mke na mume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    Je, unajua Kwa mujibu wa sheria ya ndoa Tanzania Mke na Mume wanapoachana, ndoa haivunjiki?

    Watu wengi wanachanganya kuhusu mke na mume kuachana, na kuvunjika kwa ndoa. Kwa mujibu wa sheria, mke na mume wanaweza kuachana na kila mtu akaendelea na maisha yake, lakini ndoa inakuwa bado ipo. Mke na Mume wanapoachana, kwa lugha ya kisheria 'wanatengana', maana yake kila mmoja anakuwa...
  2. B

    Hivi anaepaswa kuilinda ndoa ni mke peke yake au mke na mume

    Hv kwann jamii inamchukuliaje mwanamke aisee Nimeolewa tangu mwaka wa kwanza mume kila mwaka matukio ya usaliti kali kabisa mwaka juz nilibaini anatoka na rafiki yangu wa ndan kabisa mwaka huu tena nimegundua anatoka na jiran kabisa tuliekua na ukaribu nae bado hatujamaliza iyo kesi nagundua...
  3. Carlos The Jackal

    Katika Kuupuuzia Utekaji na Mauaji ya Kisiasa ,Hatimaye Waovu wanapitia humohumo!! Mauaji ya Mke na Mume Hapo Dar, yawaamshe Wazalendo katika Mfumo'

    Mnapokua na Taifa kama la Tanzania, ambalo Utekaji na Mauaji ya Kisiasa yanendelea kúfanyika. Wakati huohuo Jeshi la Polisi na vyombo vyote vya Usalama vikikaa kimya, maana yake ni kutengeneza mazingira ya Watu waovu Kupanga na kutekeleza Mauaji na vitendo vya kiovu bila kua noticed...
  4. Just Pray

    Mke na mume wakutwa wamefariki chumbani kwao Bunyokwa, Polisi yasema inachunguza tukio hilo

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam limesema linachunguza mauaji ya Mume na Mke ambao ni Anthony Hillary Ngaboli(46) na Anna ambao wamekutwa wakiwa wamefariki chumbani kwao katika nyumba yao iliyopo Mtaa wa Bonyokwa Kata ya Bonyokwa, wilaya ya Ilala jijini Dar Es Salaam. Kamanda wa...
  5. Naxria abdalla

    Je kuna shida gani kiafya kuingia chooni bila viatu ata kama choo anatumia mke na mume

    Tafadhali husika na iyo mada leo nimeenda kumtembelea ndugu yangu katika maongezi alinambia wao chooni kwao yeye na mumewe hawavai viatu kabla sijamshauri nakuja kwenu munipe na mm ushauri je hili ni sawa?
  6. S U N N Y

    Ugomvi wa Mke na Mume, Housegirl anahusika vipi?

    Jumamosi ahsubuhi tulipishana kauli na wife, ikawa ni ugomvi mkubwa sana kiasi kwamba nilipotoka kwenda kazini akaamua achukue watoto na kuondoka nao, Ameondoka na watoto wetu wawili kitu ambacho ni cha kawaida as watoto ni wadogo ikiwa ata waacha hakutakua na mtu wa kuwahudumia. Ila jambo la...
  7. Fbn

    Hivi kwa nini familia ambayo imedumu mke na mume ina watoto wengi waliozaa ukilinganisha na hawa sasa watoto wakizidi watatu?.jibu ni unyumba

    Ukichunguza ukaribu watu ambao ndoa kuvunjika na ikivunjika basi kunatizo tena sio tatizo ni kwamba mzee ndio tatizo kama baba wa kusimamia. Miaka ya nyuma wazee waliweza kumudu wake wengi na kila mke aliweza kupata anacho wekewa kuzalishwa idadi ya watoto ya kama movie ya fast ferious. Ila...
  8. Faana

    Soma kisa hiki na useme nani ameanzisha ugomvi kati ya mke na mume

    Soma hiki kisa kisha jenga hoja juu ya swali Mume na mke walitembelea shamba na wakaona fahali 🐂 akifanya mapenzi na ng’ombe. Kisha mke akamuuliza meneja wa shamba: "Fahali hufanya mapenzi mara ngapi kwa siku?" Meneja akajibu: "Mara 6 au zaidi kwa siku." Mke akamtazama mume wake kisha...
  9. Red shadow

    Marioo anajisikiaje 'mkewe' kushikana hivi na Juma Lokole kama mke na mume?

