadau.
ni mimi peke.yangu ama na wengine.
Sijawai kuona maishani Shehe Chacha ama Ukhty Boke , je wewe umewai muona muislam Mkurya ?
Binafsi najiuliza kwa nini Mungu anaezimiliki hizi dini mbona anabagua waumini wake..
Wengine hawaielewi dini yake, je wataenda motoni?
Wakuu nasikia hivyo wakuu leo nimekaa kijiweni na wazee wa pwani hapa pwani ya pangani wanasema kwasababu mti wa minazi ni twahara kwa maana hiyo ili upande unatakiwa uwe twahara ukiushika huo mti wa mnazi wakuu je ni kweli wakuu?
Nijuavyo GENTAMYCINE ni kwamba Mwanamke yoyote akiwa Hedhini pale huwa anatoa Uchafu na anakuwa Mchafu vile vile (hili wala halina Ubishi labda tu uwe Mpumbavu wa kutolielewa) sasa ni kwanini au inakuwaje Wanawake wote wa Kikristo wakiwa Hedhini huenda Ibadani Makanisani tofauti na Wenzetu...
Huwa nachukia udini japo siwezi kujitenga na uwepo wa ushabiki wa kidini nchini na humu JF. Tangu apate madaraka kwa mkono wa Mungu, rais Samia anaonekana kuwaridhisha mashehe hadi wengine kama shehe mmoja kusema kuwa ni mtu bora baada ya Yesu na Muhamad.
Akiwa mwanamke, ambaye kisheria hapaswi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.