mitano tena

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Dada yetu mwaka umekata sasa bila ndoa au Tukupe mitano Tena?

    Wewe ni mzuri ndio hatukatai. Una wowo ndio hatukatai. Unanyota kali kila mwanaume anakuulizia na kukuzimikia ndio hatukatai. Kwamba unaenda viwanja vikubwa na watu wazito wenye pesa zao Ndio hatukatai Unajua style zote kitandani na hata ile mpya ya Mafwele kateka tena ni Sawa hatukatai...
  2. Sifi Leo

    Mlio karibu na Peter Msigwa na Wenje wambieni wavae sare za CCM za mama mitano Tena wapite barabarani waone kitakachojiri zaidi ya kuwachumu

    Je, Wenje na Peter Msigwa wakivaa nguo za CCM na kuvaa kale kakofia kalikoandikwa mama mitano Tena, tutawachumu au tutawapa zawadi gani? Mimi nitawachumu kwa busu la kenge. "Nyokorikoooooo" wewe je utawafanyaje?
  3. Its Tesha

    PostGE2025 Wimbo: Wasanii mlishabikia mitano tena, Biashara zenu zitadorora

    Wimbo maalum kwa ajili ya wasanii wetu wana mambo mengi ya kujifunza kutokana na tukio lilitokea.
  4. Fbn

    Watanzania hasira zimekuwa kubwa sana jamaa kapata ajali ya pikipiki ambayo ni ya CCM imemlalia wanampita wakimwambia mitano tena.

    Siku hizi naona kama pikipiki za CCM zile za samia watu waliopewa wanaanza kuogopa kutembelea hata wakipeleka kwa mafundi na mafundi nao hawa zitaki,Mtaani zikipaki zinatengwa na wanazengo. Sasa kuna tukio limetokea jamaa kada mtiifu kapata ajali pikipiki anayotumia ikamlalia hakuna hata...
  5. Sifi Leo

    Je, wamjua aliyemchangia Samia Sh. Bilioni 10 aingie IKULU? Mama unaingia IKULU (mahala patakatifu) kwa fedha chafu(?)

    Nina uhakika mama umelala, ila mwenzako sijalala nalitumikia taifa, mama je WAMJUA yule kijana aliyekupa bilioni 10 ili uingie IKULU? Kama humjui, lile faili ndioooo yeye - lipo MEZANI kwako ukitaka lisome; hutaki - acha!
  6. N'yadikwa

    Leo mji wa Dar umechangamka sana. Wajumbe Mitano Tena.

    Uzi tayari. Ila wajumbe?! N'yadikwa
  7. R

    Mitano tena kwa Rais wa Mali, bila kikomo rasmi

    Tangu kupata uhuru mwaka 1960, Historia ya Urais nchini Mali imegubikwa na misukosuko ya kisiasa, ambapo karibu kila mabadiliko ya madaraka yamehusisha mapinduzi ya kijeshi. Kuanzia kumuondoa Modibo Keïta mwaka 1968, hadi mapinduzi dhidi ya Amadou Toumani Touré mwaka 2012, na Ibrahim Boubacar...
  8. kavulata

    Kwa hotuba hii ya Mama kufunga bunge la 12 mitano tena ni haki yake

    Nilikuwa sijui kumbe Kafanya mengi sana kuliko matarajio.. kumnyima 5 tena ni hasara kubwa sana. Kayasema mpaka nikasinzia. Nadhani hata chadema wamepata ganzi na gagaziko. Tutabishana sana na madalali humuhumu mitandaoni
  9. peno hasegawa

    Mitano Tena: Kwa mfanyabiashara maarufu Izack Ngowi.

    Mitano Tena! https://www.instagram.com/p/DLaYAx8I2q5/?igsh=MTMzc2J5dGJzOTJv
  10. T

    Kocha Miloud apewe mitano tena!

    Kwa jinsi alivyoiendea mechi ya leo ni wazi anakijua anachokifanya. Nashauri Yangq imuongezee nguvu kwa kuziba madhaifu yaliyopo na kumpa uhuru wa kupanga na kuamua kikosi. Sababu zangu ni hizi. 1. Jinsi alivyoweza kuwasoma na kudhibiti ufanisi wa Simba kupitia Mpanzu, Kibu na Budo 2. Jinsi...
  11. R

    PreGE2025 Vyuma ( Baiskeli) vya Rais Samia zikiwa mtaani Wapiga kura wanafurahia, ni mwendo wa Mitano tena

    Wakuu, Hapo vipi kwa wananchi, mnadhani hawatoi mitano tena kwa Mama? hali ndo hii sasa uko mtaani
  12. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Hii boti ya uokoaji inayopelekwa ziwa Victoria imeandikwa Mitano tena na kazi iendelee, si kampeni ya wazi kwa mama?