    Mbaya zaidi kashona had sale na Lokole
  10. Dogoli kinyamkela

    Mke na mume walitembelea shamba la kilimo. Wakamuona ng'ombe dume akishiriki tendo la ndoa na ng'ombe jike

    Mke na mume walitembelea shamba la kilimo. Wakamuona ng'ombe dume akishiriki tendo la ndoa na ng'ombe jike. Mke akamuuliza meneja wa shamba: "Mara ngapi ng'ombe dume huingia katika tendo la ndoa kwa siku?" Meneja akajibu: "Mara 6 au zaidi kwa siku." Mke: akamtazama mumewe na...
  11. EMMANUEL JASIRI

    Mke mwenye hizi sifa 16 anahitajika haraka

    Vigezo; 1. Miaka 30 Mpaka 41 2. Amezaliwa Mara ya Pili. 3. Amejazwa Roho Mtakatifu. 4. Amebatizwa Maji Mengi. 5. Anaipenda na Kukubali Huduma ya Boniface Mwamposa Pamoja na Mitume na Manabii Wote Wenye Makanisa. 5. Aliye Tayari kuwa Mama Mchungaji. 6. Aliye Tayari kuishi mazingira Yoyote...
  12. N

    Natafata mume, mwenye sifa hizi

    Mimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu. Atakaewahi atapewa kipaumbele Tukutane PM
  13. JanguKamaJangu

    Tanga: Baada ya mke kuuawa, mwili wa mume nao waokotwa

    Baba wa familia na mkazi wa barabara ya nne jijini Tanga Alii Bagidad (60) mwenye asili ya Kiasia ambaye mke wake pamoja na dada wa kazi walikutwa wamenyongwa pamoja na kutobolewa macho yao wiki iliyopita na yeye amekutwa amekufa baada ya mwili wake kuokotwa katika eneo la Nguvumali B jijini...
  14. USSR

    Mume amuuwa mkewe na yeye kujinyonga chanzo kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa kifamilia

    Watu wawili ambao ni mke na mume wamefariki dunia baada ya mume kudaiwa kumuua mkewe kisha naye kujiua katika Kijiji cha Njirii Halmashauri ya Itigi wilayani Manyoni Mkoani Singida huku chanzo kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa kifamilia. Imeelezwa kuwa marehemu Janeth Stephano(36) alikutwa kitandani...
  15. Waufukweni

    Tanga: Mume atuhumiwa kumuua mkewe, dada wa kazi kwa kuwanyonga na kuwatoboa macho

    Polisi Mkoa wa Tanga linamtafuta Alii Bagidai (60), mkazi wa Barabara ya 4, Wilaya na Jiji la Tanga kwa tuhuma za kumuua mkewe Saira Mohammed (50) na binti wa kazi anayejulikana kwa jina moja Asha (20) kwa kuwanyonga na kamba ya katani shingoni, kisha kuwatoboa macho. Taarifa iliyotolewa na...
  16. Chenkov

    Visa vyangu vya mapenzi: Harakati za kusaka mume

    Huyu Agel sijamuelewa yani unanifuata
  17. M

    Huu utaratibu wa kitanda kimoja mke na mume umetokea wapi?

    Familia zilizo nyingi kwa sasa mke, mume hulala kwenye kitanda kimoja 6* 6 , au 5*6 na mkiwa na mtoto mdogo naye atalala hapo. Lakini kwa wazee wa zamani hili lipo tofauti kidogo, babu yangu chumba chake kulikuwa na vitanda viwili. Chumba Cha wazazi wangu kulikuwa na vitanda viwili. Kipi...
  18. Dr Matola PhD

    Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

    Nitandika Kwa kifupi najuwa mmu watu hawapendi magazeti. Wazungu unafki huu hawaiwezi, kuishi na mtu eti kisa mna watoto lakini upendo umekufa. Mi ni mtu wa society Kwa utafiti wangu wa miaka isiyopunguwa 10 nimegunduwa ndoa si kitu muhimu tena Kwa jamii ya Kitanzania, anayebisha hili shauri...
  19. BARD AI

    Dar: Mke na mume wafikishwa Mahakamani kwa kumjeruhi jirani yao

    KESI inayowakabili mkazi wa Dar es Salaam, Bharat Nathwani (57), maarufu kwa jina la Chiku na mke wake Sangita Bharat Nathwani (54) inatarajiwa kuanza kusikilizwa ushahidi Februarri 19 mwaka huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, ambako wakituhumiwa kwa mashitaka manne...
  20. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Tulioana miaka kadhaa iliyopita na tumejaaliwa watoto wawili. Tulioana mke wangu akiwa na mtoto mmoja aliyezaa akiwa kwao. Miaka ya mwanzoni uchumi uliruhusu kutoa huduma hata kwa mtoto wake ambaye anaishi na mjomba wake, baada ya uchumi kuyumba nikamwambia mwenzangu ongea na shangazi yake mtoto...
Back
Top Bottom