miungu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. O

    Siri inayofichwa kwenye "Yoni Detox" na miungu ya Kike

    CC: Mshana Jr TUFUNDISHE ZAIDI Wimbi la mafunzo yanayoitwa ya "asili" yakilenga wanawake, Kwa kutumia maneno kama Yoni Healing, Womb Health, au Kundalini. Ingawa yanaonekana kama ni mazoezi ya kawaida au afya, ndani yake kuna mambo mazito unayopaswa kuyajua kabla hujaingia. 1. Mtego wa Kiroho...
  2. The Father of All

    Kwanini miungu ya kigeni allah na yehova inapenda kuabudiwa hata isipofanya lolote au kutatua tatizo au ni utumwa wale waliozileta kutunyonya?

    Wangapi wameomba Mungu wasipate kitu? Wangapi hupatwa na woga wanapoambiwa hasira na visasi vya Mungu/ Wangapi wameibiwa hata kuharibiwa maisha kwa jina la Mungu?> Wangapi wana wasi wasi hadi kuhoji kama mimi? Wangapi wanaogopa kuhoji? Maswali ni mengi kuliko majibu. Kichwa cha habari...
  3. A

    DOKEZO Baadhi ya wahadhiri Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wanajiona miungu watu

    Kufundisha ni wito. Tenda kazi yako vizuri. Kwanini taasisi nyingi zinafanya kazi mpaka waone jambo kwenye mtandao? Hapo chuoni unakuta wanafunzi wananyanyaswa na hawana pa kwenda wakiofia kufelishwa. Mhadhiri anaingia darasani mara 7 kwa semester na hakuna attendance wala nini na hakuna...
  4. Adverse Effect

    Sifuri iliyozaa miungu

    SIFURI ILIYOZAA MIUNGU Hakuna mungu atakayekuokoa. Wewe ndiye chanzo chao wote. Kile ulicho hakiwezi kuokolewa. Kinachoweza kufanyika ni kukikumbuka tu. Ukweli huu hauendi kwa sauti ya chini. Hautafuti makubaliano. Hauombi kueleweka na asiye tayari. Unanguruma kutoka kimya kilicho chini...
  5. Allen Kilewella

    Kuwafanya binadamu wengine miungu na wengine wanyama ni lazima kupingwe. Nyerere

    Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alijulikana na kuheshimika kwa tabia yake ya kuji utu. Mwalimu aliheshimu utu wa binadamu wengine kwa kiwango cha Hali ya juu Sana. Hapa anatoa hoja muhimu Sana. Kambarage akizungumzia utu.
  6. Genius Man

    Je, wajua kuna watu wengi watamtukana Mungu hata wakati wa ujio wake siku za mwisho

    Ndiyo, Biblia inafundisha kwamba hata wakati wa hukumu au matukio ya mwisho, kutakuwa na watu ambao watakataa kutubu na badala yake watamtukana Mungu. Hii inatajwa waziwazi katika kitabu cha Ufunuo. Kwa mfano: Hii inatufundisha kwamba mioyo ya baadhi ya watu itakuwa migumu hata katikati ya...
  7. matunduizi

    Kama wakristo wote na viongozi wetu ni watoto wa Mungu, KWA nini waitwa Baba Mchungaji/Askofu badala ya Kaka Mchungaji/Askofu ili Baba abaki Mungu tu?

    Biblia imasema watu wanapomokea Yesu wanafanyika KUWA watoto wa Mungu. Wale waliowaongoza kumjua Yesu KWA KUWA wamewatangulia kwenye imani watakuwa Kaka ZAO sio Baba. Kwa hiyo napendekeza badala ya kuwaita Baba Mchungaji, au Baba askofu au Baba mtakatifu au Baba mtumishi litumike NENO Kaka...
  8. hamis77

    Miungu ya kale inaporejea kwa kificho

    Tekinolojia na miungu ya kale. Kuna movie moja niliona, inaongelea project ya mwaka 2050. Kwamba miaka hiyo kutakuwa na magari ya kupaa na maraboti yanayojiongoza(artificial intelligence). Na hiyo movie inamwongelea mungu wa Misri anayeitwa Horus, ambaye kila baada ya miaka 2000 anakuja duniani...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    Tahadhari: Tatizo la Lissu ana "MUKU" ya MIUNGU Ukimdhulumu lazima ufe

    Wana bodi! Mimi kama Kuhani Katika Hekalu Jeusi ambaye ninaufahamu wa mambo mbalimbali ya Kiroho. Nimeona niwajulishe hili. Kwenye huu Ulimwengu kuna watu walichorwa Alama na miungu ambayo alama hiyo kwao ni ulinzi. Ukiwagusa unapasuka wewe. Kwenye Biblia mtu pekee aliyeripotiwa kuwekewa...
  10. eden kimario

    Nawauliza watumishi wa Yesu Kristo: Mungu Mkuu kupita miungu yote, aliye hai peke yake, kwa nini wanaoneana Wivu katika kazi walizopewa!?

    habari ya wakati huu jamii forum leo nawazungumzia hawa watumishi na ninaposema watumishi sio tu wahubiri wa neno la Mungu na na utendaji wa huduma zao, bali na waimbaji wa nyimbo za injili ambao wao wanahubiri kupitia nyimbo, ikiwa ni moja ya zile huduma tano alizotoa Yesu Kristo ya...
  11. The Father of All

    Kwanini tuabudie miungu ya wengine Mungu wetu yupi?

    Allah ni muungu wa waarabu Yehova ni muungu wa waisraeli wanaochangia na wazungu ili nao waonekane wazungu na si waarabu kama ilivyo asili yao. Buddha ni muungu wa wahindu, Je sisi Waafrika Mungu wetu ni yupi?
  12. Robert Heriel Mtibeli

    Kanuni za kuomba Miungu na kujibiwa

    KANUNI ZA KUOMBA MIUNGU NA KUJIBIWA Anaandika, Robert Heriel, Kuhani Katika Hekalu Jeusi, Mtibeli. Watu wengi wanauliza swali hili. Wengine wananipigia simu wakitaka kujua wafanyaje ili maombi Yao kwa Mungu yajibiwe. Mimi kama Taikon Master, Kuhani Katika Hekalu Jeusi. Niliye na uzoefu...
  13. Forgotten

    Watu mnaoomba Miungu ni heri huo muda muwekeze kwenye vitu vya msingi!

    "Pray for Palestine" "Pray for Ukraine" "Pray for Congo" "Pray for Kariakoo" Hizi zimekuwa nyimbo kila mahali utakapopita mtandaoni imekuwa ni kawaida ya wanaoamini kuna Mungu wakijifariji kwa kuandika maneno au kuomba wakiamini kuna mtu wa ajabu yupo mahali anasikiliza maombi yao na kuna...
Back
Top Bottom