    Boti maalumu ya uokoaji katika Ziwa Victoria (Ambulance Mwanza) inayosafirishwa kwa njia ya barabara imegeuka kama jukwaa la kampeni maana imeandikwa mitano tena, kazi iendelee. Sasa je mali ya wanachi wote ya watanzania imeaguzwa kuwa kama mali ya mtu moja?
  13. ChoiceVariable

    PreGE2025 Mzee Wasira: Mitano Tena" ni kwa Samia, wengine watasubiria mchujo

    My Take Safi sana Wasira unajua sana kuwakera 😂😂👇👇 Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, leo Juni 11, akizungumza na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Nyasa, mkoani Ruvuma, ametumia jukwaa hilo kuwakumbusha wanachama wa CCM nchini kuwa kwa sasa mgombea...
  14. Shanily

    Katika vitu ambavyo Rais Samia anapokosea ni kukopa kopa. Hajui mikopo huleta umaskini

    Kwakua deni la Taifa Bado ni himilivu, mama aendele kukopa mpaka Kila mtanzania adaiwe milioni 10🤣. Katika vitu ambavyo mama ananikera ni kukopa kopa 😡 Hajui mikopo huleta umaskini hasa ikiwa inakopwa bila mpangilio maalum!?. Ndani ya miaka 3 mama kakopa kuwazidi watangulizi wake, halafu...
  15. kavulata

    Nchi inapaa, kelele lazima zitasikika tu, mitano tena

    Tuliokuwepo tangu awamu ya kwanza tunafahamu kwanini kelele za huyooo huyooo, mchinjeee mchinjeee zinasikika kwa wingi. Nchi imepaa ndani ya muda mfupi tu wa awamu hii unexpected. Ukiona nchi inapaa kwa kutumia vyanzo na rasilimali zilezile walizonazo awamu nyingine maana yake Kuna mirija ya...
  16. Meja Jenerali Isamuhyo

    Mzee Kaguta Museveni akiwa na miaka 80 anataka apewe mitano tena hapo mwakani 2026

    Waganda huwaambii kitu kuhusu Mzee Yoweri Kaguta Museveni. Na mzee baada ya kuina hilo anataka apewe mitano tena hapo mwakani 2026 kwenye Uchaguzi Mkuu. Mzee atakuwa na miaka 81 na hali ya afya yake inazido kudorora, huku mrithi wake akionekana ni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye Waganda...
  17. W

    PreGE2025 Wana CCM Ruangwa wamuahidi Rais Samia mitano tena

    Wakijibu mbele ya waziri mkuu wajumbe wa mabaraza ya jumuiya za Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ruangwa Mei 3, 2025 wamesema hawamdai Rais samia na badala yake wamuahidi mitano tena. Waziri Majaliwa baada ya ahadi hiyo amesema atampigia Rais Samia ili kumfikishia salamu hizo.
  18. W

    PreGE2025 Majaliwa asema Ruangwa ndiyo waanzilishi wa neno 'Mitano tena'

    Akizungumza wilayani Ruangwa Waziri mkuu amesema wao ndiyo waanzilishi wa kauli ya mitano tena kisha ikasambaa nchi nzima. "Na sisi ndiyo waanzilishi wa neno la mitano tena, sisi ndiyo wasemaji wa kwanza tunataka fomu moja ya Dkt. Samia kupitia halmashauri kuu. Tulipokuwa na sherehe yetu ya...
  19. K

    Naona wa mitano tena wamekata pumzi vipi kuna nini?

    Naona wale waimba mapambio wa mitano tena wamekata pumnzi,vipi wachambuzi wa mambo wataimili mpaka October?au ndiyo wameanza kuingia mitini mmojammoja
  20. Rashda Zunde

    PreGE2025 Maafisa usafirishaji (bodaboda na bajaji) wanasema mitano tena kwa Rais Samia

    Maafisa usafirishaji Tabora wapo bega kwa bega na Rais Samia Suluhu.
Back
Top Bottom